Tacaids: Maadhimisho ya Ukimwi kuhakikisha azma ya sifuri tatu inafikiwa
TUME ya Kudhibiti Ukimwi (Tacaids), imesema kauli mbiu ya maadhimisho ya siku ya Ukimwi Duniani mwaka huu imelenga kutoa msukumo wa utekelezaji wa mikakati ya kudhibiti Ukimwi. Akizungumza jana jijini...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog05 Jul
TACAIDS yakiri kupungua kwa maambukizi ya UKIMWI nchini
Afisa Mawasiliano Kutoka TACAIDS Bw. Godlease Malisa akizungumza na waandishi wa Habari (hawapo pichani) wakati wa mkutano na waandishi wa habari uliofanyika katika banda la TACAIDS kwenye viwanja vya Sabasaba jana Jijini Dar es Salaam, kulia ni Mkurugenzi wa Ufuatiliaji na Tathmini kutoka Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania Dr. Jerome Kamwela.
Na: Genofeva Matemu – Afisa Mawasiliano Serikali – WHVUM
Tafiti zilizofanywa na Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania zinaonyesha kuwa maambukizi mapya ya...
10 years ago
Habarileo22 Nov
TACAIDS: Watanzania bado hawana uelewa wa ugonjwa wa Ukimwi
TUME ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) imesema kuongezeka kwa matumizi ya tiba mbadala katika ugonjwa wa Ukimwi kunatokana na zaidi ya asilimia 50 ya watanzania licha ya kusikia kuhusu ugonjwa huo, bado hawana uelewa wake.
10 years ago
Michuzi12 Nov
Serikali kudhibiti ukimwi hadi kufikia maambukizi sifuri
Serikali imepanga mikakati na kusimamia juhudi zinazofanywa na kuendelezwa na wadau wa ukimwi kuhakikisha kuwa maambukizi mapya ya virusi vya ukimwi yanapungua hadi kufikia sifuri ifikapo mwaka 2025.
Kauli hiyo imetolewa na mwenyekiti mtendaji kutoka Tume ya kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) Dkt. Fatma H. Mrisho wakati wa mkutano wa serikali na wadau wa ukimwi kupitia utekelezaji wa programu za ukimwi jana jijini Dar es Salaam.
Akizungumza wakati wa mkutano huo...
10 years ago
Vijimambo12 Nov
SERIKALI KUDHIBITI UGONJWA WA UKIMWI KUFIKIA MAAMBUKIZI SIFURI
![](https://4.bp.blogspot.com/-c1xHReHUfGw/VGMXZivfsyI/AAAAAAACS7g/LtoUHouWx9k/s640/pix%2B1%2B(2).jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-N3jckQXK6Ls/VGMXZZdlQpI/AAAAAAACS7c/BeR3y63R0pI/s640/pix%2B2%2B(1).jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-LUvztU4Cbo0/VGMXa0cMmVI/AAAAAAACS70/EIztxN2Eav4/s640/pix%2B3%2B(1).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PoMEocBZxSA/Vlw-E2GTObI/AAAAAAAIJMw/7MhTJ9H_U2c/s72-c/Amb%2BMark%2BBradley%2BChildress.jpg)
Azma ya kuwa na kizazi kisicho na UKIMWI, muda wa vitendo ni sasa
![](http://4.bp.blogspot.com/-PoMEocBZxSA/Vlw-E2GTObI/AAAAAAAIJMw/7MhTJ9H_U2c/s400/Amb%2BMark%2BBradley%2BChildress.jpg)
Mwaka mmoja uliopita wakati wa maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani, niliandika makala kuhusu jitihada za kuwa na kizazi kisicho na UKIMWI nchini Tanzania. Toka wakati huo, kwa pamoja tumepiga hatua muhimu kuelekea katika kufikia azma hiyo, tukielekeza rasilimali na shughuli zetu kwenye maeneo yenye mahitaji zaidi nchini kote. Hata hivyo, bado tunahitajika kuongeza nguvu na kufanya zaidi. Bila ya kuongeza kasi...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-U0pnJcPNnx8/U7-qpR4QSwI/AAAAAAAF05g/Sy7qpoGYYeo/s72-c/2.jpg)
TACAIDS yathibitisha upatikanaji wa dawa za kupunguza makali ya Ukimwi (RAVs) nchini
![](http://2.bp.blogspot.com/-U0pnJcPNnx8/U7-qpR4QSwI/AAAAAAAF05g/Sy7qpoGYYeo/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5Bh0tOSEc8w/U7-qpzLYK5I/AAAAAAAF05k/LnjzK3PDoFw/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--JZvae5YtVw/U7-qprNzJ7I/AAAAAAAF058/GQlofUqGL8M/s1600/1.jpg)
9 years ago
Dewji Blog04 Dec
Watanzania Washauriwa Kujenga Kizazi Kisichokuwa na Maambukizi ya UKIMWI- “Kufikia sifuri tatuâ€
![](http://3.bp.blogspot.com/-MB9MihQwLjI/Vl2NKC3bSSI/AAAAAAAAIQo/UIQpvrQ9D3k/s1600/A%2B1.jpg)
Dk. Nalin Nag Mshauri Mwandamizi wa madawa, aleji, upungufu wa kinga pamoja na magonjwa ya kuambukiza kutoka hospitali za Apollo; New Delhi.
![](http://2.bp.blogspot.com/-zmIzUSFjQ8o/Vl2NLHMx-1I/AAAAAAAAIQw/korGT97Wdwo/s640/A%2B2.png)
Na Mwandishi wetu,
Siku ya UKIMWI duniani inaadhimishwa tarehe mosi desemba kila mwaka, kutoa fursa kwa jamii kuungana ulimwenguni kupiga vita gonjwa la UKIMWI, kuwapa moyo wale wote wanaoishi na virusi vya ukimwi na kuwakumbuka wote waliokufa kwa ugonjwa huu. Siku ya UKIMWI duniani iliadhimishwa kwa mara ya kwanza mwaka 1988.
Zaidi ya miaka 30 toka...
9 years ago
Bongo501 Dec
TACAIDS yadai mastaa wapo kwenye hatari zaidi ya kuathirika na virusi vya Ukimwi (Video)
![Mwenyekiti wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) Dr. Fatma Mrisho](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Mwenyekiti-wa-Tume-ya-Kudhibiti-Ukimwi-TACAIDS-Dr.-Fatma-Mrisho-300x194.jpg)
Wakati dunia leo inaadhimisha siku ya Ukimwi duniani, December 1, Tume ya Kudhibiti Ukimwi nchini, (TACAIDS) imesema watu maarufu wakiwemo wasanii ni watu walio kwenye hatari kubwa zaidi ya kupata maambukizi ya virusi vya Ukimwi kutokana na ushawishi wao na hivyo wanatakiwa kupewa elimu.
Mwenyekiti wa TACAIDS, Dr. Fatma Mrisho
Akizungumza na taasisi ya Global Shapers Community Dar es Salaam, Mwenyekiti TACAIDS, Dr. Fatma Mrisho, alisema ushawishi wa wasanii hao unawafanya watamaniwe na watu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-T34Tk2k1iLU/XmJey8EuYWI/AAAAAAALhlU/0KAwcfgtxOsezi1bGx9wEGgks4vqY0GrwCLcBGAsYHQ/s72-c/cc5c3b1c-fe1f-4d84-97bb-a1a1d9192272.jpg)
TACAIDS YASEMA KILA BAADA YA SAA MOJA WATU TISA WANAAMBUKIZWA UKIMWI, WENGI WAO NI VIJANA
TAKWIMU za maambukizi ya Ukimwi nchini Tanzania kwa sasa yanayonesha kuwa kwa mwaka kuna maambukizi mapya 72000 na kwa siku kuna maambukizi mapya ya watu 200 na hivyo kufanya kila saa moja kati ya watu nane hadi tisa wanaambukizwa ugonjwa huo.
Akizungumza leo Machi 6 mwaka 2020 Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania(TACAIDS) Dk.Leonard Maboko amefafanua mwaka 2016 hadi mwaka 2017 ulifanyika utafiti na kubaini kwa mwaka kuna...