Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Gari la polisi lagonga, kuua mwanafunzi Pwani

Wanafunzi wawili wa shule ya Msingi Misugusugu mkoani Pwani wamegongwa na gari la polisi wakivuka barabara leo asubuhi, mmoja afariki na mwingine ajeruhiwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BASI LAGONGA TRENI NA KUUA IFAKARA

Basi la Super Aljabir baada ya ajali. Basi hilo likiwa limepinduka.…

 

11 years ago

Dewji Blog

Lori la mizigo lagonga Kilabu cha Pombe na kuua watu watano papo hapo!

unnamed

Lori la Mizigo likiwa limepaki katikati ya kilabu hicho cha pombe ambacho kilisambalatishwa chote na chini ni mabaki ya kilabu hicho.

unnamed (9)

Mashuhuda wakiwa wanashuhudia ajali hiyo baada ya kutokea .

unnamed (10)

Maiti nne za marehemu ambao walifariki papo hapo baada ya Lori hilo kugonga kilabu hicho ikiwa imehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti Hospitali ya Rufaa ya Iringa.

unnamed (11)

 Baadhi ya wananchi wa Eneo la Isimila wakiwa wameongezeka kushuhudia ajali hiyo mbaya iliyouwa wata watano papo hapo.

unnamed (12)

 Hivi...

 

11 years ago

CloudsFM

POLISI AMRUBUNI MWANAFUNZI KUFANYA NAYE MPENZI,AMWACHA CHUMBANI KWAKE,NYUMBA YAKE YAUNGUA MOTO,MWANAFUNZI AFARIKI DUNIA

Wananchi wa Mlangali, Ludewa wakiwa wamekizingira kituo cha polisi Mlangali mara baada ya kuipeleka maiti ya mtoto aliyeteketea kwa moto katika kituo hicho.KIONGOZI wa mbio za mwenge Kitaifa awatuliza wananchi wa Mlangali wilaya ya Ludewa ambao baadhi yao waliandamana kituo cha polisi kushinikiza kutolewa kwa askari polisi aliyedaiwa kusababisha kifo cha mtoto ili auwawe.Kiongozi huyo aliwaomba wananchi wa Mlangali kutokubali kujihusisha na vitendo vya uvunjifu wa amani ikiwa ni pamoja na...

 

10 years ago

Vijimambo

wanafunzi Tunduma walala barabarani baada Lori kuua mwanafunzi

 Lori lililosababisha ajali na kuua mwanafunzi na kusababisha wanafunzi wa shule za msingi Tunduma kulala barabarani wakishinikiza kuwekwa kwa matuta.Baadhi ya wanafunzi wa shule za Msingi Umoja,Mlimani na Tunduma za mjini Tunduma wakiandamana kushinikiza kuwekwa matuta kwenye inayoelekea Sumbawanga kutokana na ajali za mara kwa mara zinazosababishwa na mwendo kasi wa madereva. 

Lori linaloonekana pembeni limepinduka, limesababisha ajali na kuua mwanafunzi. Wanafunzi wakiwa wamekaa barabarani...

 

10 years ago

Vijimambo

Askari Polisi Wagongwa Na Gari Baada Ya Gari Hiyo Kukataa


Ajali Arusha: Askari Polisi wagongwa na gari Ni baada ya dereva kusimamishwa akakataa, Trafiki wakapiga simu mbele, alipofika akakutwa askari wameweka kizuizi njiani akapita nao.

 

9 years ago

Habarileo

Gari lasombwa maji na kuua mjamzito

WATU watatu wamekufa akiwamo mjamzito na mtoto wa miezi miwili na abiria wengine sita wamenusurika kufa baada ya gari dogo aina ya Toyota walilokuwamo kusombwa na maji katika Mto Kilambwa, wilayani Sumbawanga.

 

10 years ago

Michuzi

MH. PINDA ATEMBELEA KIWANDA CHA DAWA ZA KUUA WADUDU, KIBAHA MKOANI PWANI

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua mitambo ya kiwanda cha dawa za kuua wadudu hasa mbu kinachojengwa na watalaamu kutoka Cuba, Kibaha mkoani Pwani Mei 8, 2015. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Watalaamu kutoka Cuba wanaojenga kiwanda cha dawa za kuua wadudu hasa mbu, Kibaha mkoani Pwani Mei 8, 2015. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua kiwanda cha kutengeneza dawa za wadudu hasa mbu, kibaha mkoani Pwani Mei 8, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

WAZIRI MKUU Mizengo Pinda...

 

11 years ago

Michuzi

MWANAFUNZI CHUO CHA AFYA BUGANDO AJISHINDIA GARI YA BEFORWARD KUPITIA MTANDAO WA FACEBOOK'

Bwa.Marco Hingi akifurahia mara baada ya kujishindia gari hilo aina ya Noah kutoka kampuni ya Be Forward Meneja  Masoko wa Be forward Tanzania,Bwa Kohei Shibata (kulia) na  Meneja Mkuu wa kampuni hiyo  Isaac  Mbinile  wakimkabidhi ufunguo wa gari mshindi wa gari  aina ya Noah  Marco Hingi (katikati) ambaye ni mwanafunzi wa kutoka  hosipitali ya  bungando, jijini mwanza.  Meneja Mkuu wa kampuni ya uagizaji na usambazaji  magari  ya Be forward Tanzania Issac Mbinile (kushoto) akiongea...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbaroni kwa kuua mwanafunzi kwa moto

Jeshi la Polisi mkoani hapa linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kumjeruhi kwa moto na kusababisha kifo cha mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Ruaha mkoani Iringa (RUCO), Daniel Lema (25).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani