Wanafunzi walala chini Geita
MBUNGE wa Busanda mkoani Geita, Lolensia Bukwiba amemwaga machozi baada ya kukuta wanafunzi wa kike zaidi 25 wa shule ya Sekondari Nyakamwaga wakilala chini kwa kukosa vitanda. Hali hiyo ilijitokeza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-HqPSV1OQxTA/VORdjgUHogI/AAAAAAADNxs/5SznAlopIrM/s72-c/Picture%2B125.jpg)
wanafunzi Tunduma walala barabarani baada Lori kuua mwanafunzi
![](http://1.bp.blogspot.com/-HqPSV1OQxTA/VORdjgUHogI/AAAAAAADNxs/5SznAlopIrM/s1600/Picture%2B125.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5HA5abmZ4z0/VORchrcw01I/AAAAAAADNxU/GJkdve97aiA/s1600/Picture%2B041.jpg)
Lori linaloonekana pembeni limepinduka, limesababisha ajali na kuua mwanafunzi.
![](http://3.bp.blogspot.com/--I04A5R6qGE/VORduK-FF_I/AAAAAAADNx8/yr_3sqffLP4/s1600/Picture%2B050.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-hcy-DhTagA4/VCH0gSSH2nI/AAAAAAADFNs/DPdSw_pFnE4/s72-c/Awali%2B2.jpg)
Wanafunzi wasomea chini ya mti
![](http://4.bp.blogspot.com/-hcy-DhTagA4/VCH0gSSH2nI/AAAAAAADFNs/DPdSw_pFnE4/s1600/Awali%2B2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wgSjSIFz4Uk/VCH0dK_c_BI/AAAAAAADFNk/t_nO866fkz8/s1600/IMG_0088.jpg)
WANAFUNZI wa darasa la awali katika Shule ya Msingi Nakayaya Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma wanasomea chini ya mti kutokana na darasa hilo kuendeshwa bila ya kuwa na chumba maalum kwa ajili ya kusomea wanafunzi hao.
Hali hiyo imebainika baada ya mwandishi wa habari hizi kuitembelea shule...
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Wanafunzi Tunduru wasomea chini ya Mti
WANAFUNZI wa darasa la awali shule ya Msingi Nakayaya wilayani hapa mkoani Ruvuma, wanasomea chini ya mti kutokana na darasa hilo kuendeshwa bila ya kuwa na chumba maalum. Hali hiyo...
10 years ago
Mwananchi09 Nov
Wanafunzi Geita walalamikia kutumikishwa na walimu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TQDVHBx0tuUBiwG8M23zpe4KIIiwbeyLqYMo2QgIdrRe5jkwG5uAmPLG2PSqne15jKob7-xyr0yhJPahcdjIdljIBeoGrj6Q/IMG_0088.jpg?width=650)
WANAFUNZI WA CHEKECHEA TUNDURU WASOMEA CHINI YA MTI
10 years ago
Mwananchi29 Oct
Wanafunzi wenye ulemavu wapata ujauzito Geita
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Wanafunzi hatarini kupata magonjwa ya mlipuko Geita
10 years ago
CloudsFM29 Oct
WANAFUNZI WENYE ULEMAVU WA AKILI WAPATA UJAUZITO GEITA
Wanafunzi watatu ambao ni walemavu wa akili wanaosoma Shule Maalumu ya Msingi Mbugani, Halmashauri ya Mji Geita wamekatiza masomo baada ya kubakwa na kupata mimba.
Wanafunzi hao wameacha masomo tangu mwanzoni mwa mwaka huu kwa sababu ya ujauzito, baada ya kubakwa na watu wasiojulikana wakiwa njiani kwenda shule.
Akizungumza ofisini kwake juzi, Mwalimu Mkuu Kitengo cha Wanafunzi Walemavu, Mtawa Blacia Mghamba alisema wanafunzi hao wamefanyiwa vitendo hiyo kutokana na shule hiyo kutokuwa na...
10 years ago
CloudsFM09 Oct
WANAFUNZI NJOMBE WAWEKWA CHINI YA ULINZI KWA TUHUMA ZA KUCHOMA SHULE
Kamishna wa Elimu Nchini Ameifunga Shule ya Sekondari ya Njombe (NJOSS) Kwa Muda wa Mwezi Mmoja Kutokana na Vurugu Zilizotokea Katika Shule Hiyo na Kusababisha Hasara ya Zaidi ya Shilingi Milioni Moja.
Akifunga Shule Hiyo Kwa niaba ya Kamishna wa Elimu Nchini, Afisa Elimu Shule za Sekondari Mkoani Njombe Said Nyasiro Amesema Wameifunga Shule Hiyo Kutokana Uharibifu Uliofanywa na Wanafunzi Ikiwemo Kuchoma Jengo la Bweni na Karakana Pamoja Kupisha Uchunguzi Juu ya Tukio Hilo.
Aidha Afisa Elimu...