Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANAFUNZI NJOMBE WAWEKWA CHINI YA ULINZI KWA TUHUMA ZA KUCHOMA SHULE

Kamishna wa Elimu Nchini Ameifunga Shule ya Sekondari ya Njombe (NJOSS) Kwa Muda wa Mwezi Mmoja Kutokana na Vurugu Zilizotokea Katika Shule Hiyo na Kusababisha Hasara ya Zaidi ya Shilingi Milioni Moja.Akifunga Shule Hiyo Kwa niaba ya Kamishna wa Elimu Nchini, Afisa Elimu Shule za Sekondari Mkoani Njombe Said Nyasiro Amesema Wameifunga Shule Hiyo Kutokana Uharibifu Uliofanywa na Wanafunzi Ikiwemo Kuchoma Jengo la Bweni na Karakana Pamoja Kupisha Uchunguzi Juu ya Tukio Hilo.Aidha Afisa Elimu...

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI NJOMBE CHINI YA ULINZI KWA MBINU YA KULIPUA MBWENI

Wanafunzi hao wakiwa chini ya ulinzi wa polisi kabla ya kupelekwa kituo cha polisi.Bweni linalodaiwa kuchomwa na wanafunzi hao.Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Njombe, Fulgence Ngonyani (wa pili kushoto) akionyeshwa jinsi bweni lilivyoteketezwa kwa moto huku akiwa na askari wake. Wanafunzi hao wakiingizwa katika gari la polisi.

 

9 years ago

Mwananchi

Saba mbaroni kwa tuhuma za kuchoma makanisa Bukoba

Watu saba wametiwa mbaroni na polisi mkoani Kagera kwa tuhuma za kuhusika na uchomaji moto wa makanisa matatu hali iliyosababisha taharuki kwa waumini wa makanisa hayo mjini Bukoba.

 

10 years ago

Vijimambo

Tisa wawekwa chini ya karantini kwa Ebola

Waziri wa Afya, Seif Rashid
Watu tisa wamewekwa chini ya karantini kutokana na kumhudumia mtu anayedaiwa kufariki kwa ugonjwa wa Ebola katika hospitali ya wilaya ya Sengerema, Mwanza mwishoni mwa wiki.

Idadi hiyo imefikia baada ya wafanyakazi watatu wa halmashauri ya wilaya ya Sengerema waliohusika kuuzika mwili wa mgonjwa huyo, Salome Richard (17), kuzuiwa kuchanganyika na wanajamii hadi vipimo halisi vitakapothibitisha ni ugonjwa gani uliomuua msichana huyo.

Salome alifariki usiku wa kumkia...

 

9 years ago

Mwananchi

Mwenyekiti wa CUF Bukoba na wengine 15 mbaroni kwa tuhuma za kuchoma makanisa

Jeshi la Polisi limewakamata watu 16 akiwamo Mwenyekiti wa CUF Wilaya ya Bukoba kwa madai ya kuhusika na vitendo vya uchomaji wa makanisa katika maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Bukoba.

 

5 years ago

Michuzi

Zaidi ya wanajeshi elfu moja (1000) wa Israel wawekwa chini ya karantini kwa corona

 Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limetangaza kuwa, wanajeshi 1040 wa utawala huo ghasibu wamewekwa chini ya karantini kutokana na virusi vya corona.

Televisheni ya al Alam imenukuu taarifa iliyotolewa na Aviv Kochavi, mkuu wa majeshi ya Israel akisema kuwa, utawala huo umechukua hatua hiyo ili kupunguza idadi ya wanajeshi wake waliokumbwa na virusi hatari vya corona.

Siku ya Ijumaa pia utawala wa Kizayuni ulitangaza kuwa, mwanajeshi yeyote wa utwaala huo hana ruhusa ya kuondoka kwenye...

 

5 years ago

Michuzi

Njombe:Anusurika kuuawa kwa tuhuma za kuiba gunia za mkaa


 Na Amiri kilagalila,Njombe

Mtu mmoja anaefahamika kwa jina la Issa Setti maarufu Mngoni ambaye ni dereva bodaboda kituo cha Lutilage mjini Njombe amenusurika kuuawa na wananchi wenye hasira kali wa mtaa wa Idundilanga akituhumiwa kuiba gunia mbili za mkaa.

Wakizungumza kwa hisia kali wakazi wa mtaa huo wenye mikasa mingi ya wizi na uporaji akiwemo Joseph Kasiani na Grace Michael wamesema kijana huyo amekuwa na tabia ya wizi na udokozi wa kupindukia kwa kipindi kirefu na kutupiwa lawama na...

 

5 years ago

Michuzi

Njombe:Kijana mbaroni kwa tuhuma za kumlawiti mwenzake wa miaka 15

Na Amiri kilagalila,NjombeMKAZI wa mtaa wa Kivavi mjini Makambako mkoani Njombe Peter paulo Chaula (30) anashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kumlawiti mwenzake mwenye umri wa miaka 15 akionekana kuwa na mazoea kutokana na madai kuwa ni mpenzi wake.
Akizungumza na kituo hiki kwa njia ya simu kamanda Issa amesema mtuhumiwa huyo anashikiliwa na jeshi hilo baada ya kupata taarifa hizo kutoka kwa wananchi.
“Kijana huyu Peter Chaula ni mfanyabiashara,ni hali isiyoyakawaida kwasababu baada...

 

10 years ago

Habarileo

Shehe Maduga na wenzake wawekwa chini ya uangalizi

MWANAZUONI na Mwanaharakati maarufu wa Kiislamu, Shehe Waziri Amani Maduga na wenzake wanne wote wakazi wa mkoa wa Morogoro wamewekwa chini ya uangalizi wa miaka miwili huku wakitakiwa kutunza amani ya nchi baada ya kutolewa kwa amri na mahakama kufuatia ombi la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania dhidi yao.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kwa nini Katiba itayarishwe chini ya ulinzi?

KITU chochote kinachotayarishwa kwa manufaa ya jamii huku jamii husika ikiamini kwamba kitu hicho ni kwa manufaa yake, kawaida huwa hakitiliwi shaka, hakuna awezaye kuihofia jamii kuhusu matayarisho hayo, sababu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani