Wasiojua kuandika wasomea gesi Veta
WANAFUNZI 64 waliojiunga katika Chuo cha Mamlaka Ufundi Stadi (Veta) mjini Lindi mkoani humo mwaka jana, baadhi yao wamebainika hawajui kusoma wala kuandika.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Ripoti:Wasiojua kusoma na kuandika waongezeka
10 years ago
Habarileo16 Apr
Wasiojua kusoma,kuandika kutoenda darasa la tatu.
KATIKA kuhakikisha inaondoa kabisa tatizo la watu wasiojua kusoma na kuandika nchini, Serikali imefanya mabadiliko ambapo kuanzia sasa mtoto wa darasa la pili hawezi kuruhusiwa kuingia darasa la tatu kama hajui kusoma, kuandika na kuhesabu ili kuondoa tatizo la watoto wanaomaliza shule ya msingi wakiwa hawajui kusoma.
9 years ago
StarTV04 Dec
Waandishi wa habari wajengewa uwezo Mtwara kuandika Habari Za Gesi Na Mafuta
Mradi wa kuwajengea uwezo waandishi wa habari wanaoandika habari za gesi na mafuta katika nchi tatu za Afrika, Tanzania, Uganda na Ghana unaoendeshwa na chama cha waandishi wa habari za Mazingira JET pamoja na wadau wengine umeanza kuzaa matunda baada ya kuwepo kwa ongezeko la habari zinazogusa sekta hiyo mpya hapa nchini.
Katika awamu ya pili ya mafunzo hayo kwa waandishi wa habari wanane wa Tanzania ambao hapo awali walihudhuria mafunzo hayo mjini Accra Ghana, imebainishwa kuwa tangu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZGGCrW1JrgitixY1fXblQOEf0kNJ4I7szo0nOIUHM2o7TfXSwo7Cpgq8HSfI4fUI3FyoaAJDglRYkOCnOyzkHCYSDgmcut48/Untitled.png?width=650)
VETA YAKUTANA NA WADAU WA VIWANDA VYA UMEME NA MAGARI KUJADILI KUHUSU MRADI WA MAFUNZO YANAYOTOLEWA NA VETA KWA KUSHIRIKIANA NA VIWANDA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9D-pkfgTUoI/VPwnAbhVSQI/AAAAAAAAqn0/YjiABC1CFas/s72-c/Untitled.png)
VETA YAKUTANA NA WADAU WA VIWANDA VYA UMEME NA MAGARI KUJADILI KUHUSU MRADI WA MAFUNZO YANAYOTOLEWA NA VETA KWA KUSHIRIKIANA NA VIWANDA
Mradi huo uliopo kwenye majaribio tangu kuanzishwa kwake mwaka 2011 kwa ushirikiano kati ya Hamburg Chamber of Skills Craft ya Ujerumani na VETA,unalenga kuandaa idadi kubwa ya mafundi stadi wenye ujuzi zaidi kwa vitendo kwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-hcy-DhTagA4/VCH0gSSH2nI/AAAAAAADFNs/DPdSw_pFnE4/s72-c/Awali%2B2.jpg)
Wanafunzi wasomea chini ya mti
![](http://4.bp.blogspot.com/-hcy-DhTagA4/VCH0gSSH2nI/AAAAAAADFNs/DPdSw_pFnE4/s1600/Awali%2B2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wgSjSIFz4Uk/VCH0dK_c_BI/AAAAAAADFNk/t_nO866fkz8/s1600/IMG_0088.jpg)
WANAFUNZI wa darasa la awali katika Shule ya Msingi Nakayaya Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma wanasomea chini ya mti kutokana na darasa hilo kuendeshwa bila ya kuwa na chumba maalum kwa ajili ya kusomea wanafunzi hao.
Hali hiyo imebainika baada ya mwandishi wa habari hizi kuitembelea shule...
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Wanafunzi Tunduru wasomea chini ya Mti
WANAFUNZI wa darasa la awali shule ya Msingi Nakayaya wilayani hapa mkoani Ruvuma, wanasomea chini ya mti kutokana na darasa hilo kuendeshwa bila ya kuwa na chumba maalum. Hali hiyo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TQDVHBx0tuUBiwG8M23zpe4KIIiwbeyLqYMo2QgIdrRe5jkwG5uAmPLG2PSqne15jKob7-xyr0yhJPahcdjIdljIBeoGrj6Q/IMG_0088.jpg?width=650)
WANAFUNZI WA CHEKECHEA TUNDURU WASOMEA CHINI YA MTI
9 years ago
Habarileo01 Oct
Warioba: Msichague wasiojua historia
WAZIRI Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba amehadharisha umma wa Watanzania kuepuka kumkubali na kumchagua kiongozi asiyejua historia ya nchi, ilikotoka na ilipo. Akieleza kushangazwa na kile alichokiita ‘wimbo’ kwamba CCM haijafanya chochote katika miaka 54 tangu ipate huru, aliwashangaa zaidi watu wanaotumia jina la Mwalimu Julius Nyerere, mwasisi wa taifa, huku wakimuona dira, lakini wakisisitiza kwamba, hakufanya chochote.