LORI LA MIZIGO LAGONGA BASI LA ABIRIA TABATA MATUMBI JIJINI DAR
![](http://lh6.ggpht.com/-8_vL2PkOT3s/VGh9sOVZpuI/AAAAAAAAJ_o/wplRV52oKJE/s72-c/IMG-20141116-WA0006.jpg)
Lori kubwa aina ya Scania limesababisha ajali baada ya kukatiza barabara ghafla na kuigonga daladala aina ya DCM yenye maba za usajiri T797 BED lenye kufanya safari zake kati ya G/LAMBOTO to UBUNGO.
Wasamalia wema wakiwa katika eneo la tukio
Namna gari la abilia lilivyoalibiwa na gari kubwa la mizigo aina ya scaniakwa picha zaidi bofya soma zaidi
Damu ambazo ni kwa wale abiria walio jeruhiwa katika ajali hiyo.
Gari hilo likiwa limepasuka vioo vyote na kuharibika sehemu ya mbele pamoja na kutoka...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Picha na kilichonifikia kutoka kwenye ajali ya basi la abiria na lori la mizigo Njombe.. #RIP
Siku chache zimepita toka taarifa zitufikie kuhusu ajali ya basi la abiria lililotumbukia mtoni eneo la Iyovi ambalo lina kona kali sana mkoa wa Iringa, taarifa nyingine ya huzuni inatufikia kutoka mkoa wa Njombe leo January 04 2016. Ni taarifa ya ajali ya basi la abiria ambalo limegonga lori la mizigo kwa nyuma na kusababisha […]
The post Picha na kilichonifikia kutoka kwenye ajali ya basi la abiria na lori la mizigo Njombe.. #RIP appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WRqboXX0Xzk/VRU2jQoXyFI/AAAAAAAHNmU/VSHVPmteEpg/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-03-27%2Bat%2B12.07.48%2BPM.png)
LORI LAGONGA TRENI JIJINI DAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-WRqboXX0Xzk/VRU2jQoXyFI/AAAAAAAHNmU/VSHVPmteEpg/s1600/Screen%2BShot%2B2015-03-27%2Bat%2B12.07.48%2BPM.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-SymJ2b7W2hM/VRU2kc9hjwI/AAAAAAAHNmY/5kP3FV8bS4k/s1600/Screen%2BShot%2B2015-03-27%2Bat%2B12.09.15%2BPM.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9QAtqCNYv7s/VRU2wV-nkVI/AAAAAAAHNnU/jM-jrpIeYSI/s1600/Screen%2BShot%2B2015-03-27%2Bat%2B12.12.40%2BPM.png)
Sehemu ya mashuhuda wa tukio hilo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-dpAtb5vU8Ys/VRU2rDm67rI/AAAAAAAHNmo/EnLTKSm6EbY/s1600/Screen%2BShot%2B2015-03-27%2Bat%2B12.10.06%2BPM.png)
KWA PICHA ZAIDITEMBELEA LIBENEKE LA MTAA KWA MTAA
11 years ago
Dewji Blog18 Jul
Lori la mizigo lagonga Kilabu cha Pombe na kuua watu watano papo hapo!
Lori la Mizigo likiwa limepaki katikati ya kilabu hicho cha pombe ambacho kilisambalatishwa chote na chini ni mabaki ya kilabu hicho.
Mashuhuda wakiwa wanashuhudia ajali hiyo baada ya kutokea .
Maiti nne za marehemu ambao walifariki papo hapo baada ya Lori hilo kugonga kilabu hicho ikiwa imehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti Hospitali ya Rufaa ya Iringa.
Baadhi ya wananchi wa Eneo la Isimila wakiwa wameongezeka kushuhudia ajali hiyo mbaya iliyouwa wata watano papo hapo.
Hivi...
10 years ago
Mwananchi13 Apr
Abiria 18 wateketea ajali ya basi, lori
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SCU01bLbFT4/VSooEnr-5nI/AAAAAAAHQgk/YMWvWSNB3Zs/s72-c/unnamed%2B(64).jpg)
ajali ya basi la abiria na lori la Fuso Ruaha Mbuyuni leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-SCU01bLbFT4/VSooEnr-5nI/AAAAAAAHQgk/YMWvWSNB3Zs/s1600/unnamed%2B(64).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/78albYJ5oUk/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVmsR-irD1V5j2pVxikX8pwErkChmdu9i4hj3Vp83JnCs9fVrbNcmD57tHrNUepIYjHTziSOOfOFFFAWbqs4udoD/AJALI5.jpg)
BASI LA NBS LAGONGA KIMARA DAR
9 years ago
MillardAyo18 Dec
Kilichonifikia kutoka kwenye ajali ya basi la abiria na lori Iringa December 18… #RIP (Picha)
Kwenye taarifa ambazo zimenifikia muda mfupi uliopita iko pia inayohusu ajali iliyotokea leo December 18 2015 maeneo ya Kilolo Iringa… Kwenye ajali hiyo Jeshi la Polisi limethibitisha kuwa watu 12 wamefariki na wengine 18 kujeruhiwa, mazingira ya ajali yanaonesha lori la mizigo lilipoteza mwelekeo na kuligonga basi hilo. Basi hilo la Kampuni ya New Force lilikuwa […]
The post Kilichonifikia kutoka kwenye ajali ya basi la abiria na lori Iringa December 18… #RIP (Picha) appeared first on...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
DARAJA LA MATUMBI TABATA LAKATIKA