Abiria 18 wateketea ajali ya basi, lori
Watu 18 wameteketea kwa moto baada ya basi la Kampuni ya Nganga Express na lori aina ya Fuso kugongana uso kwa uso na kuwaka moto katika eneo la Iyovi, Milima ya Uduzungwa, Morogoro
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SCU01bLbFT4/VSooEnr-5nI/AAAAAAAHQgk/YMWvWSNB3Zs/s72-c/unnamed%2B(64).jpg)
ajali ya basi la abiria na lori la Fuso Ruaha Mbuyuni leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-SCU01bLbFT4/VSooEnr-5nI/AAAAAAAHQgk/YMWvWSNB3Zs/s1600/unnamed%2B(64).jpg)
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Picha na kilichonifikia kutoka kwenye ajali ya basi la abiria na lori la mizigo Njombe.. #RIP
Siku chache zimepita toka taarifa zitufikie kuhusu ajali ya basi la abiria lililotumbukia mtoni eneo la Iyovi ambalo lina kona kali sana mkoa wa Iringa, taarifa nyingine ya huzuni inatufikia kutoka mkoa wa Njombe leo January 04 2016. Ni taarifa ya ajali ya basi la abiria ambalo limegonga lori la mizigo kwa nyuma na kusababisha […]
The post Picha na kilichonifikia kutoka kwenye ajali ya basi la abiria na lori la mizigo Njombe.. #RIP appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo18 Dec
Kilichonifikia kutoka kwenye ajali ya basi la abiria na lori Iringa December 18… #RIP (Picha)
Kwenye taarifa ambazo zimenifikia muda mfupi uliopita iko pia inayohusu ajali iliyotokea leo December 18 2015 maeneo ya Kilolo Iringa… Kwenye ajali hiyo Jeshi la Polisi limethibitisha kuwa watu 12 wamefariki na wengine 18 kujeruhiwa, mazingira ya ajali yanaonesha lori la mizigo lilipoteza mwelekeo na kuligonga basi hilo. Basi hilo la Kampuni ya New Force lilikuwa […]
The post Kilichonifikia kutoka kwenye ajali ya basi la abiria na lori Iringa December 18… #RIP (Picha) appeared first on...
10 years ago
Mtanzania13 Apr
Basi lawaka moto, abiria 18 wateketea
NA RAMADHAN LIBENANGA, MOROGORO
WATU 18 wameteketea kwa moto na wengine 11 wamejeruhiwa vibaya baada ya basi walilokuwa wakisafiria kugongana na lori na kuwaka moto.
Ajali hiyo ilitokea jana saa mbili asubuhi katika Kijiji cha Msimba kilichopo Tarafa ya Mikumi, Barabara kuu ya Morogoro–Mbeya ikihusisha basi la Kampuni ya Nganga lenye namba za usajili T 373 DAH lililokuwa likitoka Kilombero mkoani Morogoro kuelekea Mbeya.
Lori lililogongana na basi hilo lenye namba za usajili T 164 BKG aina...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0eyGrjq21aU/VSqMPxng9dI/AAAAAAAHQsM/TX-d2qNbzDM/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
news alert: Ajali ingine yatokea Soni leo, lori la mafuta lagongana na basi la abiria uso kwa uso
![](http://2.bp.blogspot.com/-0eyGrjq21aU/VSqMPxng9dI/AAAAAAAHQsM/TX-d2qNbzDM/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://lh6.ggpht.com/-8_vL2PkOT3s/VGh9sOVZpuI/AAAAAAAAJ_o/wplRV52oKJE/s72-c/IMG-20141116-WA0006.jpg)
LORI LA MIZIGO LAGONGA BASI LA ABIRIA TABATA MATUMBI JIJINI DAR
![](http://lh6.ggpht.com/-8_vL2PkOT3s/VGh9sOVZpuI/AAAAAAAAJ_o/wplRV52oKJE/s640/IMG-20141116-WA0006.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dGVc0hTVm3k/VGmnk_KscAI/AAAAAAAAJ_0/673NkKR26C8/s1600/tabata%2B022.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YovtH7SM0Lw/VGmnnzoOlvI/AAAAAAAAKAE/qJd3edANcBA/s1600/tabata%2B023.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7c8qxTYZ_n8/VGmnr3q8VoI/AAAAAAAAKAU/ZpORng9bWqc/s1600/tabata%2B029.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Fb4ppi5SZCE/VGmnm65bcFI/AAAAAAAAJ_8/l-Ho59pfkIY/s1600/tabata%2B024.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5mwrWUlGji8/VooguoVk_wI/AAAAAAAIQI8/0-K5koELN2M/s72-c/20160103232509.jpg)
NEWZ ALERT;AJALI YA BASI LA LUWINZO NA LORI
10 years ago
Dewji Blog17 Jun
Miili 23 ya ajali ya basi la Another G na lori Mufindi Iringa yatambuliwa
Mkuu wa wilaya ya Mufindi Bi Mboni Mhita (kushoto) akimfariji mmoja kati ya majeruhi wa ajali ya basi la Another G na lori iliyoua 23 na kujeruhi 34 jana, wengine pichani ni wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-RdirUdpj-GU/VQQqz4qU7vI/AAAAAAABoQU/kSoNoTY0Yzk/s72-c/AJALI%2B1.jpg)
AJALI NYINGINE YA BASI NA LORI MAPEMA LEO DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-RdirUdpj-GU/VQQqz4qU7vI/AAAAAAABoQU/kSoNoTY0Yzk/s1600/AJALI%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5smf9SginXQ/VQQq1uJOn9I/AAAAAAABoQc/iEIpyVUvWS0/s1600/AJALI%2B2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-GEdSntU-xCA/VQQq7A53laI/AAAAAAABoQk/leepMyXIj_s/s1600/AJALI%2B3.jpg)