Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BASI LAGONGA TRENI NA KUUA IFAKARA

Basi la Super Aljabir baada ya ajali. Basi hilo likiwa limepinduka.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

AJALI YA BASI LA SUPER ALJABIR KUGONGA TRENI IFAKARA, MAJINA YA MAREHEMU YATAJWA


Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro, Leonard L. Paulo-SACP akithibitisha kutokea kwa ajali hiyo.…

 

10 years ago

Michuzi

LORI LAGONGA TRENI JIJINI DAR LEO

 Lori la Mizigo lenye namba za usajili T 535 CCT mali ya Kampuni ya Coast Millers Limited watengenezaji wa Unga wa Ngano wa Nyati, likiwa nje ya barabara ya Kawawa eneo la Karume mara baada ya kuigonga Treni ya TRL mapema leo asubuhi.
Sehemu ya mashuhuda wa tukio hilo.Askari Polisi wakiwa eneo la tukio. 
KWA PICHA ZAIDITEMBELEA LIBENEKE LA MTAA KWA MTAA 

 

9 years ago

Mwananchi

Gari la polisi lagonga, kuua mwanafunzi Pwani

Wanafunzi wawili wa shule ya Msingi Misugusugu mkoani Pwani wamegongwa na gari la polisi wakivuka barabara leo asubuhi, mmoja afariki na mwingine ajeruhiwa.

 

11 years ago

GPL

BASI LA NBS LAGONGA KIMARA DAR

Muonekano wa mbele wa basi la NBS T719 AZC baada ya kugonga basi la Princes Muro T892 BUR lililokuwa likitokea Dar kwenda Mwanza eneo la Kimara. Basi la Princes Muro T892 BUR likitokea Dar kwenda Mwanza limegongwa nyuma na basi la NBS T719 AZC likiwa safarini kuelekea Tabora eneo la Kimara leo.…

 

10 years ago

GPL

AJALI: BASI LAGONGA COASTER TUNDUMA

Wananchi wakitoa msaada kwa baadhi ya abiria waliokuwa wamenasa katika Coaster lililogongwa na basi. Wananchi wakiwa eneo la Sogea, Tunduma ilipotokea ajali ya basi na Coaster. WATU kadhaa wamejeruhiwa katika ajali iliyolihusisha Basi la Shalom Express lililokuwa likitokea Sumbawanga - Mbeya lililogonga Coaster iliyokuwa inatokea Mbeya- Tunduma eneo la Sogea, Tunduma jioni hii. Coster lilikuwa… ...

 

11 years ago

Dewji Blog

Lori la mizigo lagonga Kilabu cha Pombe na kuua watu watano papo hapo!

unnamed

Lori la Mizigo likiwa limepaki katikati ya kilabu hicho cha pombe ambacho kilisambalatishwa chote na chini ni mabaki ya kilabu hicho.

unnamed (9)

Mashuhuda wakiwa wanashuhudia ajali hiyo baada ya kutokea .

unnamed (10)

Maiti nne za marehemu ambao walifariki papo hapo baada ya Lori hilo kugonga kilabu hicho ikiwa imehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti Hospitali ya Rufaa ya Iringa.

unnamed (11)

 Baadhi ya wananchi wa Eneo la Isimila wakiwa wameongezeka kushuhudia ajali hiyo mbaya iliyouwa wata watano papo hapo.

unnamed (12)

 Hivi...

 

10 years ago

Vijimambo

LORI LA MIZIGO LAGONGA BASI LA ABIRIA TABATA MATUMBI JIJINI DAR

Lori kubwa aina ya Scania limesababisha ajali baada ya kukatiza barabara ghafla na kuigonga daladala aina ya DCM yenye maba za usajiri T797 BED lenye kufanya safari zake kati ya G/LAMBOTO to UBUNGO.Wasamalia wema wakiwa katika eneo la tukio
Namna gari la abilia lilivyoalibiwa na gari kubwa la mizigo aina ya scaniakwa picha zaidi bofya soma zaidiDamu ambazo ni kwa wale abiria walio jeruhiwa katika ajali hiyo.
 Gari hilo likiwa limepasuka vioo vyote na kuharibika sehemu ya mbele pamoja na kutoka...

 

11 years ago

GPL

BASI LAGONGANA NA TRENI MANYONI

Basi la Bunda Express likiwa eneo la ajali Manyoni, Singida. Basi la Bunda Express likitokea Dodoma-Mwanza, limegongana na treni eneo la Manyoni ambapo inadaiwa watu wanne wamepoteza maisha. Majeruhi tayari wamepelekwa kwenye Hospitali ya Wilaya ya Manyoni mkoani Singida.

 

10 years ago

Habarileo

Ajali ya basi, treni yaua 12

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Leonard PaulMATUKIO ya ajali za barabarani nchini yameendelea kuteketeza maisha ya Watanzania, baada ya jana watu 12 kufa papo hapo katika ajali iliyohusisha basi na treni katika makutano ya reli eneo la Kiberege, wilaya Kilombero mkoani Morogoro.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani