Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM kata ya Majengo yatoa kauli kali

SAM_0033

Mwenyekiti wa CCM kata ya Itigi Majengo,wilaya ya Manyoni, Mkoani Singida, Bwana Haroub Suleim akiwahutubia wananchi wa mji mdogowa Itigi na vitongoji vyake wakati wa kuwanadi wagombea wa ubunge na udiwani wa jimbo la Manyoni magharibi uliofanyika Itigi mjini.

SAM_0055

Mgombea wa ubunge mteule wa jimbo la Manyoni magharibi (CCM), Bwana Yahaya Masare akiomba kura kwa wanachma pamoja na wananchi kwa ujumla wa jimbo la Manyoni magharibi kwenye mkutano uliofanyika mji mdogo wa Itigi, wilayani...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

KATA YA KIVUKONI CCM YAKABIDHI VIFAA NA SABUNI KUJILINDA NA UGONJWA WA HOMA KALI YA MAPAFU YANAYOSABABISHWA NA VIRUSI VYA CORONA

Mwekiti wa CCM kata ya kivukoni Sharik  Choughule (wa katikati) akiwa na viongozi wa Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya Kivukoni, kukabidhi vifaa na sabuni kwa ajili kuosha mikono kujilinda na ugonjwa wa homa kali ya mapafu  unaosababishwa na virusi vya corona, ambapo tuliwapa madereva wa bajaji walemavu wa kituo cha feri.
Mwekiti wa CCM kata ya kivukoni Sharik  Choughule (wa pili kushoto) akiwa na viongozi wenzake kutoka Ofisa ya Mtendaji wa Kata ya Kivukoni, Remmy Mishekhe na Ofisa Afya Kata ya...

 

9 years ago

Michuzi

NAPE AWASHUKURU WAKAZI WA MAJENGO KATA YA MTAMA


 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye ambaye pia ndio mgombea wa ubunge wa Jimbo la Mtama kwa tiketi ya CCM akipokelewa kwa shangwe na wananchi wa kata ya Majengo wakati akiwasili kwenye eneo la mkutano wa kuwashukuru wananchi hao kwa kumpigia kura nyingi kwenye mchakato wa kura za maoni.  Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye ambaye pia ndio mgombea wa
ubunge wa Jimbo la Mtama kwa tiketi ya CCM akiwasalimia viongozi mbali mbali wa CCM ngazi za kata na matawi waliojitokeza...

 

11 years ago

GPL

CCM YAONGOZA KATA 11 KATIKA JUMLA YA KATA 13, UCHAGUZI MDOGO KALENGA

Mashabiki wa CCM wakimbeba aliyekuwa mgombea wa CCM jimbo la Kalenga, Iringa Vijijini Godfrey Mgimwa, baada ya kupata matokeo ya awali ya CCM kuongoza kata 11 kati ya 13 katika matokeo ya uchaguzi uliofanyika leo. Shamrashamra hizo…

 

9 years ago

Michuzi

MWIGULU NCHEMBA ASAKA KURA ZA CCM KATA KWA KATA,ATUA HAI,VUNJO,SAME,ARUMERU NA MWANGA

Mbunge mtarajiwa wa Moshi Mjini Ndg.Davis Mosha akisalimiana na Mwigulu Nchemba wakati wa Mkutano wa hadhara ndani ya kata ya Sokoni.Mwigulu Nchemba akimnadi Davis Mosha mbunge Mtarajiwa kwa Moshi mjini.Mwigulu Nchemba akiwasili Same Mashariki.Mwigulu Nchemba akimnadi Mbunge mtarajiwa wa Same Mashariki Bi.Anna Kilango Malecela mapema hii leo wakati alipokwenda kuinadi Ilani ya CCM.Comrade Mwigulu Nchemba akizungumza na Wananchi wa Same Mashariki kuhusu Umuhimu wa kufanya Uchaguzi kwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kijana UVCCM atangaza nia ya kuwania Udiwani kata ya Ilunda, lengo ni kurejesha kata CCM, inayongozwa na Chadema

EMBELE

Kijana Mohamed Embele (38) ambaye ametangaza nia ya kurejesha Kata ya Ilunda (CCM), hivi sasa Kata hiyo inaongozwa na Diwani wa CHADEMA Long’ida Ole Looda.

Na Hillary Shoo, Mkalama

KAMANDA  wa UVCCM wa Kata ya Ilunda Tarafa ya Nduguti Wilayani Mkalama Mkoani Singida, Mohamed Embele (38) ametangaza rasmi nia yake ya kutaka kugombea nafasi ya Udiwani kwenye Kata hiyo katika uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2015.

Akizungumza katika mahojiano maalumu wakati wa kufunga kambi ya vijana wa Wilaya ya...

 

9 years ago

Vijimambo

MWIGULU NCHEMBA ATUA KWA MBOWE NA MBATIA,SAME NA MWANGA...CCM YAENDELEA KUSAKA KURA KATA KWA KATA

Wananchi wa Hai Mjini wakimpokea Mwigulu Nchemba kwa shangwe.Mwigulu Nchemba ameshawasili Hai Mjini kuzungumza na Wananchi na Kumuombea Kura Rais Mtarajiwa kutoka Chama cha Mapinduzi Ndg,J.Pombe Magufuli.Mwigulu Nchemba akitoa Darasa kwa Wananchi wa Hai Mjini kuhusu Umuhimu wa Kuchagua kiongozi kwa Malengo,sio kuchagua Uongozi kwa Kishabiki."Wanahai naomba Mmchague Magufuli kwasababu ndiye kiongozi anayeweza kushughulika na Matatizo ya Wananchi wetu hasa swala la Rushwa,Uzembe maofisini na...

 

5 years ago

Michuzi

CORONA YADAIWA KUWAINGIZA WANAFUNZI KATIKA MAPENZI,UONGOZI WA KATA WAJIPANGA KUCHUKUA HATUA KALI WATAKAOBAINIKA


Na Shukrani Kawogo, Njombe

Imeelezwa kuwa kutokana na wanafunzi kuwepo katika kipindi hiki cha likizo kutokana na ugonjwa wa Corona imepelekea wanafunzi hao kuzagaa vichakani na kujihusisha na masuala ya kimapenzi kitu ambacho kinarudisha nyuma maendeleo ya wanafunzi hao.

Hayo yameelezwa na wananchi wa Kata ya Ibumi wilayani Ludewa Mkoani Njombe katika mkutano wa kujadili maenendeleo ya kata hiyo ulioongozwa na diwani wao Edward Haule ambaye pia ni mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi yatoa onyo kali Kalenga

JESHI la Polisi Mkoa wa Iringa limepiga marufuku wananchi kuhudhuria mikutano ya kampeni wakiwa na marungu na mapanga, hasa wakati huu wa kampeni za kuwania ubunge katika Jimbo la Kalenga....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bodi TPA yatoa kali ya mwaka

BODI ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Usimamaizi wa Bandari Tanzania (TPA), imemtaka Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe kusitisha mchakato wa kumpata mtendaji mkuu kutoka nje na badala yake imwache...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani