LORI LAGONGA TRENI JIJINI DAR LEO

Lori la Mizigo lenye namba za usajili T 535 CCT mali ya Kampuni ya Coast Millers Limited watengenezaji wa Unga wa Ngano wa Nyati, likiwa nje ya barabara ya Kawawa eneo la Karume mara baada ya kuigonga Treni ya TRL mapema leo asubuhi.
Sehemu ya mashuhuda wa tukio hilo.Askari Polisi wakiwa eneo la tukio.
KWA PICHA ZAIDITEMBELEA LIBENEKE LA MTAA KWA MTAA
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
LORI LA MIZIGO LAGONGA BASI LA ABIRIA TABATA MATUMBI JIJINI DAR





9 years ago
GPL
TRELA LA LORI LAPINDUKA JIJINI DAR LEO
10 years ago
Michuzi
LORI LAPIGA MWELEKEKA ENEO LA UKONGA JIJINI DAR LEO




11 years ago
Vijimambo
LORI LA MAFUTA LATEKETEA KWA MOTO MBAGALA JIJINI DAR USIKU WA KUAMKIA LEO

Lori hilo pamoja na kupiga kwake mweleka halikuwa na madhara yeyote wala dalili ya kusema litawaka moto.Baada ya muda likaja kundi la vijana likiwa na madumu na mifuko ya plastiki na kuanza...
10 years ago
Vijimambo
AJALI YA ROLI KUGONGA TRENI ENEO LA KARUME JIJINI DAR LEO ASUBUHI

11 years ago
Michuzi
NEWS ALERT: LORI LA MAFUTA LAWAKA MOTO MBAGALA JIJINI DAR USIKU WA KUAMKIA LEO

Lori hilo pamoja na kupiga kwake mweleka halikuwa na madhara yeyote wala dalili ya kusema litawaka moto.Baada ya muda likaja kundi la vijana likiwa na madumu na mifuko ya plastiki na kuanza...
10 years ago
GPL
BASI LAGONGA TRENI NA KUUA IFAKARA
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI ATEMBELEA KARAKANA YA KUTENGENEZEA BREAKPAD ZA VICHWA VYA TRENI LEO JIJINI DAR
11 years ago
Dewji Blog18 Jul
Lori la mizigo lagonga Kilabu cha Pombe na kuua watu watano papo hapo!
Lori la Mizigo likiwa limepaki katikati ya kilabu hicho cha pombe ambacho kilisambalatishwa chote na chini ni mabaki ya kilabu hicho.
Mashuhuda wakiwa wanashuhudia ajali hiyo baada ya kutokea .
Maiti nne za marehemu ambao walifariki papo hapo baada ya Lori hilo kugonga kilabu hicho ikiwa imehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti Hospitali ya Rufaa ya Iringa.
Baadhi ya wananchi wa Eneo la Isimila wakiwa wameongezeka kushuhudia ajali hiyo mbaya iliyouwa wata watano papo hapo.
Hivi...