Promota wa show ya Diamond iliyosababisha fujo Ujerumani adai wawekezaji walimzunguka
Kampuni ya Britts Events iliyokuwa imeandaa show ya Diamond mjini Stuttgart, Ujerumani imetoa maelezo ya chanzo cha kutofanyika kwa show hiyo na pia kuzuka kwa fujo iliyosababisha uharibifu mkubwa kwenye ukumbi uliokuwa utumike. Mwenyekiti Mtendaji wa Britts Events, Awin Williams Akpomiemie Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni hiyo, Awin Williams Akpomiemie ameeleza kwa kina katika maelezo ambayo […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NNOl3lRXFNg/VA3DkkzLwoI/AAAAAAAGh-8/UG7ItRhJYsY/s72-c/unnamed.jpgh.jpg)
FUJO KATIKA SHOW YA DIAMOND ILIYOFANYIKA NCHINI UJERUMANI YADAIWA KUSABABISHA HASARA YA EURO 300,000,YADAIWA PROMOTA HAKUWA NA BIMA.
Stuttgart,Ujerumani,
![](http://2.bp.blogspot.com/-NNOl3lRXFNg/VA3DkkzLwoI/AAAAAAAGh-8/UG7ItRhJYsY/s1600/unnamed.jpgh.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-s-sx-9l7rJc/VAxyiT6cquI/AAAAAAAGhDk/Wgc5VIMBdLs/s72-c/unnamed.jpg)
PROMOTER BRITTS EVENT MATATANI MJINI STUTTGART,UJERUMANI KUFUATIA FUJO ZA 30.8.2014 KATIKA SHOW YA DIAMOND. HASARA EURO 300,000
![](http://2.bp.blogspot.com/-s-sx-9l7rJc/VAxyiT6cquI/AAAAAAAGhDk/Wgc5VIMBdLs/s1600/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-P9kTdA2aRT4/VAxzQkqoREI/AAAAAAAGhEE/ax-363Gq284/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
Baada ya uchunguzi wa polisi kufuatia fujo hizo imegundulika kuwa muandaaji wa onyesho hilo...
10 years ago
Tanzania Daima09 Sep
Promota wa Diamond mbaroni Ujerumani
POLISI nchini Ujerumani wamefanikiwa kumtia mbaroni promota Awin Williams Akpomie, aliyeratibu shoo ya mwanamuziki wa Tanzania, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ iliyokuwa ifanyike Agosti 30, mjini Stuttgart na kushindwa kufanyika. Shoo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jk1qJfh5Fa6JvLaBnjjOShuO870n-Tla1cgvUZ57LdyVTnbVyOA6GP3MNL8KlpwV1eSe1DOhlOB44TDXoGUiFRPxFoUdTORC/diamond.jpg?width=650)
VURUGU UJERUMANI, KUKAMATWA PROMOTA SIRI 7 ZAFICHUKA SHOO YA DIAMOND
10 years ago
Bongo520 Sep
Diamond ashindwa kutokea kwenye show London, mashabiki wamngonja hadi saa 10 alfajiri, amtupia lawama promota
10 years ago
Bongo505 Sep
Show ya Fiesta Musoma yaahirishwa kufuatia ajali ya mabasi 2 iliyosababisha vifo vya zaidi ya watu 45
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdG71GPfFwGi8IdbCYX0*Z0qcJLSNcTgZvWP3KQwwFs9ul-x8BKevck6UiRSIarjkaDKsItH3XNWKOIShFb53kMeUZCQw0mI/HILO.jpg?width=600)
KAMPUNI YA BRITTS EVENT YAELEZEA KIINI CHA VURUGU KWENYE SHOW YA DIAMOND, UJERUMANI
10 years ago
Dewji Blog08 Sep
Promota wa Diamond mbaroni
Na Mwandishi wetu
POLISI nchini Ujerumani wamefanikiwa kumkamata Promota mwenye asili ya nchi ya Nigeria ambaye ndiye aliyesababisha fujo katika onyesho la msanii Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ zilizotokea Agosti 30 mwaka huu kwenye ukumbi wa Stuttgart nchini Ujerumani .
Kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka nchini Ujerumani kilisema kwamba Jeshi la Polisi nchini humo kilisema hadi kieleweke kwani watamchukulia hatua kali ili iwe fundisho kwa mapromota kama huyo.
Jumamosi...
10 years ago
Bongo520 Sep
Kwanini lawama kwa promota haziwezi kumwepusha Diamond kupoteza mashabiki