Miili 23 ya ajali ya basi la Another G na lori Mufindi Iringa yatambuliwa
Mkuu wa wilaya ya Mufindi mkoani Iringa Bi Mboni Mhita (kushoto) akiwa na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama wilaya hiyo ya Mufindi katika kuwatembelea wagonjwa katika Hospitali ya wilaya ya Mufindi.
Baadhi ya ndugu wakichukua mwili wa ndugu yao baada ya kuutambua
Mkuu wa wilaya ya Mufindi Bi Mboni Mhita (kushoto) akimfariji mmoja kati ya majeruhi wa ajali ya basi la Another G na lori iliyoua 23 na kujeruhi 34 jana, wengine pichani ni wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMIILI YOTE 23 YA AJALI YA BASI LA ANOTHER G NA LORI MUFINDI IRINGA YATAMBULIWA
10 years ago
MichuziMIILI YOTE 23 YA AJALI YA BASI LA ANOTHER G NA LORI MUFINDI IRINGA YATAMBULIWA , DC MBONI AWAPA USHAURI TBS KUKAGUA UBORA WA VYOMBO VYA USAFIRI
Mkuu wa wilaya ya Mufindi Bi Mboni Mhita (kushoto) akimfariji mmoja kati ya majeruhi wa ajali ya basi la Another G na lori iliyoua 23 na kujeruhi 34 jana ,wengine pichani ni wajumbe wa kamati ya ulinzi na...
9 years ago
MillardAyo18 Dec
Kilichonifikia kutoka kwenye ajali ya basi la abiria na lori Iringa December 18… #RIP (Picha)
Kwenye taarifa ambazo zimenifikia muda mfupi uliopita iko pia inayohusu ajali iliyotokea leo December 18 2015 maeneo ya Kilolo Iringa… Kwenye ajali hiyo Jeshi la Polisi limethibitisha kuwa watu 12 wamefariki na wengine 18 kujeruhiwa, mazingira ya ajali yanaonesha lori la mizigo lilipoteza mwelekeo na kuligonga basi hilo. Basi hilo la Kampuni ya New Force lilikuwa […]
The post Kilichonifikia kutoka kwenye ajali ya basi la abiria na lori Iringa December 18… #RIP (Picha) appeared first on...
10 years ago
Mwananchi13 Apr
Abiria 18 wateketea ajali ya basi, lori
9 years ago
Global Publishers04 Jan
Breaking News: Basi la Luwinzo lapata ajali Mufindi
Ajali ilivyotokea mapema leo asubuhi.
Shughuli za kuwaokoa walionusurika na ajali.
AJALI mbaya imetokea leo asubuhi baada ya basi la abiria mali ya Kampuni ya Luwinzo linalofanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Njombe, kugongana na lori wakati basi hilo likiwa linatoka Njombe kuelekea Dar es Salaam na kusababisha watu kadhaa kupoteza maisha na wengine kadhaa kujeruhiwa.
Ajali imetokea katika eneo la Kinegembasi, Kata ya Mbalamaziwa wilayani Mufindi mkoani Njombe.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5mwrWUlGji8/VooguoVk_wI/AAAAAAAIQI8/0-K5koELN2M/s72-c/20160103232509.jpg)
NEWZ ALERT;AJALI YA BASI LA LUWINZO NA LORI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qk*MmDQsK7pf2AeHwPjAF2REkF6HY-kBkfN5MY85f9E9yquPDoKmdoBU244VY8KHRHBzjM0MrCpATv6ccR*srBRp34qmr-nR/1428826223737.jpg?width=650)
WAWILI WAFARIKI KATIKA AJALI YA BASI NA LORI RUAHA
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-RdirUdpj-GU/VQQqz4qU7vI/AAAAAAABoQU/kSoNoTY0Yzk/s72-c/AJALI%2B1.jpg)
AJALI NYINGINE YA BASI NA LORI MAPEMA LEO DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-RdirUdpj-GU/VQQqz4qU7vI/AAAAAAABoQU/kSoNoTY0Yzk/s1600/AJALI%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5smf9SginXQ/VQQq1uJOn9I/AAAAAAABoQc/iEIpyVUvWS0/s1600/AJALI%2B2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-GEdSntU-xCA/VQQq7A53laI/AAAAAAABoQk/leepMyXIj_s/s1600/AJALI%2B3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SCU01bLbFT4/VSooEnr-5nI/AAAAAAAHQgk/YMWvWSNB3Zs/s72-c/unnamed%2B(64).jpg)
ajali ya basi la abiria na lori la Fuso Ruaha Mbuyuni leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-SCU01bLbFT4/VSooEnr-5nI/AAAAAAAHQgk/YMWvWSNB3Zs/s1600/unnamed%2B(64).jpg)