Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FUJO KATIKA SHOW YA DIAMOND ILIYOFANYIKA NCHINI UJERUMANI YADAIWA KUSABABISHA HASARA YA EURO 300,000,YADAIWA PROMOTA HAKUWA NA BIMA.

PROMOTER BRITTS EVENT MATATANI MJINI STUTTGART,UJERUMANIPolisi wamesema mpaka kieleweke, M-Nigeria Roho Juu
Stuttgart,Ujerumani,Anayejiita promota Biritts Event - inayomilikiwa na Awin Williams Akpomiemie raia wa Nigeria amejikuta katika mashaka baada ya ripoti ya polisi kuthibitsha jumla ya hasara ya Euro 300,000(Tsh.600 Million) zilizo sababishwa na fujo ya siku ya jumamosi 30 Augost 2014 baada ya msanii wa NASIB ABDUL AKA DIAMOND PLATINUMZ kuchelewa kufika ukumbini mjini...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

PROMOTER BRITTS EVENT MATATANI MJINI STUTTGART,UJERUMANI KUFUATIA FUJO ZA 30.8.2014 KATIKA SHOW YA DIAMOND. HASARA EURO 300,000

 Stuttgart,Ujerumani,Anayejiita promota Biritts Event - inayomilikiwa na Awin Williams Akpomiemie raia wa Nigeria (juu kulia) amejikuta katika mashaka baada ya ripoti ya polisi kuthibitsha jumla ya hasara ya Euro 300,000(Tsh.600 Million) zilizo sababishwa na fujo ya siku ya jumamosi 30 Augost 2014 baada ya msanii wa NASIB ABDUL AKA DIAMOND PLATINUMZ kuchelewa kufika ukumbini mjini Stuttgart,ujerumani.
Baada ya uchunguzi wa polisi kufuatia fujo hizo imegundulika kuwa muandaaji wa onyesho hilo...

 

10 years ago

Bongo5

Promota wa show ya Diamond iliyosababisha fujo Ujerumani adai wawekezaji walimzunguka

Kampuni ya Britts Events iliyokuwa imeandaa show ya Diamond mjini Stuttgart, Ujerumani imetoa maelezo ya chanzo cha kutofanyika kwa show hiyo na pia kuzuka kwa fujo iliyosababisha uharibifu mkubwa kwenye ukumbi uliokuwa utumike. Mwenyekiti Mtendaji wa Britts Events, Awin Williams Akpomiemie Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni hiyo, Awin Williams Akpomiemie ameeleza kwa kina katika maelezo ambayo […]

 

11 years ago

Mwananchi

Matumizi ya mbolea nchini sasa yadaiwa kuongezeka

Matumizi ya mbolea hai kwenye kilimo yamekuwa na mafanikio, baada wakulima kubaini matokeo mazuri yanayotokana na ardhi kuwa na rutuba ya kutosha na mazao kuwa na ubora.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Promota wa Diamond mbaroni Ujerumani

POLISI nchini Ujerumani wamefanikiwa kumtia mbaroni promota Awin Williams Akpomie, aliyeratibu shoo ya mwanamuziki wa Tanzania, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ iliyokuwa ifanyike Agosti 30, mjini Stuttgart na kushindwa kufanyika. Shoo...

 

9 years ago

StarTV

DNA yadaiwa kuepusha migogoro katika mahusiano:

Kukiwa kumekidhiri kwa migogoro mingi miongoni mwa wanafamilia kutokana na utambuzi wa watoto Jamii imetakiwa kujijengea mazoea ya kupima vinasaba ili kuondoa tatizo la migogoro ya familia inayojitokeza katika utambuzi wa mahusiano ya vinasaba kati ya watoto na wazazi.

Sehemu kubwa ya wanajamii wanadaiwa kujijengea mazoea ya kupima vinasaba pale wanapokuwa hawana uhakika na uhalali wa baadhi ya watoto katika ndoa zao.

 

Mkemia Mkuu wa Serikali na Mkuu wa kitengo cha DNA Segumba amesema...

 

10 years ago

GPL

VURUGU UJERUMANI, KUKAMATWA PROMOTA SIRI 7 ZAFICHUKA SHOO YA DIAMOND

Na Shakoor Jongo
SIKU chache baada ya kutolewa kwa taarifa ya kukamatwa kwa promota aliyempeleka msanii Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ nchini Ujerumani kwa ajili ya kufanya shoo aliyejulikana kwa jina la Awin Williams Akpomiemie, mwenye asili ya Kinigeria, nyuma ya sakata hili siri saba zimefichuka, Risasi Jumamosi lina ripoti kamili. Mashabiki wenye gadhabu wakilizingira gari la Mbongo Fleva, 'Diamond Platinum'...

 

10 years ago

Bongo5

Idris kushinda $300,000 za Big Brother Jumapili hii? Afrika Mashariki yajiunga kumpigia kura kwa fujo!

Wanasema ni vyema kutumainia mema na kujiandaa kwa mabaya na wengine wanaonya kuwa ukiwa na matarajio makubwa usishangae kufedheheshwa kwa kiasi kikubwa pia. Pamoja na misemo hiyo, ni wazi tuna kila sababu ya kuwa na matumaini kuwa kijana wetu Idris Sultan anaweza kushinda taji la Big Brother Africa, Hotshots. Tunaona jinsi ambavyo mastaa na watu […]

 

10 years ago

Vijimambo

NDANI YA KLABU YA YANGA, YADAIWA ZAIDI YA BILIONI MBILI ZAPOTEA KATIKA MAZINGIRA YA KIESCROW

Taarifa  zinadai ya kwamba zaidi ya shilingi bilioni mbili za klabu ya YANGA zimetafunwa na wajanja wasiojulikana mpaka sasa,Inasemekana ubadhirifu huo umefanyika na baadhi ya wafanyakazi waliomaliza muda wao hivi karibuni,
Baadhi ya majina ya wafanyakazi wa zamani wakiongozwa na aliyekuwa katibu mkuu wa klabu hiyo bwana Beno Njovu jana walipelekwa kituo cha polisi cha Central kuhojiwa kutokana na ubadhirifu huo.
Taarifa kutoka chanzo cha kuaminika ndani ya klabu hiyo kimesema zaidi ya bilioni...

 

5 years ago

Michuzi

CORONA YADAIWA KUWAINGIZA WANAFUNZI KATIKA MAPENZI,UONGOZI WA KATA WAJIPANGA KUCHUKUA HATUA KALI WATAKAOBAINIKA


Na Shukrani Kawogo, Njombe

Imeelezwa kuwa kutokana na wanafunzi kuwepo katika kipindi hiki cha likizo kutokana na ugonjwa wa Corona imepelekea wanafunzi hao kuzagaa vichakani na kujihusisha na masuala ya kimapenzi kitu ambacho kinarudisha nyuma maendeleo ya wanafunzi hao.

Hayo yameelezwa na wananchi wa Kata ya Ibumi wilayani Ludewa Mkoani Njombe katika mkutano wa kujadili maenendeleo ya kata hiyo ulioongozwa na diwani wao Edward Haule ambaye pia ni mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani