AJALI MBAYA: MWANAFUNZI MAKONGO AGONGWA NA LORI, AFARIKI
![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
Mwanafunzi wa shule ya Makongo, Priscus Mallya amegongwa na lori na kufariki papo hapo. Marehemu Priscus Mallya akiwa katikati ya barabara baada ya kugongwa.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QsYVKE-pbjZhLXC8dgbDzwqxa1kmBoUXyH0LGmCuBv5FTYx0L1nQBnaDkct6Zo6cuSB0LlikQJbwUvPg7j8XLMWuc3P4e*eD/IMG20141230WA0012.jpg)
LORI LA MAFUTA LAPATA AJALI MBAYA TANGA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oB6VN1Gekgc/UuyxT9n0WII/AAAAAAAFKDw/szxxmwArUfE/s72-c/New+Picture+(2).bmp)
MWANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI AFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA BARABARANI JIJINI MBEYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-oB6VN1Gekgc/UuyxT9n0WII/AAAAAAAFKDw/szxxmwArUfE/s1600/New+Picture+(2).bmp)
MWANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI AFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA BARABARANI.
gari ambalo halikuweza kufahamika namba zake za usajili wala jina la dereva wake lilimgonga mtembea kwa miguu mwanafunzi wa darasa la pili katika shule ya msingi mbuyuni aliyetambulika kwa jina la daima faida (08) mkazi wa mbuyuni na kusababisha kifo chake papo hapo. ajali hiyo ilitokea majira ya saa 06:55hrs asubuhi...
10 years ago
Mwananchi11 Jul
Mwanafunzi agongwa, wakazi wachoma moto kituo cha polisi
11 years ago
CloudsFM04 Jul
POLISI AMRUBUNI MWANAFUNZI KUFANYA NAYE MPENZI,AMWACHA CHUMBANI KWAKE,NYUMBA YAKE YAUNGUA MOTO,MWANAFUNZI AFARIKI DUNIA
Wananchi wa Mlangali, Ludewa wakiwa wamekizingira kituo cha polisi Mlangali mara baada ya kuipeleka maiti ya mtoto aliyeteketea kwa moto katika kituo hicho.
KIONGOZI wa mbio za mwenge Kitaifa awatuliza wananchi wa Mlangali wilaya ya Ludewa ambao baadhi yao waliandamana kituo cha polisi kushinikiza kutolewa kwa askari polisi aliyedaiwa kusababisha kifo cha mtoto ili auwawe.
Kiongozi huyo aliwaomba wananchi wa Mlangali kutokubali kujihusisha na vitendo vya uvunjifu wa amani ikiwa ni pamoja na...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-HqPSV1OQxTA/VORdjgUHogI/AAAAAAADNxs/5SznAlopIrM/s72-c/Picture%2B125.jpg)
wanafunzi Tunduma walala barabarani baada Lori kuua mwanafunzi
![](http://1.bp.blogspot.com/-HqPSV1OQxTA/VORdjgUHogI/AAAAAAADNxs/5SznAlopIrM/s1600/Picture%2B125.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5HA5abmZ4z0/VORchrcw01I/AAAAAAADNxU/GJkdve97aiA/s1600/Picture%2B041.jpg)
Lori linaloonekana pembeni limepinduka, limesababisha ajali na kuua mwanafunzi.
![](http://3.bp.blogspot.com/--I04A5R6qGE/VORduK-FF_I/AAAAAAADNx8/yr_3sqffLP4/s1600/Picture%2B050.jpg)
10 years ago
Mwananchi18 Oct
Majeruhi wa moto wa lori la mafuta Mbagala hali bado mbaya
9 years ago
Dewji Blog26 Sep
Ajali ya basi la City Boys yaua 3, Singida, mwingine agongwa na Noah
Kamanda wa polisI Mkoani Singida (ACP) Thobias Sedoyeka (pichani)akizungumza na waandishi wa habari juu ya kutokea kwa ajali ya basi la City Boys na kusababisha vifo vya watu watatu Wilayani Iramba na mwingine kugongwa na Noah Singida vijijini. (PICHA NA HILLARY SHOO).
Na Hillary Shoo, IRAMBA
WATU wanne wamefariki dunia Mkoani Singida baada ya kupata ajali ya kugongwa na basi la City Boys na mwingine Noah wakati wakivuka barabara eneo la Ulemo barabara kuu ya Singida- Nzega.
Kamanda wa...
11 years ago
Tanzania Daima27 Jul
Mwendesha bodaboda agongana na lori, afariki
DEREVA pikipiki yenye namba za usajili T 359 CQR mkazi wa Kibaha Kirunge, Mkoa wa Pwani, Frank Thomas (37), amefariki dunia baada ya kugongana na lori. Kamanda wa Polisi Mkoa...