PROMOTER BRITTS EVENT MATATANI MJINI STUTTGART,UJERUMANI KUFUATIA FUJO ZA 30.8.2014 KATIKA SHOW YA DIAMOND. HASARA EURO 300,000
![](http://2.bp.blogspot.com/-s-sx-9l7rJc/VAxyiT6cquI/AAAAAAAGhDk/Wgc5VIMBdLs/s72-c/unnamed.jpg)
Stuttgart,Ujerumani,Anayejiita promota Biritts Event - inayomilikiwa na Awin Williams Akpomiemie raia wa Nigeria (juu kulia) amejikuta katika mashaka baada ya ripoti ya polisi kuthibitsha jumla ya hasara ya Euro 300,000(Tsh.600 Million) zilizo sababishwa na fujo ya siku ya jumamosi 30 Augost 2014 baada ya msanii wa NASIB ABDUL AKA DIAMOND PLATINUMZ kuchelewa kufika ukumbini mjini Stuttgart,ujerumani.
Baada ya uchunguzi wa polisi kufuatia fujo hizo imegundulika kuwa muandaaji wa onyesho hilo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NNOl3lRXFNg/VA3DkkzLwoI/AAAAAAAGh-8/UG7ItRhJYsY/s72-c/unnamed.jpgh.jpg)
FUJO KATIKA SHOW YA DIAMOND ILIYOFANYIKA NCHINI UJERUMANI YADAIWA KUSABABISHA HASARA YA EURO 300,000,YADAIWA PROMOTA HAKUWA NA BIMA.
Stuttgart,Ujerumani,
![](http://2.bp.blogspot.com/-NNOl3lRXFNg/VA3DkkzLwoI/AAAAAAAGh-8/UG7ItRhJYsY/s1600/unnamed.jpgh.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdG71GPfFwGi8IdbCYX0*Z0qcJLSNcTgZvWP3KQwwFs9ul-x8BKevck6UiRSIarjkaDKsItH3XNWKOIShFb53kMeUZCQw0mI/HILO.jpg?width=600)
KAMPUNI YA BRITTS EVENT YAELEZEA KIINI CHA VURUGU KWENYE SHOW YA DIAMOND, UJERUMANI
10 years ago
Michuzi02 Sep
Promoter Britts Events Wafunguka juu ya kAshafa nzito ya kuharibu shoo ya Diamond nchini ujerumani
![1384142_505866609511143_1668869613_n](http://www.swahili-movies.com/wp-content/uploads/2014/09/1384142_505866609511143_1668869613_n.jpg)
MY PEOPLE FIRST OF ALL, I WOULD LIKE TO EXPRESS MY HEART BY TELLING THE GENERAL PUBLIC AND THE FANS OF DIAMOND PLATNUMZ, THAT WE FROM BRITTS EVENTS MANAGEMENT IS VERY SORRY FOR WHAT HAPPENED LAST NIGHT, DURING THE CONCERT OF DIAMOND PLATNUMZ. IT WAS NEVER PLANNED FOR THE CONCERT TO BE DELAYED OR FOR THE ARTIST NOT TO PERFORM.
HERE I WOULD TELL YOU ALL THE TRUTH OF WHAT REALLY HAPPENED ABOUT THIS EVENT FOR YOU ALL TO KNOW THE TRUTH.
THE PROJECT OF DIAMOND CONCERT...
10 years ago
Bongo502 Sep
Promota wa show ya Diamond iliyosababisha fujo Ujerumani adai wawekezaji walimzunguka
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-D2cu_3Uv5A4/VQN3cjSoyWI/AAAAAAAHKLg/NRljhGkWhjA/s72-c/Ngoma%2BAfrica%2Bband.jpg)
NGOMA AFRICA BAND KUTUMBUIZA LIVE Katika Africa Unite Party Jumamosi 14 March 2015 MJINI STUTTGART, UJERUMANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-D2cu_3Uv5A4/VQN3cjSoyWI/AAAAAAAHKLg/NRljhGkWhjA/s1600/Ngoma%2BAfrica%2Bband.jpg)
Bendi hiyo inatarajiwa kutumbuiza katika onyesho maalumu la AFRICA UNITE PARTY litakalofanyika katika ukumbi wa VTS uliopo mtaa wa Augusburger Str.442 D-70327 mjini Stuttgart,nchini Ujerumani.
Onyesho hilo limeandaliwa na shirika la Afrikaktiv e.V wakishirikiana na shirika la Cabaret du Monde,Ngoma Africa band iliyozoeleka kwa kuwatia kiwewe washabiki wake kila kona duniani wataporomosha muziki moto moto na mdundo wao maarafu kama " Extraordinary Bongo...
10 years ago
Bongo505 Dec
Idris kushinda $300,000 za Big Brother Jumapili hii? Afrika Mashariki yajiunga kumpigia kura kwa fujo!
11 years ago
Michuzi27 Feb
11 years ago
Mwananchi15 Jul
BRAZIL 2014: Jeshi la watu 10,000 laipokea Ujerumani ‘kibingwa’ leo
11 years ago
Mwananchi05 Jul
BRAZIL 2014: Tiketi mechi ya Ujerumani, Ufaransa yauzwa dola 1,000