Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bavicha yakemea kauli za CCM

Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha), limekemea kauli mbalimbali zinazotolewa na viongozi wa CCM kuwa hawawezi kukabidhi nchi kwa wapinzani kwa madai kuwa hawajajipanga kwa uongozi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Bavicha wapinga kauli za kuvunja Bunge

Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha), Mkoa wa Mbeya limepinga kauli za baadhi ya viongozi na wananchi wanaotaka Bunge la Katiba livunjwe kwa kushindwa kutimiza wajibu wake.

 

11 years ago

Mwananchi

Bavicha ‘yaivaa’ CCM kero za Muungano

Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha) , limeitaka Serikali ya CCM kuwaeleza wananchi sababu zilizoifanya kushindwa kuondoa kasoro zinazodaiwa kuwa kero kwenye Muungano kwa miaka kadhaa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

BAVICHA: Ikataeni orodha feki ya CCM

BARAZA la Vijana la Taifa la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), limeitaka Ofisi ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kutoa elimu kwa wananchi juu ya umuhimu na ushiriki wa uchaguzi...

 

11 years ago

Mwananchi

CCM yajiweka kando kauli ya Mwigulu

>Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimejiweka kando na kauli ya naibu katibu mkuu wake, Mwigulu Nchemba aliyoitoa kwamba Bunge Maalumu la Katiba lijitathmini kama lina ulazima wa kuendelea kutokana na uwezekano mdogo wa wajumbe wake kufanya uamuzi.

 

11 years ago

GPL

NAPE AKERWA NA KAULI ZA KUMKASHIFU JK, CCM

 Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani). Waandishi wa habari toka vyomba mbalimbali wakmsikiliza Nape Nnauye (pichani hayupo).…

 

10 years ago

Dewji Blog

CCM Arusha yapingana na kauli ya Nape

unnamed

Katibu Mwenezi akizungumza na waandishi wa habari jana, katika Makao Makuu ya Chama hicho.

SAM_1537

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Mkoa wa Arusha,Isaack Joseph  akizungumza na waandishi wa habari jana katika makao makuu ya chama hicho na kudai kushangazwa na kauli ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa, Nape Nnauye ya kuwa makundi yanayokwenda nyumbani kwa Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowasa, kumshawishi kugombea Urais kuwa  na kusema kuwa makundi hayo yanachokifanya ...

 

10 years ago

Mwananchi

Waliotangaza nia CCM waguswa na kauli ya JK

Siku moja baada ya Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete kudokeza kuwa atakayekuwa mgombea wake wa urais baadaye mwaka huu ni yule ambaye hajajitokeza mpaka sasa, makada wa chama hicho waliotangaza nia ya kugombea urais wamesema wana uwezo na sifa za kugombea nafasi hiyo, huku wasomi wakija na mtazamo tofauti.

 

9 years ago

Dewji Blog

CCM kata ya Majengo yatoa kauli kali

SAM_0033

Mwenyekiti wa CCM kata ya Itigi Majengo,wilaya ya Manyoni, Mkoani Singida, Bwana Haroub Suleim akiwahutubia wananchi wa mji mdogowa Itigi na vitongoji vyake wakati wa kuwanadi wagombea wa ubunge na udiwani wa jimbo la Manyoni magharibi uliofanyika Itigi mjini.

SAM_0055

Mgombea wa ubunge mteule wa jimbo la Manyoni magharibi (CCM), Bwana Yahaya Masare akiomba kura kwa wanachma pamoja na wananchi kwa ujumla wa jimbo la Manyoni magharibi kwenye mkutano uliofanyika mji mdogo wa Itigi, wilayani...

 

10 years ago

Vijimambo

Wagombea urais CCM wafunguka kauli ya Rais Kikwete

Rais Jakaya Kikwete akitoa mhadhara katika kituo cha Kimataifa cha Woodrow Wilson jijini Washington DC, nchini Marekani. Picha na Ikulu
Dar es Salaam. Siku chache baada ya Rais Jakaya Kikwete kusema kuwa nafasi hiyo ni kadhia na kazi ngumu, baadhi ya wanasiasa waliotangaza nia ya kuwania nafasi hiyo wamesema wanafahamu changamoto hizo na kwamba kauli hiyo inazidi kuwapa nguvu na hamasa ya kuendelea na mchakato huo.Wiki iliyopita, Rais Kikwete akiwa Marekani, wakati akihutubia kwenye taasisi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani