Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Matumizi ya kondomu nchini yapungua

 Imeelezwa kuwa maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), yanaweza kuongezeka nchini hasa kwa vijana kutokana na kubainika kupungua kwa kasi ya matumizi ya mipira (kondomu).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Matumizi ya kondomu nchini Nigeria ni machache mno

Ni asilimia 34 tu ya Wanigeria watu wazima wanotumia mipira ya kondomu wanapojihusisha na ngono utafiti umesema

 

5 years ago

Michuzi

MATUKIO YA UHALIFU NCHINI YAPUNGUA KWA ASILIMIA 3.2 MAKOSA YA BARABARANI NAYO YAPUNGUA

Charles James, Globu ya Jamii

IDADI ya matukio ya uhalifu nchini imepungua katika kipindi cha mwezi Januari na Februari mwaka huu ukilinganisha na kipindi kama hicho kwa mwaka 2019 .

Takwimu zinaonesha ndani ya kipindi cha mwaka huu matukio ya uhalifu 9,263 yaliripotiwa ukilinganisha na matukio 9,572 yaliyoripotiwa katika kipindi kama hicho cha mwaka jana hivyo kuwa na upungufu wa matukio 309 sawa na asilimia 3.2.

Akitoa taarifa hiyo mbele ya wandishi wa habari jijini Dodoma leo, Mkurugenzi wa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Matumizi ya dawa za dharura kuzuia mimba na mipira ya kiume yapungua Uingereza

Kanuni ya kutotoka nje imesababisha kupungua kwa mauzo ya vidonge vya kuzuia mimba ambazo hutumika mara tu baada ya kujamiiana maarufu P2, utafiti umeonesha.

 

11 years ago

Dewji Blog

Elimu duni na isiyo sahihi ya matumizi ya Kondomu inachangia maambukizi mapya ya VVU kwa Vijana

DSC_0084

Afisa Mradi wa Elimu ya Afya na VVU/UKIMWI kutoka UNESCO, Bw. Herman Mathias akizungumza na washauri wa Vikundi vya Vijana wasikilizaji juu ya masuala muhimu kuhusiana na kuzuia maambukizi ya VVU na Afya ya Uzazi kwa Vijana wenye umri kati ya miaka 15-24 katika warsha ya kuwajengea uwezo washiriki hao katika matumizi ya mwongozo wa ufuatiliaji wa vipindi kwa wasikilizaji walengwa wa Mradi wa SHUGA Redio inayofanyika kwenye kituo cha Redio Nuru FM mjini Iringa.(Picha zote na Zainul Mzige wa...

 

11 years ago

GPL

ELIMU DUNI NA ISIYO SAHIHI YA MATUMIZI YA KONDOMU INACHANGIA MAAMBUKIZI MAPYA YA VVU KWA VIJANA‏

Afisa Mradi wa Elimu ya Afya na VVU/UKIMWI kutoka UNESCO, Bw. Herman Mathias akizungumza na washauri wa Vikundi vya Vijana wasikilizaji juu ya masuala muhimu kuhusiana na kuzuia maambukizi ya VVU na Afya ya Uzazi kwa Vijana wenye umri kati ya miaka 15-24 katika warsha ya kuwajengea uwezo washiriki hao katika matumizi ya mwongozo wa ufuatiliaji wa vipindi kwa wasikilizaji walengwa wa Mradi wa SHUGA Redio inayofanyika kwenye...

 

5 years ago

CCM Blog

MALARIA YAPUNGUA NCHINI

  Na.WAMJW,ChunyaTakwimu za kitaifa za viashiria vya malaria kwa mwaka 2017 (Malaria Indicator Survey) inaonesha kuwa upatikanaji wa vyandarua (access) kwa wananchi kitaifa ni asilimia 63 na matumizi ya vyandarua kwa wanajamii kitaifa ni asilimia 52.
Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe.Ummy Mwalimu wakati wa uzinduzi wa ugawaji wa vyandarua kwa kila kaya uliofanyika wilayani Chunya.
Waziri Ummy amesema kuwa Mkoa wa Mbeya, upatikanaji wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wafanyakazi Wizara ya Habari waelezea namna wizara yao inavyoweza kufanikisha Mkakati wa Kitaifa kuhusu matumizi ya Kondomu

PIX1

Afisa Tawala wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. Mussa Varisanga akielezea jambo wakati wa kikao cha pamoja na washauri kuhusu masuala ya Kondomu wakati wakijadili Mkatati wa Taifa wa Matumizi ya Kondomu unaoratibiwa na TACAIDS leo jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Mshauri wa Kimataifa kutoka Uganda Bw.Moses Muwonge.

PIX2

Mshauri wa Kimataifa kutoka Uganda Bw.Moses Muwonge akizungumza na baadhi ya maafisa wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo (hawapo pichani) wakati...

 

11 years ago

Michuzi

MAAMBUKIZI YA UKIMWI NCHINI YAPUNGUA KWA ASILIMIA 33


Na Rose Masaka na Lorietha Laurence-MAELEZO 
TANZANIA ni miongoni mwa Nchi ambazo zimeweza kupunguza maambuzi ya ugonjwa wa Ukimwi kwa asilimia 33.
Hayo yamesemwa leo jijini Dar es salaam na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Mhe. William Lukuvi wakati akiwaeleza waandishi wa habari kuhusu Mkutano wa 20 wa Kimataifa wa Ukimwi Duniani uliofanyika Melbourne nchini Australia Julai mwaka huu.
Amesema kuwa hatua hiyo imefikiwa baada ya Serikali kuanza zoezi la kuzuia maambukizi kutoka kwa mama...

 

5 years ago

Michuzi

BREAKING: VYUO VYOTE NCHINI KUFUNGULIWA JUNI,1,2020, MAAMBUKIZI YAPUNGUA

Na Bakari Madjeshi, Michuzi TVRAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli rasmi ameruhusu kufunguliwa kwa Vyuo vyote June 1, 2020 pamoja na Michezo ikiwemo Ligi Kuu mbalimbali  kutokana na kupungua kwa kiasi kikubwa Maambukizi ya Virusi vya Corona (COVID-19).
Rais Magufuli ametoa maagizo hayo leo Ikulu - Chamwino jijini Dodoma alipokuwa anawaapisha Viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni, Rais Magufuli ameagiza Wizara ya Elimu na Fedha kuhakikisha Wanafunzi hao wa Vyuo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani