wanafunzi Tunduma walala barabarani baada Lori kuua mwanafunzi
![](http://1.bp.blogspot.com/-HqPSV1OQxTA/VORdjgUHogI/AAAAAAADNxs/5SznAlopIrM/s72-c/Picture%2B125.jpg)
Lori lililosababisha ajali na kuua mwanafunzi na kusababisha wanafunzi wa shule za msingi Tunduma kulala barabarani wakishinikiza kuwekwa kwa matuta.
Baadhi ya wanafunzi wa shule za Msingi Umoja,Mlimani na Tunduma za mjini Tunduma wakiandamana kushinikiza kuwekwa matuta kwenye inayoelekea Sumbawanga kutokana na ajali za mara kwa mara zinazosababishwa na mwendo kasi wa madereva.
Lori linaloonekana pembeni limepinduka, limesababisha ajali na kuua mwanafunzi. Wanafunzi wakiwa wamekaa barabarani...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://www.itv.co.tz/media/image/LORI.jpg?width=650)
LORI LATEKETEA KWA MOTO BAADA YA KUGONGANA NA LORI LINGINE
10 years ago
Tanzania Daima20 Oct
Wanafunzi walala chini Geita
MBUNGE wa Busanda mkoani Geita, Lolensia Bukwiba amemwaga machozi baada ya kukuta wanafunzi wa kike zaidi 25 wa shule ya Sekondari Nyakamwaga wakilala chini kwa kukosa vitanda. Hali hiyo ilijitokeza...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-65DoKbnrj34/VCJTtlH9liI/AAAAAAAAOE8/nOy-ZXUZwzA/s72-c/AJALI%2BMBAYA%2BTABORA.4.jpg)
LORI LAPINDUKA NA KUUA WANNE MBEYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-65DoKbnrj34/VCJTtlH9liI/AAAAAAAAOE8/nOy-ZXUZwzA/s1600/AJALI%2BMBAYA%2BTABORA.4.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
AJALI MBAYA: MWANAFUNZI MAKONGO AGONGWA NA LORI, AFARIKI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-TmE0duEoKH0Qv3pU6wgIwNKe8wodz4w5of16psbIX-fmjT0DQW3JOhSczT1xQ-OAXYivFoToFDN7OZptb-3H*o/ajali3.jpg)
TASWIRA ZA AJALI YA COASTER ILIYOGONGANA NA LORI NA KUUA WATU 23 IRINGA
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Gari la polisi lagonga, kuua mwanafunzi Pwani
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-H4muyge3iG0/UwTFGUVZRAI/AAAAAAAALCI/FivRpsR2pjM/s1600/se4.jpg)
LORI LA MAFUTA LADONDOKA MILIMA SEKENKE, LALIPUKA NA KUUA WATU WANNE
11 years ago
Dewji Blog18 Jul
Lori la mizigo lagonga Kilabu cha Pombe na kuua watu watano papo hapo!
Lori la Mizigo likiwa limepaki katikati ya kilabu hicho cha pombe ambacho kilisambalatishwa chote na chini ni mabaki ya kilabu hicho.
Mashuhuda wakiwa wanashuhudia ajali hiyo baada ya kutokea .
Maiti nne za marehemu ambao walifariki papo hapo baada ya Lori hilo kugonga kilabu hicho ikiwa imehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti Hospitali ya Rufaa ya Iringa.
Baadhi ya wananchi wa Eneo la Isimila wakiwa wameongezeka kushuhudia ajali hiyo mbaya iliyouwa wata watano papo hapo.
Hivi...