Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Matumizi ya mbolea nchini sasa yadaiwa kuongezeka

Matumizi ya mbolea hai kwenye kilimo yamekuwa na mafanikio, baada wakulima kubaini matokeo mazuri yanayotokana na ardhi kuwa na rutuba ya kutosha na mazao kuwa na ubora.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

FUJO KATIKA SHOW YA DIAMOND ILIYOFANYIKA NCHINI UJERUMANI YADAIWA KUSABABISHA HASARA YA EURO 300,000,YADAIWA PROMOTA HAKUWA NA BIMA.

PROMOTER BRITTS EVENT MATATANI MJINI STUTTGART,UJERUMANIPolisi wamesema mpaka kieleweke, M-Nigeria Roho Juu
Stuttgart,Ujerumani,Anayejiita promota Biritts Event - inayomilikiwa na Awin Williams Akpomiemie raia wa Nigeria amejikuta katika mashaka baada ya ripoti ya polisi kuthibitsha jumla ya hasara ya Euro 300,000(Tsh.600 Million) zilizo sababishwa na fujo ya siku ya jumamosi 30 Augost 2014 baada ya msanii wa NASIB ABDUL AKA DIAMOND PLATINUMZ kuchelewa kufika ukumbini mjini...

 

9 years ago

Vijimambo

Mkutano wa Wadau wa sekta ya Mbolea nchini

Mgeni Rasmi Mkuu wa Kitengo cha Uratibu wa Misaada ya Maendeleo na Mashirikiano ya Kimataifa ambaye pia ni Mchumi Mkuu Bi. Magret Ndaba akitoa hotuba ya ufunguzi wa mkutano wa wadau wa sekta ya mbolea nchini kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika Bibi Sophia Kaduma leo jijini Dar es salaam.Baadhi ya washiriki wa mkutano wa wadau wa sekta ya mbolea nchini wakifuatilia mkutano wa wadau hao ulifanyika leo jiji Dar es Salaam.Baadhi ya washiriki wa mkutano wa wadau wa...

 

10 years ago

Bongo5

Collabo za wasanii wa Afrika Mashariki na Magharibi zinazidi kuongezeka, Sasa ni Chameleone (UG) na Patoranking (NG)

Uhusiano wa wasanii wa Afrika Mashariki na Magharibi unazidi kuimarika kwa wasanii wa nchi hizo kuzidi kushirikiana kufanya collabo, na sasa ni zamu ya Jose Chameleone wa Uganda na Patoranking wa Nigeria. Chameleone anatarajia kuachia wimbo mpya ambao kamshirikisha muimbaji huyo wa Reggae-Dancehall, Patoranking ambaye mwaka jana alikuja Tanzania kutumbuiza kwenye jukwaa la Serengeti Fiesta […]

 

10 years ago

Mwananchi

Wanawake wazidi kuongezeka nchini

Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imesema matokeo ya sensa ya watu na makazi yanaonyesha kuwa idadi ya wanawake inaendelea kuongezeka kulinganisha na wanaume.

 

11 years ago

Mwananchi

Vituo vya kupigia kura kuongezeka maradufu nchini

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Damian Lubuva amesema vituo vya kupigia kura katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 vitaongezeka mara mbili zaidi ya vile vilivyotumika katika uchaguzi uliopita.

 

9 years ago

Vijimambo

IDADI YA RAIA WA BURUNDI WANAOINGIA NCHINI KUTAFUTA HIFADHI YA UKIMBIZI YAZIDI KUONGEZEKA

Baadhi ya Wakimbizi kutoka Burundi wakipokelewa katika Kambi ya Wakimbizi ya Nduta, wilayani Kobondo, mkoani Kigoma. Idadi ya wakimbizi kutoka nchini humo inazidi kuongezeka siku hadi siku. Picha na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya NchiWatoto wa Wakimbizi kutoka Burundi wakiwa katika Kambi ya Wakimbizi ya Nduta wilayani Kibondo, mkoani Kigoma ambapo wanahifadhiwa
Idadi ya raia wa Burundi wanaoingia nchini kutafuta hifadhi ya ukimbizi inazidi kuongezeka siku hadi siku ambapo hadi...

 

10 years ago

Mwananchi

Matumizi ya kondomu nchini yapungua

 Imeelezwa kuwa maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), yanaweza kuongezeka nchini hasa kwa vijana kutokana na kubainika kupungua kwa kasi ya matumizi ya mipira (kondomu).

 

10 years ago

Mwananchi

Kiswahili na janga la matumizi yake nchini

Hivi karibuni, nilikuwa nafuatilia kipindi cha ‘Lulu za Kiswahili’, kinachoendeshwa na kituo cha televisheni cha Taifa (TBC1).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani