GARI DOGO LAPINDUKA BARABARA YA KILWA, JIJINI DAR
Gari lilivyokosea njia na kuingia mtaroni . Polisi wa usalama barabarani wakishughulika eneo la ajali.…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/IMG-20151110-WA0026.jpg)
TRELA LA LORI LAPINDUKA JIJINI DAR LEO
Trela la lori lenye namba za usajili T863 AEF limepinduka mchana wa leo eneo la Polisi Ufundi, Barabara ya Kilwa jijini Dar. Ajali hiyo imetokea baada ya lori lililokuwa likivuta trela hilo kujaribu kukwepa gari dogo lililokuwa likitokea mbele yake.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rf021BwezXHd3jkuJyILN-6lhzH-MrUq3WjzN6BKpDfQUQFTgmRo9RSxoaYACLEuMF7EXym0lbRca1HXB54J*S1yKnbxkiK3/unnamed100.jpg?width=650)
GARI LAPINDUKA WAKATI DEREVA AKIWAKIMBIA ASKARI POLISI
Baadhi ya wakazi wa mji wa Moshi wakiangalia kwa mshangao gari aina ya Toyota Spacio lenye namba za usajili T111 BHW likiwa limepinduka chini juu mbele ya ofisi za TFA barabara ya Boma, Moshi jirani kabisa na mnara wa saa.Dereva wa gari hilo anadaiwa alikuwa akijaribu kuwakimbia askari wa kikosi cha barabarani kwa mwendo wa kasi kabla ya kugonga gari jingine na hatimaye kupinduka hakuna aliepoteza maisha kwenye tukio hilo la...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s72-c/unnamed+(41).jpg)
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s1600/unnamed+(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8fuh6Rix_QE/U-j4eA1NJhI/AAAAAAAF-kA/noaS8n4dTZc/s1600/unnamed+(42).jpg)
11 years ago
GPLGARI KUBWA LAHARIBU BARABARA MWANANYAMALA, DAR
  Gari kubwa ‘likilazimisha’ kupita barabara finyu eneo la Mwananyamala, Dar. Eneo la mtaro na barabara lililoharibiwa na gari hilo kubwa.  …
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TgnCdE_cSWk/VFn6y_5zcII/AAAAAAAGvl8/dy8tpFwQDzg/s72-c/unnamed%2B(99).jpg)
YALE YALEEEE.......:Gari lapinduka wakati dereva akiwakimbia askari Polisi
![](http://4.bp.blogspot.com/-TgnCdE_cSWk/VFn6y_5zcII/AAAAAAAGvl8/dy8tpFwQDzg/s1600/unnamed%2B(99).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2PtAZ8RXsWbIWDdaoo8jbNo7K4KsAUSmW12JZW-v38uBOvLNtkoDtVOzsua3m*NBOtc8o5Mjfq5IMlwdWrHZPHX/3dogolilanaHilal3.jpg?width=650)
DOGO LILA NA DOGO HILAL WAKIFANYA YAO NDANI YA DAR LIVE
Dogo Lila na Dogo Hilal wakifanya makamuzi ya nguvu ndani ya Dar Live.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nz5DhL-iJxc/Xu5sodKwnqI/AAAAAAALuyM/UPzV9j6nMroAteHR-pJyM_htK8fimCrXgCLcBGAsYHQ/s72-c/8-6.jpg)
SAMIRO PHARMACEUTICAL YAFANYA SEMINA HOSPITALI YA POLISI KILWA ROAD JIJINI DAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-nz5DhL-iJxc/Xu5sodKwnqI/AAAAAAALuyM/UPzV9j6nMroAteHR-pJyM_htK8fimCrXgCLcBGAsYHQ/s640/8-6.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/9-5.jpg)
Meneja Mkazi wa SAMIRO Pharmaceutical ltd Masila Mani akimkabidhi zawadi Mganga Mkuu wa Hospitali ya Polisi Kilwa Road SP. Dk. Cleophace Mtana.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/7-5.jpg)
Meneja Mkazi wa SAMIRO Pharmaceutical ltd Masila Mani akimsikiliza SSP Abdalla Mpalilo wakati akitoa shukurani zake kwa niaba ya Hospitali hiyo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/6-12.jpg)
Meneja Mkazi wa SAMIRO...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-iYI46z3__8c/VgRkWQ59Z9I/AAAAAAAD9Rs/RaSxAG_3anI/s72-c/makete.jpg)
Kigulu Makete hawajawahi kuona gari tangu uhuru, Mbunge akiri, tatizo kukosa barabara, asema mwaka huu wataona gari
![](http://4.bp.blogspot.com/-iYI46z3__8c/VgRkWQ59Z9I/AAAAAAAD9Rs/RaSxAG_3anI/s640/makete.jpg)
Makete. Haitashangaza kusikia wakazi wa kata fulani hawajawahi kuona lami tangu Tanzania ipate uhuru mwaka 1961 kwani katika hali ya kawaida kunakuwapo miundombinu ya barabara ambayo hata kama si kwa kiwango cha kuridhisha, magari yanafika kila kukicha.
Hata kama hayafiki kila siku, lakini wananchi wana uwezo wa kutumia usafiri mwingine kama pikipiki, baiskeli na mikokoteni kuwahi shughuli zao na kusafirisha bidhaa mbalimbali na kujenga uchumi.
Hata hivyo, hali...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SU11xMyg3Lw/VXHqgznO-iI/AAAAAAAHcZY/HuG4rqvn9jY/s72-c/unnamedss1.jpg)
wafanyakazi wa Hoteli ya Dar es Salaam Serena waadhimisha siku ya mazingira kwa kufanya usafi maeneo ya barabara jijini dar
wafanyakazi wa Hoteli ya Dar es Salaam Serena ambao ni wakereketwa wakubwa wa mazingira, waliadhimisha siku hii asubuhi ya leo kwa kufanya usafi barabara ya Ohio kuzunguka mpaka ufukwe wa bahari ya Hindi.
Akiongea mara baada ya zoezi hilo la usafi mkurugenzi mkuu wa masoko wa hoteli hiyo ndugu Seraphin Lusala aliwashukuru wafanyakazi wa hoteli hiyo kwa kushiriki katika zoezi hilo la kufanya usafi wa mazingira ili kuonyesha mfano kwa jamii kwamba uchafuzi wa mazingira haukubaliki na...
Akiongea mara baada ya zoezi hilo la usafi mkurugenzi mkuu wa masoko wa hoteli hiyo ndugu Seraphin Lusala aliwashukuru wafanyakazi wa hoteli hiyo kwa kushiriki katika zoezi hilo la kufanya usafi wa mazingira ili kuonyesha mfano kwa jamii kwamba uchafuzi wa mazingira haukubaliki na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania