Lori la mizigo lagonga Kilabu cha Pombe na kuua watu watano papo hapo!
Lori la Mizigo likiwa limepaki katikati ya kilabu hicho cha pombe ambacho kilisambalatishwa chote na chini ni mabaki ya kilabu hicho.
Mashuhuda wakiwa wanashuhudia ajali hiyo baada ya kutokea .
Maiti nne za marehemu ambao walifariki papo hapo baada ya Lori hilo kugonga kilabu hicho ikiwa imehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti Hospitali ya Rufaa ya Iringa.
Baadhi ya wananchi wa Eneo la Isimila wakiwa wameongezeka kushuhudia ajali hiyo mbaya iliyouwa wata watano papo hapo.
Hivi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM17 Jul
LORI LAACHA NJIA LAGONGA NYUMBA LAUA WATANO PAPO HAPO,LAJERUHI WATATU IRINGA
AJALI mbaya ya gari im,etokea usiku wa leo mkoani Iringa baada ya lori la mizigo lenye namba za usajili T 801 ACD lililokuwa likielekea mkoani Mbeya kuacha njia na kugonga nyumba iliyokuwa ikitumiwa kama sehemu ya klabu cha kuuzia pombe za kienyeji na kusababisha vifo vya watu watano papop hapo wakiwemo watatu wa familia moja.
Tukio hilo limetokea majira ya saa 4 usiku wa leo katika eneo la njia panda ya makumbusho ya Isimila kata ya Mseke wilaya ya Iringa katika barabara kuu ya Iringa -...
10 years ago
Michuzi19 Feb
WATU WAWILI WAMEFARIKI DUNIA PAPO HAPO BAADA YA AJALI YA BASI KUGONGANA USO KWA USO NA LORI
Watu wawili wamefariki dunia papo hapo katika ajali ya Basi kugongana na Lori ajali iliyotokea tarehe 19/02/2015 majira ya saa 13:15hrs huko eneo la Vikonje Kata ya Mtumba Barabara ya Dodoma – Morogoro.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema ajali hiyo imehusisha Basi lenye namba za usajili T. 663 AXL aina ya SCANIA Kampuni ya KIDIA ONE lililokuwa litokea Dar es Salaam kwenda Mwanza...
10 years ago
Vijimambo![](http://lh6.ggpht.com/-8_vL2PkOT3s/VGh9sOVZpuI/AAAAAAAAJ_o/wplRV52oKJE/s72-c/IMG-20141116-WA0006.jpg)
LORI LA MIZIGO LAGONGA BASI LA ABIRIA TABATA MATUMBI JIJINI DAR
![](http://lh6.ggpht.com/-8_vL2PkOT3s/VGh9sOVZpuI/AAAAAAAAJ_o/wplRV52oKJE/s640/IMG-20141116-WA0006.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dGVc0hTVm3k/VGmnk_KscAI/AAAAAAAAJ_0/673NkKR26C8/s1600/tabata%2B022.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YovtH7SM0Lw/VGmnnzoOlvI/AAAAAAAAKAE/qJd3edANcBA/s1600/tabata%2B023.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7c8qxTYZ_n8/VGmnr3q8VoI/AAAAAAAAKAU/ZpORng9bWqc/s1600/tabata%2B029.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Fb4ppi5SZCE/VGmnm65bcFI/AAAAAAAAJ_8/l-Ho59pfkIY/s1600/tabata%2B024.jpg)
11 years ago
Habarileo13 Dec
Basi laua watu 12 papo hapo
WATU 12 wamekufa papo hapo na wengine zaidi ya 90 kujeruhiwa baada ya basi walilokuwa wakisafiria kutoka Korogwe, Tanga kwenda Dar es Salaam kuacha njia na kupinduka. Ajali hiyo ilitokea jana saa 1.30 asubuhi kwenye barabara kuu ya Segera-Chalinze katika kijiji cha Kwalaguru kata ya Kwedizinga wilayani hapa.
11 years ago
Michuzi21 Apr
NEW ALERT: AJALI MWANZA WATU ZAIDI YA 20 WAFARIKI PAPO HAPO
10 years ago
Dewji Blog04 Dec
Watu wawili wafa papo hapo katika ajali mkoani Singida baada ya bajaj kugongwa na Fuso
Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani).
Na Nathaniel Limu, Singida
Watu wawili wamefariki dunia katika ajali mkoani Singida,baada ya bajaj waliokuwa wakisafiria kugongwa na gari aina mitsubishi fuso lenye namba za usajili T.641 AVA lililokuwa likiendeshwa na Modest Kisaka (27) mkazi wa Mughanga manispaa ya Singida.
Watu hao ni pamoja na derive wa bajaj hiyo yenye namba za usajili MC 866 ABW aina ya YVS, Thadei...
10 years ago
Michuzi03 Nov
JENGA TANZANIA FOUNDATION YAWALETEA KIPIMO CHA MALARIA PAPO HAPO !.
10 years ago
Vijimambo04 Nov
JENGA TANZANIA FOUNDATION YAWALETEA KIPIMO CHA MALERIA PAPO KWA HAPO
Kipimo hicho chenye uwezo wa kugundua vijidudu vya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-TmE0duEoKH0Qv3pU6wgIwNKe8wodz4w5of16psbIX-fmjT0DQW3JOhSczT1xQ-OAXYivFoToFDN7OZptb-3H*o/ajali3.jpg)
TASWIRA ZA AJALI YA COASTER ILIYOGONGANA NA LORI NA KUUA WATU 23 IRINGA