Matumizi ya mbolea nchini sasa yadaiwa kuongezeka
Matumizi ya mbolea hai kwenye kilimo yamekuwa na mafanikio, baada wakulima kubaini matokeo mazuri yanayotokana na ardhi kuwa na rutuba ya kutosha na mazao kuwa na ubora.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NNOl3lRXFNg/VA3DkkzLwoI/AAAAAAAGh-8/UG7ItRhJYsY/s72-c/unnamed.jpgh.jpg)
FUJO KATIKA SHOW YA DIAMOND ILIYOFANYIKA NCHINI UJERUMANI YADAIWA KUSABABISHA HASARA YA EURO 300,000,YADAIWA PROMOTA HAKUWA NA BIMA.
PROMOTER BRITTS EVENT MATATANI MJINI STUTTGART,UJERUMANIPolisi wamesema mpaka kieleweke, M-Nigeria Roho Juu
Stuttgart,Ujerumani,
Anayejiita promota Biritts Event - inayomilikiwa na Awin Williams Akpomiemie raia wa Nigeria amejikuta katika mashaka baada ya ripoti ya polisi kuthibitsha jumla ya hasara ya Euro 300,000(Tsh.600 Million) zilizo sababishwa na fujo ya siku ya jumamosi 30 Augost 2014 baada ya msanii wa NASIB ABDUL AKA DIAMOND PLATINUMZ kuchelewa kufika ukumbini mjini...
Stuttgart,Ujerumani,
![](http://2.bp.blogspot.com/-NNOl3lRXFNg/VA3DkkzLwoI/AAAAAAAGh-8/UG7ItRhJYsY/s1600/unnamed.jpgh.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-qjhLiWeZ-hA/Ve9XwNztiRI/AAAAAAAD6tE/djIDryqC5Pc/s72-c/01..jpg)
Mkutano wa Wadau wa sekta ya Mbolea nchini
![](http://3.bp.blogspot.com/-qjhLiWeZ-hA/Ve9XwNztiRI/AAAAAAAD6tE/djIDryqC5Pc/s640/01..jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wDcfvRgc78M/Ve9XwEsPnyI/AAAAAAAD6s8/OLXAZZ8jVMY/s640/02.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--hKhgO0z_b8/Ve9XwNkfzEI/AAAAAAAD6tA/QYsgPYTArDA/s640/03.jpg)
10 years ago
Bongo504 Mar
Collabo za wasanii wa Afrika Mashariki na Magharibi zinazidi kuongezeka, Sasa ni Chameleone (UG) na Patoranking (NG)
Uhusiano wa wasanii wa Afrika Mashariki na Magharibi unazidi kuimarika kwa wasanii wa nchi hizo kuzidi kushirikiana kufanya collabo, na sasa ni zamu ya Jose Chameleone wa Uganda na Patoranking wa Nigeria. Chameleone anatarajia kuachia wimbo mpya ambao kamshirikisha muimbaji huyo wa Reggae-Dancehall, Patoranking ambaye mwaka jana alikuja Tanzania kutumbuiza kwenye jukwaa la Serengeti Fiesta […]
10 years ago
Mwananchi16 Oct
Wanawake wazidi kuongezeka nchini
Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imesema matokeo ya sensa ya watu na makazi yanaonyesha kuwa idadi ya wanawake inaendelea kuongezeka kulinganisha na wanaume.
11 years ago
Mwananchi29 Apr
Vituo vya kupigia kura kuongezeka maradufu nchini
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Damian Lubuva amesema vituo vya kupigia kura katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 vitaongezeka mara mbili zaidi ya vile vilivyotumika katika uchaguzi uliopita.
9 years ago
VijimamboIDADI YA RAIA WA BURUNDI WANAOINGIA NCHINI KUTAFUTA HIFADHI YA UKIMBIZI YAZIDI KUONGEZEKA
Idadi ya raia wa Burundi wanaoingia nchini kutafuta hifadhi ya ukimbizi inazidi kuongezeka siku hadi siku ambapo hadi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lZzNfXfVhV4/XsTn5u17QQI/AAAAAAALq5w/950m47biu_gZX3PL4eb-b-6ODbyOy2p9wCLcBGAsYHQ/s72-c/mboo.jpg)
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Matumizi ya kondomu nchini yapungua
 Imeelezwa kuwa maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), yanaweza kuongezeka nchini hasa kwa vijana kutokana na kubainika kupungua kwa kasi ya matumizi ya mipira (kondomu).
10 years ago
Mwananchi10 Feb
Kiswahili na janga la matumizi yake nchini
Hivi karibuni, nilikuwa nafuatilia kipindi cha ‘Lulu za Kiswahili’, kinachoendeshwa na kituo cha televisheni cha Taifa (TBC1).
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania