Wasiojua kusoma,kuandika kutoenda darasa la tatu.
KATIKA kuhakikisha inaondoa kabisa tatizo la watu wasiojua kusoma na kuandika nchini, Serikali imefanya mabadiliko ambapo kuanzia sasa mtoto wa darasa la pili hawezi kuruhusiwa kuingia darasa la tatu kama hajui kusoma, kuandika na kuhesabu ili kuondoa tatizo la watoto wanaomaliza shule ya msingi wakiwa hawajui kusoma.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Ripoti:Wasiojua kusoma na kuandika waongezeka
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Wahitimu 344 darasa la saba hawajui kusoma wala kuandika
11 years ago
Habarileo05 Feb
Wasiojua kuandika wasomea gesi Veta
WANAFUNZI 64 waliojiunga katika Chuo cha Mamlaka Ufundi Stadi (Veta) mjini Lindi mkoani humo mwaka jana, baadhi yao wamebainika hawajui kusoma wala kuandika.
11 years ago
Mwananchi02 Apr
Watanzania milioni 14 hawajui kusoma, kuandika?
11 years ago
Tanzania Daima26 Mar
Watanzania washauriwa kusoma, kuandika vitabu
WATANZANIA wameshauriwa kujenga utamaduni wa kusoma vitabu ili kupata maarifa ya kuwasaidia katika kufanya shughuli mbalimbali za maendeleo. Wito huo ulitolewa na mwandishi wa vitabu, Evodius Katare, ambaye pia ni...
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Wanafunzi 430 hawajui kusoma wala kuandika
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
Watoto wengi hawajui kusoma kuandika — Utafiti
ASILIMIA 61 ya watoto walio na umri wa chini ya miaka tisa hawawezi kusoma Kiswahili, Kiingereza na kufanya hesabu za kuzidisha huku wanafunzi wa shule binafsi wakionekana kufanya vizuri katika...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6HHn9T_3A8c/UzFR5Bxu_eI/AAAAAAAFWKc/oUjNO3Zfczw/s72-c/unnamed+(23).jpg)
Watanzania washauriwa kujenga utamaduni wa kusoma, kuandika vitabu
![](http://2.bp.blogspot.com/-6HHn9T_3A8c/UzFR5Bxu_eI/AAAAAAAFWKc/oUjNO3Zfczw/s1600/unnamed+(23).jpg)
11 years ago
Habarileo31 Dec
254 wa darasa la 7 mkoa wa Arusha hawajui kusoma
WILAYA ya Ngorongoro inaongoza kwa kuwa na wanafunzi 124 waliomaliza darasa la saba mwaka huu bila ya kujua kusoma, kuandika na kuhesabu.