CORONA YADAIWA KUWAINGIZA WANAFUNZI KATIKA MAPENZI,UONGOZI WA KATA WAJIPANGA KUCHUKUA HATUA KALI WATAKAOBAINIKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ec-pSq3BbCY/XtCiwEMyCvI/AAAAAAALr8E/-w3z7bsANPIVdhzzFrvREm44Mj5z0EciQCLcBGAsYHQ/s72-c/1ab063e9-7f34-473f-8dd9-d547c875aafc.jpg)
Na Shukrani Kawogo, Njombe
Imeelezwa kuwa kutokana na wanafunzi kuwepo katika kipindi hiki cha likizo kutokana na ugonjwa wa Corona imepelekea wanafunzi hao kuzagaa vichakani na kujihusisha na masuala ya kimapenzi kitu ambacho kinarudisha nyuma maendeleo ya wanafunzi hao.
Hayo yameelezwa na wananchi wa Kata ya Ibumi wilayani Ludewa Mkoani Njombe katika mkutano wa kujadili maenendeleo ya kata hiyo ulioongozwa na diwani wao Edward Haule ambaye pia ni mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Jan
SAKATA LA IPTL: Mabalozi waitaka Serikali kuchukua hatua kali
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9zpi8KRCHZA/XnI_cnVYcTI/AAAAAAALkN4/rcXXv_E-ZJM0DJ1X3IrdoxzctoPsrMAZwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-18%2Bat%2B5.43.03%2BPM.jpeg)
WAZIRI KAMWELWE AITAKA LATRA KUCHUKUA HATUA KUKABILIANA NA CORONA KWENYE VITUO VYA MABASI
![](https://1.bp.blogspot.com/-9zpi8KRCHZA/XnI_cnVYcTI/AAAAAAALkN4/rcXXv_E-ZJM0DJ1X3IrdoxzctoPsrMAZwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-18%2Bat%2B5.43.03%2BPM.jpeg)
LATRA na Halmashauri hizo zimepewa siku tatu kuhakikisha zinaratibu agizo hilo ikiwa ni hatua za serikali katika kujikinga na maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona.
Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma leo, Waziri wa Ujenzi,...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-NZLstfs29UY/XnknKyw-yFI/AAAAAAAAnLU/MiNG_NXvYHQi-gTSb4mlJe0jNDPrgvpQwCEwYBhgL/s72-c/bdbe85ca-8a79-4107-a625-5123ab4c33bf.jpg)
KATA YA KIVUKONI CCM YAKABIDHI VIFAA NA SABUNI KUJILINDA NA UGONJWA WA HOMA KALI YA MAPAFU YANAYOSABABISHWA NA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-NZLstfs29UY/XnknKyw-yFI/AAAAAAAAnLU/MiNG_NXvYHQi-gTSb4mlJe0jNDPrgvpQwCEwYBhgL/s640/bdbe85ca-8a79-4107-a625-5123ab4c33bf.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-L1ELeoFJr-I/XnknJoIL0CI/AAAAAAAAnLM/ilnpUWk2sao6FKTaqtROO4MTPQWfVCMzgCEwYBhgL/s640/2b352534-c708-417a-b94b-34e3573c55f8.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Pt2AuAl-HHQ/XoyEUqiODrI/AAAAAAALmX0/LNCm_l0rCaQxLBcdslIoCjoLBilxyZufQCLcBGAsYHQ/s72-c/0940101c-b948-4930-bbd8-51cd450684d9.jpg)
CHONGOLO AAGIZA POLISI KUWA CHUKULIA HATUA WATAKAOBAINIKA KUCHIMBA MCHANGA KWENYE MITO.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Pt2AuAl-HHQ/XoyEUqiODrI/AAAAAAALmX0/LNCm_l0rCaQxLBcdslIoCjoLBilxyZufQCLcBGAsYHQ/s640/0940101c-b948-4930-bbd8-51cd450684d9.jpg)
Meneja wa TARURA wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, Mhandisi Leopold Runji akitoa maelezo kwa mkuu wa Wilaya hiyo ,Mhe. Daniel Chongolo kuhusu miundombinu ya barabara katika makazi ya TBA muda mfupi baada ya kutoka kukagua mito inayochimbwa mchanga
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/a2e842eb-98b3-44e5-a388-f2aacdf81353.jpg)
Kamati ya Ulinzi na usalama ya Wilaya ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Daniel Chongolo wakiwa wameshuka kwenye gari na kuelekea kwenye mto salasala kuangalia namna ya kuwadhibiti wananchi wanaochimba mchanga katika mto huo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-47hcA507QyU/Xq_67A5x1UI/AAAAAAALpB8/AIkayNhXR2YN_i245_rhSwx6feBpRwVCQCLcBGAsYHQ/s72-c/14367d4c-412c-4069-81e7-ea1e380faaa4.jpg)
RC TANGA AWATAKA WANANCHI TANGA KUACHA HOFU,BADALA YAKE WAENDELEE KUCHUKUA HATUA YA KUJIKINGA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-47hcA507QyU/Xq_67A5x1UI/AAAAAAALpB8/AIkayNhXR2YN_i245_rhSwx6feBpRwVCQCLcBGAsYHQ/s640/14367d4c-412c-4069-81e7-ea1e380faaa4.jpg)
Aidha amesema kuwa serikali imeendelea kujidhatiti na kufanya kazi kwa ushirikiano katika kipindi hiki pia kuhakikisha inawajali sana na kuwapa kipaumbele wataalamu wa Afya.
Zaidi amewaomba wana Tanga kuacha hofu kama anavyosisitiza Raisi wetu wa Dk.John Pombe...
5 years ago
BBCSwahili12 Mar
Hatua za Italia za kudhibiti coronavirus: Taifa zima kuchukua hatua ya kujitenga.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MRBtiNDAO7o/XnMCy5jeYmI/AAAAAAALkYk/8l89aFFCN8gcz0BURGVmy3RSFgV8g9R9gCLcBGAsYHQ/s72-c/1938f9fe-b097-4db5-80f5-8cf5943b1e36.jpg)
WAZIRI KAMWELWE AITAKA LATRA KUCHUKUA HATUA KUKABILIANA NA CORONA KWENYE VITUO VYA MABASI,ATOA SIKU TATU KUHAKIKISHA ZINARATIBU AGIZO HILO
SERIKALI imeziagiza Halmashauri za Majiji na Miji kukaa na Mamlaka za Udhibiti Usafiri wa Ardhini (LATRA) ili kuweka utaratibu maalum ambao utadhibiti mrundikano na wingi wa watu kwenye vituo vikuu vya mabasi.
LATRA na Halmashauri hizo zimepewa siku tatu kuhakikisha zinaratibu agizo hilo ikiwa ni hatua za serikali katika kujikinga na maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona.
Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma leo, Waziri wa Ujenzi,...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NNOl3lRXFNg/VA3DkkzLwoI/AAAAAAAGh-8/UG7ItRhJYsY/s72-c/unnamed.jpgh.jpg)
FUJO KATIKA SHOW YA DIAMOND ILIYOFANYIKA NCHINI UJERUMANI YADAIWA KUSABABISHA HASARA YA EURO 300,000,YADAIWA PROMOTA HAKUWA NA BIMA.
Stuttgart,Ujerumani,
![](http://2.bp.blogspot.com/-NNOl3lRXFNg/VA3DkkzLwoI/AAAAAAAGh-8/UG7ItRhJYsY/s1600/unnamed.jpgh.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10