Bavicha yakemea kauli za CCM
Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha), limekemea kauli mbalimbali zinazotolewa na viongozi wa CCM kuwa hawawezi kukabidhi nchi kwa wapinzani kwa madai kuwa hawajajipanga kwa uongozi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 Apr
Bavicha wapinga kauli za kuvunja Bunge
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Bavicha ‘yaivaa’ CCM kero za Muungano
10 years ago
Tanzania Daima22 Nov
BAVICHA: Ikataeni orodha feki ya CCM
BARAZA la Vijana la Taifa la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), limeitaka Ofisi ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kutoa elimu kwa wananchi juu ya umuhimu na ushiriki wa uchaguzi...
11 years ago
Mwananchi08 Aug
CCM yajiweka kando kauli ya Mwigulu
11 years ago
GPLNAPE AKERWA NA KAULI ZA KUMKASHIFU JK, CCM
10 years ago
Dewji Blog26 Mar
CCM Arusha yapingana na kauli ya Nape
Katibu Mwenezi akizungumza na waandishi wa habari jana, katika Makao Makuu ya Chama hicho.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Mkoa wa Arusha,Isaack Joseph akizungumza na waandishi wa habari jana katika makao makuu ya chama hicho na kudai kushangazwa na kauli ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa, Nape Nnauye ya kuwa makundi yanayokwenda nyumbani kwa Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowasa, kumshawishi kugombea Urais kuwa na kusema kuwa makundi hayo yanachokifanya ...
10 years ago
Mwananchi03 Feb
Waliotangaza nia CCM waguswa na kauli ya JK
9 years ago
Dewji Blog29 Aug
CCM kata ya Majengo yatoa kauli kali
Mwenyekiti wa CCM kata ya Itigi Majengo,wilaya ya Manyoni, Mkoani Singida, Bwana Haroub Suleim akiwahutubia wananchi wa mji mdogowa Itigi na vitongoji vyake wakati wa kuwanadi wagombea wa ubunge na udiwani wa jimbo la Manyoni magharibi uliofanyika Itigi mjini.
Mgombea wa ubunge mteule wa jimbo la Manyoni magharibi (CCM), Bwana Yahaya Masare akiomba kura kwa wanachma pamoja na wananchi kwa ujumla wa jimbo la Manyoni magharibi kwenye mkutano uliofanyika mji mdogo wa Itigi, wilayani...
10 years ago
Vijimambo07 Apr
Wagombea urais CCM wafunguka kauli ya Rais Kikwete
Dar es Salaam. Siku chache baada ya Rais Jakaya Kikwete kusema kuwa nafasi hiyo ni kadhia na kazi ngumu, baadhi ya wanasiasa waliotangaza nia ya kuwania nafasi hiyo wamesema wanafahamu changamoto hizo na kwamba kauli hiyo inazidi kuwapa nguvu na hamasa ya kuendelea na mchakato huo.Wiki iliyopita, Rais Kikwete akiwa Marekani, wakati akihutubia kwenye taasisi...