AJALI NYINGINE YA BASI NA LORI MAPEMA LEO DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-RdirUdpj-GU/VQQqz4qU7vI/AAAAAAABoQU/kSoNoTY0Yzk/s72-c/AJALI%2B1.jpg)
Basi la Osaka likiwa katika Mtaro baada ya kupata ajali na Roli kugongana leo asubuhi likitokea likitokea Dodoma
Roli lililogongana na Basi la Osaka likiwa limefunga njia
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SCU01bLbFT4/VSooEnr-5nI/AAAAAAAHQgk/YMWvWSNB3Zs/s72-c/unnamed%2B(64).jpg)
ajali ya basi la abiria na lori la Fuso Ruaha Mbuyuni leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-SCU01bLbFT4/VSooEnr-5nI/AAAAAAAHQgk/YMWvWSNB3Zs/s1600/unnamed%2B(64).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-BQ6xKqLJW-4/VQqwu0ER4BI/AAAAAAADc6I/sVbs7mDkJdQ/s72-c/9d121102f13723e0c6d67a4d472cddba.jpg)
AJALI NYINGINE YA BASI YATOKEA MIKUMI LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-BQ6xKqLJW-4/VQqwu0ER4BI/AAAAAAADc6I/sVbs7mDkJdQ/s1600/9d121102f13723e0c6d67a4d472cddba.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HR17uISCu-g/VQqwuol192I/AAAAAAADc6A/1g3sgmMNA-E/s1600/95ad4c5234eabe082a7b799b316a4198.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cqhCQnThrEc/VQqwu9N46cI/AAAAAAADc6E/Jbk96v6f_PU/s1600/1013e9158825afb55db2653569f9242e.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XZrHtZM-Gck/VQqwve4ghMI/AAAAAAADc6Q/7uLF4LzQr7E/s1600/a28c424b866f8e111958970dfaca4ac6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-uFIDrMYpYFk/VQqwvEze01I/AAAAAAADc6U/I8nFs9L3g28/s1600/a0511b398de67148da44db1aabbb7ebc.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0eyGrjq21aU/VSqMPxng9dI/AAAAAAAHQsM/TX-d2qNbzDM/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
news alert: Ajali ingine yatokea Soni leo, lori la mafuta lagongana na basi la abiria uso kwa uso
![](http://2.bp.blogspot.com/-0eyGrjq21aU/VSqMPxng9dI/AAAAAAAHQsM/TX-d2qNbzDM/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
10 years ago
Mwananchi13 Apr
Abiria 18 wateketea ajali ya basi, lori
Watu 18 wameteketea kwa moto baada ya basi la Kampuni ya Nganga Express na lori aina ya Fuso kugongana uso kwa uso na kuwaka moto katika eneo la Iyovi, Milima ya Uduzungwa, Morogoro
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5mwrWUlGji8/VooguoVk_wI/AAAAAAAIQI8/0-K5koELN2M/s72-c/20160103232509.jpg)
NEWZ ALERT;AJALI YA BASI LA LUWINZO NA LORI
Chumba cha habari cha GLOBU ya Jamii kimepata taarifa kuwa Basi la abiria la kampuni ya Luwinzo (ambalo namba zake za usajili hazijafahimika mapema),lifanyalo safari zake Dar-Njombe inaelezwa kuwa limepata ajali asubuhi hii likitokea Njombe kuelekea Dar kwa kuligonga Lori (ambalo nalo namba zake za usajili hazikufahamika mapema), kwa taarifa za awali ambazo bado hazithibitishwa na jeshi la Polisi zinaeleza kuwa kuna vifo vya watu kadhaa,ambayo idadi yake haijajulikana mpaka sasa sambamba na...
10 years ago
Dewji Blog17 Jun
Miili 23 ya ajali ya basi la Another G na lori Mufindi Iringa yatambuliwa
Mkuu wa wilaya ya Mufindi Bi Mboni Mhita (kushoto) akimfariji mmoja kati ya majeruhi wa ajali ya basi la Another G na lori iliyoua 23 na kujeruhi 34 jana, wengine pichani ni wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qk*MmDQsK7pf2AeHwPjAF2REkF6HY-kBkfN5MY85f9E9yquPDoKmdoBU244VY8KHRHBzjM0MrCpATv6ccR*srBRp34qmr-nR/1428826223737.jpg?width=650)
WAWILI WAFARIKI KATIKA AJALI YA BASI NA LORI RUAHA
WATU kadhaa wanasemekana wamekufa leo asubuhi baada ya basi la Nganga kugongana uso kwa uso na lori aina ya Fuso maeneo ya mlimani kilometa kadhaa kutoka Ruaha-Mbuyuni katika barabara ya Iringa-Morogoro ambapo magari yote mawili yameteketea kwa moto.  Habari kutoka eneo la tukio zinasema kwamba mmoja wa watu waliofariki ni dereva wa Fuso ambao wanasemekana waliteketea kwa moto huo ulioyaharibu magari… ...
10 years ago
Mwananchi23 Apr
Ajali nyingine ya basi yaua 10 Shinyanga
Shinyanga. Jinamizi la ajali za barabarani zikihusisha mabasi zimeendelea kugharimu maisha ya Watanzania baada ya jana watu 10 kupoteza maisha na wengine 50 kujeruhiwa vibaya wakati basi la Unique Express lililokuwa likitokea Mwanza kuelekea Tabora kugongana uso kwa uso na lori la Coca-Cola lililokuwa likitokea Tinde kuelekea Shinyanga.
10 years ago
VijimamboMIILI YOTE 23 YA AJALI YA BASI LA ANOTHER G NA LORI MUFINDI IRINGA YATAMBULIWA
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania