Bavicha wapinga kauli za kuvunja Bunge
Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha), Mkoa wa Mbeya limepinga kauli za baadhi ya viongozi na wananchi wanaotaka Bunge la Katiba livunjwe kwa kushindwa kutimiza wajibu wake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Bavicha yakemea kauli za CCM
10 years ago
Mwananchi06 Nov
Wasomi, wanasiasa wapinga kauli ya JK
9 years ago
StarTV23 Nov
Marema wapinga kauli ya kamishna wa madini nchini
Siku chache baada ya naibu kamishna wa madini nchini kutoa tamko kuhusu utaratibu wa uchimbaji wa madini ya Tanzanite katika eneo la Mirerani mkoani Manyara, chama cha wachimbaji wadogo wa madini hayo kimepinga vikali tamko hilo kwa madai kwamba litaibua upya mgogoro katika eneo hilo.
Novemba 13 mwaka huu akiwa Jijini Arusha, kituo hiki kilimkariri naibu kamishna wa madini nchini mhandisi Ally Samaje akiwataka wachimbaji wote kuendesha uchimbaji wao kwa kufuata sheria.
Naibu huyo kamishana...
11 years ago
Mwananchi08 May
CUF yaonya kauli za kuvunja Serikali ya Umoja Zanzibar
11 years ago
Tanzania Daima06 Apr
UKAWA kuvunja Bunge
UMOJA wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) umetishia kuvunja Bunge Maalumu la Katiba iwapo Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitaendelea kutumia rasimu yake badala ya kutumia rasimu ya pili iliyowasilishwa na Mwenyekiti...
11 years ago
Tanzania Daima29 Mar
Wananchi kuvunja Bunge
MWENENDO usioridhisha wa Bunge Maalumu la Katiba linaloendelea mjini Dodoma umesababisha wanaharakati, taasisi, vyama vya siasa na watu wa kada mbalimbali kutamani Bunge hilo livunjwe. Moja ya taasisi zilizoamua kuvalia...
10 years ago
BBCSwahili09 Jul
J. Kikwete kuvunja Bunge la 10
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/VP4mOd-uDxA/default.jpg)
10 years ago
Habarileo17 Aug
Werema: Rais hana nguvu kuvunja Bunge
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Frederick Werema amesisitiza kuwa sheria hairuhusu mtu yeyote, akiwemo Rais Jakaya Kikwete, kuvunja Bunge Maalumu la Katiba.