Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rungwe asingeweza kuvunja Kanuni za Bunge- Chauma

Chama cha Umma (Chauma) kimeeleza sababu za kumsimamisha mgombea wa nafasi ya mwenyekiti wa Bunge la Katiba baada ya kuona dalili mapema kuwa mwenyekiti wa sasa anaweza kuvunja kanuni za uendeshaji wa chombo hicho.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

J. Kikwete kuvunja Bunge la 10

Miongoni mwa mengine, bunge hili litakumbukwa kwa mjadala mkali uliohusu maamuzi ya sakata ya uchotwaji mali ya Tegeta Escrow

 

11 years ago

Tanzania Daima

UKAWA kuvunja Bunge

UMOJA wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) umetishia kuvunja Bunge Maalumu la Katiba iwapo Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitaendelea kutumia rasimu yake badala ya kutumia rasimu ya pili iliyowasilishwa na Mwenyekiti...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wananchi kuvunja Bunge

MWENENDO usioridhisha wa Bunge Maalumu la Katiba linaloendelea mjini Dodoma umesababisha wanaharakati, taasisi, vyama vya siasa na watu wa kada mbalimbali kutamani Bunge hilo livunjwe. Moja ya taasisi zilizoamua kuvalia...

 

11 years ago

Mwananchi

Bavicha wapinga kauli za kuvunja Bunge

Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha), Mkoa wa Mbeya limepinga kauli za baadhi ya viongozi na wananchi wanaotaka Bunge la Katiba livunjwe kwa kushindwa kutimiza wajibu wake.

 

10 years ago

Habarileo

Werema: Rais hana nguvu kuvunja Bunge

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema (kulia) akitoa ufafanuzi wa masuala ya kisheria kwa waandishi wa habari kuhusu mchakato wa upatikanaji wa Katiba mpya wakati wa mkutano uliofanyika Dar es Salaam jana. (Picha na Hassan Silayo, Maelezo).MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Frederick Werema amesisitiza kuwa sheria hairuhusu mtu yeyote, akiwemo Rais Jakaya Kikwete, kuvunja Bunge Maalumu la Katiba.

 

11 years ago

Habarileo

Kanuni Bunge Maalumu zapita

HATIMAYE Bunge Maalumu la Katiba, limepitisha rasimu ya Kanuni zitakazotumika kuongoza majadiliano, pamoja na vifungu ambavyo havikutaja aina ya upigaji kura kama utakuwa wa wazi au wa siri. Hata hivyo, wakati Bunge likipitisha azimio hilo, baadhi ya wajumbe wamelaani kitendo cha Mwenyekiti wa Muda wa Bunge Maalumu, Pandu Ameir Kificho, kuridhia kupitishwa kwa ‘kanuni nusu’ za Bunge kwa maelezo kuwa jambo hilo halitaleta muafaka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani