UGONJWA WA MALARIA WAZIDI KUPUNGUA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-e3hpUJ0tiRk/Xs_QMnk2x3I/AAAAAAALr54/Dp7s1rTY93oa5upBQQt5Fi2FNClgLuUKQCLcBGAsYHQ/s72-c/b3db98b9-b5f7-4b97-8509-ef24b334cda6.jpg)
Na.WAMJW,Chunya.
Takwimu za kitaifa za viashiria vya malaria kwa mwaka 2017 (Malaria Indicator Survey) inaonesha kuwa upatikanaji wa vyandarua (access) kwa wananchi kitaifa ni asilimia 63 na matumizi ya vyandarua kwa wanajamii kitaifa ni asilimia 52.
Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe.Ummy Mwalimu wakati wa uzinduzi wa ugawaji wa vyandarua kwa kila kaya uliofanyika wilayani Chunya.
Waziri Ummy amesema kuwa Mkoa wa Mbeya, upatikanaji wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XZbYiuE1uSI/XnW5iKVXc4I/AAAAAAALkoI/lO05sUT9g-YYGjvnUi8PG_9CTGUKE50jwCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv76d218a23621md1c_800C450.jpg)
Ugonjwa wa corona wazidi kuenea Afrika, 800 waambukizwa
![](https://1.bp.blogspot.com/-XZbYiuE1uSI/XnW5iKVXc4I/AAAAAAALkoI/lO05sUT9g-YYGjvnUi8PG_9CTGUKE50jwCLcBGAsYHQ/s640/4bv76d218a23621md1c_800C450.jpg)
Kesi za maambukizi ya ugonjwa wa corona au COVID-19 barani Afrika zimepita 800 hadi kufikkia Ijumaa huku nchi mbalimbali zikiiimarisha hatua za kukabiliana na ugonjwa huo unaoenea kwa kasi kote duniani.
Kwa mara ya kwanza, Chad, Niger na Cape Verde zimeripoti kesi za maambukizi ya kirusi cha corona. Huko mashariki mwa Afrika, idadi ya watu waliothibitishwa kuambukizwa kirusi hicho ikiongezeka katika nchi za Tanzania, Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Kwa mujibu wa taarifa aghlabu ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y6hyo7XZ0eF-suJwVBPgW6II4J3Uk61K3GC2EN0P2pgQcpA3FZwHgfOapZWrAnh4g2dgervoocnERvz43FOdV2I-YkRcljF4/MIMBA.jpg?width=650)
UGONJWA WA MALARIA KWA MJAMZITO
9 years ago
StarTV07 Oct
Ugonjwa wa Malaria wakutanisha wataalamu Afrika
Wataalamu wa Sekta ya Afya kutoka Afrika wamekutana jijini Dar es Salaam kujadiliana na kuangalia ni kwa namna gani wanaweza kupambana na magonjwa yanayoenezwa na Mbu hasa Malaria ambao umeonekana kuathiri zaidi nguvu kazi ya waafrika.
Mkutano huo ni wa pili tangu kuanzishwa kwa Umoja wa Nchi hizo za Bara la Afrika ujulikanao kama PAMCA ukilenga pia kuongeza nguvu ya pamoja ya kukabiliana na magonjwa hayo.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Dawa (NIMR), Dkt Mwele Malecela anasema...
11 years ago
Mwananchi30 May
Tanzania inavyopania kugundua chanjo dhidi ya ugonjwa wa malaria
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VnOk3hzpLcU/VUYymMOFQXI/AAAAAAAHVAo/cqfCnXUjx2Y/s72-c/20150503073519.jpg)
NEWS ALERT: Waomba hifadhi kutoka nchini Burundi wazidi kuwasili nchini
![](http://1.bp.blogspot.com/-VnOk3hzpLcU/VUYymMOFQXI/AAAAAAAHVAo/cqfCnXUjx2Y/s1600/20150503073519.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bco3t9J7*tRKEJMtHq7WAdC0BR4gZkMxApMyjISrHAUI9waHULRJ-KcsckL-en4x-wZ9lIuLQe2WtIzsN36BDqd9dtYjbNbY/Takwimu1.jpg?width=750)
MFUMUKO WA BEI NCHINI WAENDELEA KUPUNGUA
11 years ago
Dewji Blog05 Jul
TACAIDS yakiri kupungua kwa maambukizi ya UKIMWI nchini
Afisa Mawasiliano Kutoka TACAIDS Bw. Godlease Malisa akizungumza na waandishi wa Habari (hawapo pichani) wakati wa mkutano na waandishi wa habari uliofanyika katika banda la TACAIDS kwenye viwanja vya Sabasaba jana Jijini Dar es Salaam, kulia ni Mkurugenzi wa Ufuatiliaji na Tathmini kutoka Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania Dr. Jerome Kamwela.
Na: Genofeva Matemu – Afisa Mawasiliano Serikali – WHVUM
Tafiti zilizofanywa na Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania zinaonyesha kuwa maambukizi mapya ya...
5 years ago
CCM BlogIDADI YA WAGONJWA WA CORONA YAZIDI KUPUNGUA NCHINI, YASISITIZWA TAHADHARI IENDELEE KUCHUKULIWA
DODOMA, Tanzania
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema idadi ya wagonjwa wa Corona imeendelea kupungua huku baadhi ya vituo vikiwa havina wagonjwa na kwamba kwa mujibu wa takwimu za leo asubuhi Dar es Salaam kuna wagonjwa 11, Kibaha 16 na Dodoma kituo cha Mkonze wagonjwa ni watatu.
Akizungumza mara baada ya sala ya Idd El Fitr katika...