NEWZ ALERT;AJALI YA BASI LA LUWINZO NA LORI
Chumba cha habari cha GLOBU ya Jamii kimepata taarifa kuwa Basi la abiria la kampuni ya Luwinzo (ambalo namba zake za usajili hazijafahimika mapema),lifanyalo safari zake Dar-Njombe inaelezwa kuwa limepata ajali asubuhi hii likitokea Njombe kuelekea Dar kwa kuligonga Lori (ambalo nalo namba zake za usajili hazikufahamika mapema), kwa taarifa za awali ambazo bado hazithibitishwa na jeshi la Polisi zinaeleza kuwa kuna vifo vya watu kadhaa,ambayo idadi yake haijajulikana mpaka sasa sambamba na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziNEWZ ALERT:LORI LALIPUKA MIKUMI
''Kama una safari ya kwenda Iringa-Mbeya au kama unapokwenda utapita mikumi basi...
9 years ago
Global Publishers04 Jan
Breaking News: Basi la Luwinzo lapata ajali Mufindi
Ajali ilivyotokea mapema leo asubuhi.
Shughuli za kuwaokoa walionusurika na ajali.
AJALI mbaya imetokea leo asubuhi baada ya basi la abiria mali ya Kampuni ya Luwinzo linalofanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Njombe, kugongana na lori wakati basi hilo likiwa linatoka Njombe kuelekea Dar es Salaam na kusababisha watu kadhaa kupoteza maisha na wengine kadhaa kujeruhiwa.
Ajali imetokea katika eneo la Kinegembasi, Kata ya Mbalamaziwa wilayani Mufindi mkoani Njombe.
10 years ago
Michuzinews alert: Ajali ingine yatokea Soni leo, lori la mafuta lagongana na basi la abiria uso kwa uso
9 years ago
MichuziNEWZ ALERT: AJALI YAUWA WATU WATANO LUDEWA,WATUMBUKIA MTONI
Mungu aziliaze roho za marehemu mahali pema peponi-Amina
10 years ago
MichuziNEWZ ALERT:AJALI NYINGINE SINGIDA,YADAIWA MTU MMOJA AMEPOTEZA UHAI.
10 years ago
Mwananchi13 Apr
Abiria 18 wateketea ajali ya basi, lori
10 years ago
VijimamboAJALI NYINGINE YA BASI NA LORI MAPEMA LEO DODOMA
10 years ago
GPLWAWILI WAFARIKI KATIKA AJALI YA BASI NA LORI RUAHA
10 years ago
Dewji Blog17 Jun
Miili 23 ya ajali ya basi la Another G na lori Mufindi Iringa yatambuliwa
Mkuu wa wilaya ya Mufindi Bi Mboni Mhita (kushoto) akimfariji mmoja kati ya majeruhi wa ajali ya basi la Another G na lori iliyoua 23 na kujeruhi 34 jana, wengine pichani ni wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama...