Watanzania Washauriwa Kujenga Kizazi Kisichokuwa na Maambukizi ya UKIMWI- “Kufikia sifuri tatuâ€
Dk. Nalin Nag Mshauri Mwandamizi wa madawa, aleji, upungufu wa kinga pamoja na magonjwa ya kuambukiza kutoka hospitali za Apollo; New Delhi.
![](http://2.bp.blogspot.com/-zmIzUSFjQ8o/Vl2NLHMx-1I/AAAAAAAAIQw/korGT97Wdwo/s640/A%2B2.png)
Na Mwandishi wetu,
Siku ya UKIMWI duniani inaadhimishwa tarehe mosi desemba kila mwaka, kutoa fursa kwa jamii kuungana ulimwenguni kupiga vita gonjwa la UKIMWI, kuwapa moyo wale wote wanaoishi na virusi vya ukimwi na kuwakumbuka wote waliokufa kwa ugonjwa huu. Siku ya UKIMWI duniani iliadhimishwa kwa mara ya kwanza mwaka 1988.
Zaidi ya miaka 30 toka...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo12 Nov
SERIKALI KUDHIBITI UGONJWA WA UKIMWI KUFIKIA MAAMBUKIZI SIFURI
![](https://4.bp.blogspot.com/-c1xHReHUfGw/VGMXZivfsyI/AAAAAAACS7g/LtoUHouWx9k/s640/pix%2B1%2B(2).jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-N3jckQXK6Ls/VGMXZZdlQpI/AAAAAAACS7c/BeR3y63R0pI/s640/pix%2B2%2B(1).jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-LUvztU4Cbo0/VGMXa0cMmVI/AAAAAAACS70/EIztxN2Eav4/s640/pix%2B3%2B(1).jpg)
10 years ago
Michuzi12 Nov
Serikali kudhibiti ukimwi hadi kufikia maambukizi sifuri
Serikali imepanga mikakati na kusimamia juhudi zinazofanywa na kuendelezwa na wadau wa ukimwi kuhakikisha kuwa maambukizi mapya ya virusi vya ukimwi yanapungua hadi kufikia sifuri ifikapo mwaka 2025.
Kauli hiyo imetolewa na mwenyekiti mtendaji kutoka Tume ya kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) Dkt. Fatma H. Mrisho wakati wa mkutano wa serikali na wadau wa ukimwi kupitia utekelezaji wa programu za ukimwi jana jijini Dar es Salaam.
Akizungumza wakati wa mkutano huo...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6HHn9T_3A8c/UzFR5Bxu_eI/AAAAAAAFWKc/oUjNO3Zfczw/s72-c/unnamed+(23).jpg)
Watanzania washauriwa kujenga utamaduni wa kusoma, kuandika vitabu
![](http://2.bp.blogspot.com/-6HHn9T_3A8c/UzFR5Bxu_eI/AAAAAAAFWKc/oUjNO3Zfczw/s1600/unnamed+(23).jpg)
10 years ago
Tanzania Daima22 Nov
Tacaids: Maadhimisho ya Ukimwi kuhakikisha azma ya sifuri tatu inafikiwa
TUME ya Kudhibiti Ukimwi (Tacaids), imesema kauli mbiu ya maadhimisho ya siku ya Ukimwi Duniani mwaka huu imelenga kutoa msukumo wa utekelezaji wa mikakati ya kudhibiti Ukimwi. Akizungumza jana jijini...
11 years ago
Habarileo26 Apr
Mwanga washauriwa kujenga mshikamano
WANANCHI wa Jimbo la Mwanga lililopo mkoa wa Kilimanjaro wametakiwa kujenga mshikamano, umoja na upendo miongoni mwao, kwani kwa kufanya hivyo wataweza kujiletea maendeleo yao wenyewe na kuimarisha ustawi wa jamii katika jimbo hilo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3KGM3KZVxz60PvTjNf15NAQxeswPJ8RSaTxBD6H0ZXIvfiCOp18brc1K5X3sZCOIlcKoTTM7dvcJOimYth*0CrNEFwfb5Rc1/pelvicinflammatorydisease22866263.jpg?width=650)
MAAMBUKIZI KATIKA MFUMO WA KIZAZI (PELVIC INFLAMMATORY DISEASE)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PoMEocBZxSA/Vlw-E2GTObI/AAAAAAAIJMw/7MhTJ9H_U2c/s72-c/Amb%2BMark%2BBradley%2BChildress.jpg)
Azma ya kuwa na kizazi kisicho na UKIMWI, muda wa vitendo ni sasa
![](http://4.bp.blogspot.com/-PoMEocBZxSA/Vlw-E2GTObI/AAAAAAAIJMw/7MhTJ9H_U2c/s400/Amb%2BMark%2BBradley%2BChildress.jpg)
Mwaka mmoja uliopita wakati wa maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani, niliandika makala kuhusu jitihada za kuwa na kizazi kisicho na UKIMWI nchini Tanzania. Toka wakati huo, kwa pamoja tumepiga hatua muhimu kuelekea katika kufikia azma hiyo, tukielekeza rasilimali na shughuli zetu kwenye maeneo yenye mahitaji zaidi nchini kote. Hata hivyo, bado tunahitajika kuongeza nguvu na kufanya zaidi. Bila ya kuongeza kasi...
11 years ago
Mwananchi24 Jun
Maambukizi ya Ukimwi yatishia uhai wa watoto