Wanafunzi Tunduru wasomea chini ya Mti
WANAFUNZI wa darasa la awali shule ya Msingi Nakayaya wilayani hapa mkoani Ruvuma, wanasomea chini ya mti kutokana na darasa hilo kuendeshwa bila ya kuwa na chumba maalum. Hali hiyo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TQDVHBx0tuUBiwG8M23zpe4KIIiwbeyLqYMo2QgIdrRe5jkwG5uAmPLG2PSqne15jKob7-xyr0yhJPahcdjIdljIBeoGrj6Q/IMG_0088.jpg?width=650)
WANAFUNZI WA CHEKECHEA TUNDURU WASOMEA CHINI YA MTI
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-hcy-DhTagA4/VCH0gSSH2nI/AAAAAAADFNs/DPdSw_pFnE4/s72-c/Awali%2B2.jpg)
Wanafunzi wasomea chini ya mti
![](http://4.bp.blogspot.com/-hcy-DhTagA4/VCH0gSSH2nI/AAAAAAADFNs/DPdSw_pFnE4/s1600/Awali%2B2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wgSjSIFz4Uk/VCH0dK_c_BI/AAAAAAADFNk/t_nO866fkz8/s1600/IMG_0088.jpg)
WANAFUNZI wa darasa la awali katika Shule ya Msingi Nakayaya Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma wanasomea chini ya mti kutokana na darasa hilo kuendeshwa bila ya kuwa na chumba maalum kwa ajili ya kusomea wanafunzi hao.
Hali hiyo imebainika baada ya mwandishi wa habari hizi kuitembelea shule...
10 years ago
Mwananchi14 Oct
Wanafunzi darasa la kwanza hadi la saba wasomea madarasa matatu
10 years ago
Vijimambo20 Oct
Mtoto aliyeibwa apatikana chini ya mti
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Kisime--October20-2014.jpg)
Mtoto huyo aliibwa usiku wa kuamkia Alhamisi iliyopita na kupatikana Ijumaa ambayo gazeti hili liliandika habari za kuibwa kwake.
Baada ya taarifa za kupotea mtoto huyo wa kike ambaye hadi...
10 years ago
Habarileo17 Jun
Mwandosya akusanya wadhamini chini ya mti
MGOMBEA anayewania kuteuliwa na CCM kupeperusha bendera ya chama kwenye uchaguzi mkuu ujao, Profesa Mark Mwandosya amewataka wadhamini wake kutosikitika pale wanaposikia akibezwa kwa sababu amedhaminiwa na wanaCCM 30 waliowekwa kwa mujibu wa taratibu za chama.
10 years ago
Habarileo26 Nov
Mbunge ataka kufahamu mafanikio ya ‘Kata Mti Panda Mti
TANGU kampeni ya upandaji miti ya ‘Kata Mti Panda Mti’ ianzishwe mwaka 1998, idadi ya miti 1,864,452,063 imepandwa kote nchini, Bunge limefahamishwa.
11 years ago
MichuziRais Kikwete afungua ujenzi wa barabara Tunduru - Mangaka matemanga,pia azindua mradi wa maji Nalasi -Tunduru
10 years ago
Tanzania Daima20 Oct
Wanafunzi walala chini Geita
MBUNGE wa Busanda mkoani Geita, Lolensia Bukwiba amemwaga machozi baada ya kukuta wanafunzi wa kike zaidi 25 wa shule ya Sekondari Nyakamwaga wakilala chini kwa kukosa vitanda. Hali hiyo ilijitokeza...