TRELA LA LORI LAPINDUKA JIJINI DAR LEO

Trela la lori lenye namba za usajili T863 AEF limepinduka mchana wa leo eneo la Polisi Ufundi, Barabara ya Kilwa jijini Dar. Ajali hiyo imetokea baada ya lori lililokuwa likivuta trela hilo kujaribu kukwepa gari dogo lililokuwa likitokea mbele yake.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
LORI LAGONGA TRENI JIJINI DAR LEO



Sehemu ya mashuhuda wa tukio hilo.

KWA PICHA ZAIDITEMBELEA LIBENEKE LA MTAA KWA MTAA
10 years ago
Michuzi
LORI LAPIGA MWELEKEKA ENEO LA UKONGA JIJINI DAR LEO




11 years ago
Vijimambo
LORI LA MAFUTA LATEKETEA KWA MOTO MBAGALA JIJINI DAR USIKU WA KUAMKIA LEO

Lori hilo pamoja na kupiga kwake mweleka halikuwa na madhara yeyote wala dalili ya kusema litawaka moto.Baada ya muda likaja kundi la vijana likiwa na madumu na mifuko ya plastiki na kuanza...
11 years ago
GPL
LORI LA TANKI LA MAFUTA LAPINDUKA
11 years ago
Michuzi
NEWS ALERT: LORI LA MAFUTA LAWAKA MOTO MBAGALA JIJINI DAR USIKU WA KUAMKIA LEO

Lori hilo pamoja na kupiga kwake mweleka halikuwa na madhara yeyote wala dalili ya kusema litawaka moto.Baada ya muda likaja kundi la vijana likiwa na madumu na mifuko ya plastiki na kuanza...
11 years ago
Vijimambo
LORI LAPINDUKA NA KUUA WANNE MBEYA

11 years ago
GPLGARI DOGO LAPINDUKA BARABARA YA KILWA, JIJINI DAR
11 years ago
GPL
LORI LA LAPINDUKA KIMARA WATU WANAJISEVIA MAFUTA KWA NDOO
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Picha za ajali ya Mabasi mawili na Lori moja Jijini Mbeya leo
Ajalia ilivyotokea.
…hali ya sintofahamu
Magari matatu yamepata ajali mkoani Mbeya leo asubuhi, ajali iliyohusisha basi la Kampuni ya Hood linalofanya safari zake kati ya Mbeya na Arusha, basi la Best linalofanya safari zake kati ya Mbeya na Mwanza pamoja na lori katika eneo la Inyala mkoani Mbeya.
Katika ajali hiyo mtu mmoja amejeruhiwa vibaya na wengine kupata majeraha madogo madogo. Kamanda wa polis Mkoani mbeya ACP Ahmed Msangi amedhibitisha kutokea kwa ajali hiyo.