Watanzania washauriwa kujenga utamaduni wa kusoma, kuandika vitabu
![](http://2.bp.blogspot.com/-6HHn9T_3A8c/UzFR5Bxu_eI/AAAAAAAFWKc/oUjNO3Zfczw/s72-c/unnamed+(23).jpg)
Watanzania wameshauriwa kujenga utamaduni wa kusoma vitabu ili kuchota maarifa mbalimbali na kuwasaidia katika kufanya shughuli mbalimbali za maendeleo.
Wito huo ulitolewa na mwandishi wa vitabu, Bw. Evodius Katare (pichani) ambaye pia ni Kaimu Mkurugenzi wa Utawa na Fedha wa Wakala wa Mradi wa Mabasi yaendayo haraka (DART) akiongea na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 Mar
Watanzania washauriwa kusoma, kuandika vitabu
WATANZANIA wameshauriwa kujenga utamaduni wa kusoma vitabu ili kupata maarifa ya kuwasaidia katika kufanya shughuli mbalimbali za maendeleo. Wito huo ulitolewa na mwandishi wa vitabu, Evodius Katare, ambaye pia ni...
11 years ago
Dewji Blog13 Jun
“Wajengeeni watoto utamaduni wa kusoma vitabu” — Mama Salma Kikwete
MKE wa Rais na Mwenyekiti wa WAMA, Mama Salma Kikwete akizindua rasmi Tamasha la kwanza la vitabu vya watoto sambamba na kampeni ya usomaji yenye kauli mbiu ‘Mpe Kila Mtoto Kitabu’ kwenye uzinduzi uliofanyika Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam leo.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog)
Na Damas Makangale, MOblog Tanzania
MKE wa Rais, Mama Salma Kikwete amewataka walezi na wazazi nchini kuwanunulia vitabu watoto wao ili kuwajengea utamaduni wa kupenda kujisomea vitabu vya ziada...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3yT1PeYSyWA/XvXgcB0jf5I/AAAAAAALvg4/16UXGgFd-0wIxAtcs8adE8Xse7Vc5ppAwCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1-4.jpg)
Jamii yatakiwa Kuwa na Utamaduni wa Kusoma Vitabu ili kuongeza Maarifa.
![](https://1.bp.blogspot.com/-3yT1PeYSyWA/XvXgcB0jf5I/AAAAAAALvg4/16UXGgFd-0wIxAtcs8adE8Xse7Vc5ppAwCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1-4.jpg)
Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Utamaduni Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt.Emmanuel Temu akizungumza kwa niaba ya Mhe Dkt. Harrison Mwakyembe Waziri wa Wizara hiyo katika hafla ya uzinduzi wa Kitabu kinachoitwa “Rais Magufuli na Serikali yake walivyobomoa Hekalu na kulijenga upya”kilichoandikwa na Mw.Projestus Vedasto Kabagambe uliofanyika jana Jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PIX-2-3.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Benki yahimiza wanafunzi kujenga tabia ya kusoma vitabu
BENKI ya Afrika Tanzania imewataka wanafunzi nchini kujijengea tabia ya kusoma vitabu kama njia kuu itakayowawezesha kukuza upeo wao kiakili na kuweza kuchanganua mambo mbalimbali. Meneja Mwandamizi wa benki hiyo,...
11 years ago
Mwananchi02 Apr
Watanzania milioni 14 hawajui kusoma, kuandika?
9 years ago
Dewji Blog04 Dec
Watanzania Washauriwa Kujenga Kizazi Kisichokuwa na Maambukizi ya UKIMWI- “Kufikia sifuri tatuâ€
![](http://3.bp.blogspot.com/-MB9MihQwLjI/Vl2NKC3bSSI/AAAAAAAAIQo/UIQpvrQ9D3k/s1600/A%2B1.jpg)
Dk. Nalin Nag Mshauri Mwandamizi wa madawa, aleji, upungufu wa kinga pamoja na magonjwa ya kuambukiza kutoka hospitali za Apollo; New Delhi.
![](http://2.bp.blogspot.com/-zmIzUSFjQ8o/Vl2NLHMx-1I/AAAAAAAAIQw/korGT97Wdwo/s640/A%2B2.png)
Na Mwandishi wetu,
Siku ya UKIMWI duniani inaadhimishwa tarehe mosi desemba kila mwaka, kutoa fursa kwa jamii kuungana ulimwenguni kupiga vita gonjwa la UKIMWI, kuwapa moyo wale wote wanaoishi na virusi vya ukimwi na kuwakumbuka wote waliokufa kwa ugonjwa huu. Siku ya UKIMWI duniani iliadhimishwa kwa mara ya kwanza mwaka 1988.
Zaidi ya miaka 30 toka...
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Ripoti:Wasiojua kusoma na kuandika waongezeka
10 years ago
Habarileo16 Apr
Wasiojua kusoma,kuandika kutoenda darasa la tatu.
KATIKA kuhakikisha inaondoa kabisa tatizo la watu wasiojua kusoma na kuandika nchini, Serikali imefanya mabadiliko ambapo kuanzia sasa mtoto wa darasa la pili hawezi kuruhusiwa kuingia darasa la tatu kama hajui kusoma, kuandika na kuhesabu ili kuondoa tatizo la watoto wanaomaliza shule ya msingi wakiwa hawajui kusoma.
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Wanafunzi 430 hawajui kusoma wala kuandika