Gari la polisi lagonga, kuua mwanafunzi Pwani
Wanafunzi wawili wa shule ya Msingi Misugusugu mkoani Pwani wamegongwa na gari la polisi wakivuka barabara leo asubuhi, mmoja afariki na mwingine ajeruhiwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/st-pA-4csCGQ4-t4jx12MikAxzFvyvUW-zC35WxKpbGhYiXhPqU4H5di0w8j4TwMDjoHYFJKlkEAnto0riRQW1TncFQ-7kLz/5ajali5.jpg)
BASI LAGONGA TRENI NA KUUA IFAKARA
11 years ago
Dewji Blog18 Jul
Lori la mizigo lagonga Kilabu cha Pombe na kuua watu watano papo hapo!
Lori la Mizigo likiwa limepaki katikati ya kilabu hicho cha pombe ambacho kilisambalatishwa chote na chini ni mabaki ya kilabu hicho.
Mashuhuda wakiwa wanashuhudia ajali hiyo baada ya kutokea .
Maiti nne za marehemu ambao walifariki papo hapo baada ya Lori hilo kugonga kilabu hicho ikiwa imehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti Hospitali ya Rufaa ya Iringa.
Baadhi ya wananchi wa Eneo la Isimila wakiwa wameongezeka kushuhudia ajali hiyo mbaya iliyouwa wata watano papo hapo.
Hivi...
11 years ago
CloudsFM04 Jul
POLISI AMRUBUNI MWANAFUNZI KUFANYA NAYE MPENZI,AMWACHA CHUMBANI KWAKE,NYUMBA YAKE YAUNGUA MOTO,MWANAFUNZI AFARIKI DUNIA
Wananchi wa Mlangali, Ludewa wakiwa wamekizingira kituo cha polisi Mlangali mara baada ya kuipeleka maiti ya mtoto aliyeteketea kwa moto katika kituo hicho.
KIONGOZI wa mbio za mwenge Kitaifa awatuliza wananchi wa Mlangali wilaya ya Ludewa ambao baadhi yao waliandamana kituo cha polisi kushinikiza kutolewa kwa askari polisi aliyedaiwa kusababisha kifo cha mtoto ili auwawe.
Kiongozi huyo aliwaomba wananchi wa Mlangali kutokubali kujihusisha na vitendo vya uvunjifu wa amani ikiwa ni pamoja na...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-HqPSV1OQxTA/VORdjgUHogI/AAAAAAADNxs/5SznAlopIrM/s72-c/Picture%2B125.jpg)
wanafunzi Tunduma walala barabarani baada Lori kuua mwanafunzi
![](http://1.bp.blogspot.com/-HqPSV1OQxTA/VORdjgUHogI/AAAAAAADNxs/5SznAlopIrM/s1600/Picture%2B125.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5HA5abmZ4z0/VORchrcw01I/AAAAAAADNxU/GJkdve97aiA/s1600/Picture%2B041.jpg)
Lori linaloonekana pembeni limepinduka, limesababisha ajali na kuua mwanafunzi.
![](http://3.bp.blogspot.com/--I04A5R6qGE/VORduK-FF_I/AAAAAAADNx8/yr_3sqffLP4/s1600/Picture%2B050.jpg)
10 years ago
Vijimambo19 Jun
Askari Polisi Wagongwa Na Gari Baada Ya Gari Hiyo Kukataa
Ajali Arusha: Askari Polisi wagongwa na gari Ni baada ya dereva kusimamishwa akakataa, Trafiki wakapiga simu mbele, alipofika akakutwa askari wameweka kizuizi njiani akapita nao.
9 years ago
Habarileo29 Dec
Gari lasombwa maji na kuua mjamzito
WATU watatu wamekufa akiwamo mjamzito na mtoto wa miezi miwili na abiria wengine sita wamenusurika kufa baada ya gari dogo aina ya Toyota walilokuwamo kusombwa na maji katika Mto Kilambwa, wilayani Sumbawanga.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0PoutQqKklw/VU26Knl0LkI/AAAAAAAHWW8/WXgcpKOUpwU/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
MH. PINDA ATEMBELEA KIWANDA CHA DAWA ZA KUUA WADUDU, KIBAHA MKOANI PWANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-0PoutQqKklw/VU26Knl0LkI/AAAAAAAHWW8/WXgcpKOUpwU/s640/unnamed%2B(36).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-UECi7I9347I/VU26LBUaejI/AAAAAAAHWXA/uDjN2AdFuhs/s640/unnamed%2B(37).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vC9Ij9NqCRU/VU26LAq7R7I/AAAAAAAHWXE/4XHeHrIJ_VU/s640/unnamed%2B(38).jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda...
11 years ago
MichuziMWANAFUNZI CHUO CHA AFYA BUGANDO AJISHINDIA GARI YA BEFORWARD KUPITIA MTANDAO WA FACEBOOK'
11 years ago
Mwananchi03 Jul
Mbaroni kwa kuua mwanafunzi kwa moto