MALARIA YAPUNGUA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-3mlTXA2pHGw/Xs_cuMxYOjI/AAAAAAAC6Pc/hSrxq1_SndYMP-nC1bDUDQO50UKFThozQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Na.WAMJW,ChunyaTakwimu za kitaifa za viashiria vya malaria kwa mwaka 2017 (Malaria Indicator Survey) inaonesha kuwa upatikanaji wa vyandarua (access) kwa wananchi kitaifa ni asilimia 63 na matumizi ya vyandarua kwa wanajamii kitaifa ni asilimia 52.
Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe.Ummy Mwalimu wakati wa uzinduzi wa ugawaji wa vyandarua kwa kila kaya uliofanyika wilayani Chunya.
Waziri Ummy amesema kuwa Mkoa wa Mbeya, upatikanaji wa...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mv-gaqThutQ/Xn9NDIBwKpI/AAAAAAALlZU/asfiYKpU7E8OGVnsTHA21b36_A438Q9JgCLcBGAsYHQ/s72-c/5176c794-3a25-48da-94f1-aa1f6d914a01.jpg)
MATUKIO YA UHALIFU NCHINI YAPUNGUA KWA ASILIMIA 3.2 MAKOSA YA BARABARANI NAYO YAPUNGUA
IDADI ya matukio ya uhalifu nchini imepungua katika kipindi cha mwezi Januari na Februari mwaka huu ukilinganisha na kipindi kama hicho kwa mwaka 2019 .
Takwimu zinaonesha ndani ya kipindi cha mwaka huu matukio ya uhalifu 9,263 yaliripotiwa ukilinganisha na matukio 9,572 yaliyoripotiwa katika kipindi kama hicho cha mwaka jana hivyo kuwa na upungufu wa matukio 309 sawa na asilimia 3.2.
Akitoa taarifa hiyo mbele ya wandishi wa habari jijini Dodoma leo, Mkurugenzi wa...
11 years ago
Habarileo22 May
Maambukizi ya malaria yapungua
WAKATI Serikali ikijiandaa kuanza majaribio ya kiwanda cha mradi wa dawa za kuua viluwiluwi cha Kibaha mkoani Pwani, maambukizi ya malaria nchini yamepungua kwa zaidi ya asilimia 47.
9 years ago
BBCSwahili17 Sep
Maambukizi ya malaria yapungua Afrika
10 years ago
Habarileo20 Sep
Malaria Mwanza yapungua kwa asilimia 62.5
KIWANGO cha maambukizi ya ugonjwa wa malaria mkoani Mwanza kimepungua kutoka wagonjwa 979,035 kwa mwaka 2009 hadi kufikia jumla ya wagonjwa 367,545 kwa mwaka 2013 sawa na asilimia 62.5.
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Matumizi ya kondomu nchini yapungua
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Yx6pQStxG0E/U9-SsVrvWxI/AAAAAAAF9BY/XvdeXsYu4O0/s72-c/lukuviiii.jpg)
MAAMBUKIZI YA UKIMWI NCHINI YAPUNGUA KWA ASILIMIA 33
![](http://1.bp.blogspot.com/-Yx6pQStxG0E/U9-SsVrvWxI/AAAAAAAF9BY/XvdeXsYu4O0/s1600/lukuviiii.jpg)
Na Rose Masaka na Lorietha Laurence-MAELEZO
TANZANIA ni miongoni mwa Nchi ambazo zimeweza kupunguza maambuzi ya ugonjwa wa Ukimwi kwa asilimia 33.
Hayo yamesemwa leo jijini Dar es salaam na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Mhe. William Lukuvi wakati akiwaeleza waandishi wa habari kuhusu Mkutano wa 20 wa Kimataifa wa Ukimwi Duniani uliofanyika Melbourne nchini Australia Julai mwaka huu.
Amesema kuwa hatua hiyo imefikiwa baada ya Serikali kuanza zoezi la kuzuia maambukizi kutoka kwa mama...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZFK4Y9mqOxk/XsY7L-6D5EI/AAAAAAALrEg/pz58F5sz7YwHx44hZ8U5XBr8TNMvRvpqwCLcBGAsYHQ/s72-c/5.jpg)
BREAKING: VYUO VYOTE NCHINI KUFUNGULIWA JUNI,1,2020, MAAMBUKIZI YAPUNGUA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZFK4Y9mqOxk/XsY7L-6D5EI/AAAAAAALrEg/pz58F5sz7YwHx44hZ8U5XBr8TNMvRvpqwCLcBGAsYHQ/s640/5.jpg)
Rais Magufuli ametoa maagizo hayo leo Ikulu - Chamwino jijini Dodoma alipokuwa anawaapisha Viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni, Rais Magufuli ameagiza Wizara ya Elimu na Fedha kuhakikisha Wanafunzi hao wa Vyuo...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Malaria nchini kubaki historia?
UGONJWA wa malaria ndio unaoua watu wengi kuliko ugonjwa mwingine nchini. Kundi lililoathirika zaidi na ugonjwa huo ni wajawazito na watoto walio chini ya miaka mitano. Malaria ni janga linalostahili...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-e3hpUJ0tiRk/Xs_QMnk2x3I/AAAAAAALr54/Dp7s1rTY93oa5upBQQt5Fi2FNClgLuUKQCLcBGAsYHQ/s72-c/b3db98b9-b5f7-4b97-8509-ef24b334cda6.jpg)
UGONJWA WA MALARIA WAZIDI KUPUNGUA NCHINI
Takwimu za kitaifa za viashiria vya malaria kwa mwaka 2017 (Malaria Indicator Survey) inaonesha kuwa upatikanaji wa vyandarua (access) kwa wananchi kitaifa ni asilimia 63 na matumizi ya vyandarua kwa wanajamii kitaifa ni asilimia 52.
Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe.Ummy Mwalimu wakati wa uzinduzi wa ugawaji wa vyandarua kwa kila kaya uliofanyika wilayani Chunya.
Waziri Ummy amesema kuwa Mkoa wa Mbeya, upatikanaji wa...