TACAIDS yakiri kupungua kwa maambukizi ya UKIMWI nchini
Afisa Mawasiliano Kutoka TACAIDS Bw. Godlease Malisa akizungumza na waandishi wa Habari (hawapo pichani) wakati wa mkutano na waandishi wa habari uliofanyika katika banda la TACAIDS kwenye viwanja vya Sabasaba jana Jijini Dar es Salaam, kulia ni Mkurugenzi wa Ufuatiliaji na Tathmini kutoka Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania Dr. Jerome Kamwela.
Na: Genofeva Matemu – Afisa Mawasiliano Serikali – WHVUM
Tafiti zilizofanywa na Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania zinaonyesha kuwa maambukizi mapya ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Yx6pQStxG0E/U9-SsVrvWxI/AAAAAAAF9BY/XvdeXsYu4O0/s72-c/lukuviiii.jpg)
MAAMBUKIZI YA UKIMWI NCHINI YAPUNGUA KWA ASILIMIA 33
![](http://1.bp.blogspot.com/-Yx6pQStxG0E/U9-SsVrvWxI/AAAAAAAF9BY/XvdeXsYu4O0/s1600/lukuviiii.jpg)
Na Rose Masaka na Lorietha Laurence-MAELEZO
TANZANIA ni miongoni mwa Nchi ambazo zimeweza kupunguza maambuzi ya ugonjwa wa Ukimwi kwa asilimia 33.
Hayo yamesemwa leo jijini Dar es salaam na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Mhe. William Lukuvi wakati akiwaeleza waandishi wa habari kuhusu Mkutano wa 20 wa Kimataifa wa Ukimwi Duniani uliofanyika Melbourne nchini Australia Julai mwaka huu.
Amesema kuwa hatua hiyo imefikiwa baada ya Serikali kuanza zoezi la kuzuia maambukizi kutoka kwa mama...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-U0pnJcPNnx8/U7-qpR4QSwI/AAAAAAAF05g/Sy7qpoGYYeo/s72-c/2.jpg)
TACAIDS yathibitisha upatikanaji wa dawa za kupunguza makali ya Ukimwi (RAVs) nchini
![](http://2.bp.blogspot.com/-U0pnJcPNnx8/U7-qpR4QSwI/AAAAAAAF05g/Sy7qpoGYYeo/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5Bh0tOSEc8w/U7-qpzLYK5I/AAAAAAAF05k/LnjzK3PDoFw/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--JZvae5YtVw/U7-qprNzJ7I/AAAAAAAF058/GQlofUqGL8M/s1600/1.jpg)
10 years ago
Habarileo22 Nov
TACAIDS: Watanzania bado hawana uelewa wa ugonjwa wa Ukimwi
TUME ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) imesema kuongezeka kwa matumizi ya tiba mbadala katika ugonjwa wa Ukimwi kunatokana na zaidi ya asilimia 50 ya watanzania licha ya kusikia kuhusu ugonjwa huo, bado hawana uelewa wake.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JDRu-dVEreo/VOr6os8iPZI/AAAAAAAHFXQ/wH7IV7r8G58/s72-c/DSCF4679.jpg)
Wizara ya afya na Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Ukimwi wazindua rasmi Ripoti ya tafiti ya hali ya Maambukizi ya VVU nchini
![](http://3.bp.blogspot.com/-JDRu-dVEreo/VOr6os8iPZI/AAAAAAAHFXQ/wH7IV7r8G58/s1600/DSCF4679.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima22 Nov
Tacaids: Maadhimisho ya Ukimwi kuhakikisha azma ya sifuri tatu inafikiwa
TUME ya Kudhibiti Ukimwi (Tacaids), imesema kauli mbiu ya maadhimisho ya siku ya Ukimwi Duniani mwaka huu imelenga kutoa msukumo wa utekelezaji wa mikakati ya kudhibiti Ukimwi. Akizungumza jana jijini...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnX1TduGx3ZwJboRFmQupoU9mHS6TMNwKv*MeiXivf44mG-zPtMhrJ8pP5*RfvR7w4MOn4Z7Dz-KVjikZ6agE3Kf/1.jpg?width=650)
DAMU SALAMA: MAAMBUKIZI YA HOMA YA INI YAZIDI UKIMWI KWA 5.6%
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct4BimYh7MiX7rpWSExbZbWYeF0yPQ8rvPtyAoCfcK1BOqcjDBRR56mUz9stiptrSNrh8yXNApocotm6bOrdjUY81YDeAsyt/SIKUYAUKIMWI.jpg?width=650)
SIKU YA UKIMWI DUNIANI; MKOA WA NJOMBE BADO UNAONGOZA KWA MAAMBUKIZI
9 years ago
Bongo501 Dec
TACAIDS yadai mastaa wapo kwenye hatari zaidi ya kuathirika na virusi vya Ukimwi (Video)
![Mwenyekiti wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) Dr. Fatma Mrisho](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Mwenyekiti-wa-Tume-ya-Kudhibiti-Ukimwi-TACAIDS-Dr.-Fatma-Mrisho-300x194.jpg)
Wakati dunia leo inaadhimisha siku ya Ukimwi duniani, December 1, Tume ya Kudhibiti Ukimwi nchini, (TACAIDS) imesema watu maarufu wakiwemo wasanii ni watu walio kwenye hatari kubwa zaidi ya kupata maambukizi ya virusi vya Ukimwi kutokana na ushawishi wao na hivyo wanatakiwa kupewa elimu.
Mwenyekiti wa TACAIDS, Dr. Fatma Mrisho
Akizungumza na taasisi ya Global Shapers Community Dar es Salaam, Mwenyekiti TACAIDS, Dr. Fatma Mrisho, alisema ushawishi wa wasanii hao unawafanya watamaniwe na watu...