Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kigulu Makete hawajawahi kuona gari tangu uhuru, Mbunge akiri, tatizo kukosa barabara, asema mwaka huu wataona gari

By Shaban Lupimo, Mwananchi
Makete. Haitashangaza kusikia wakazi wa kata fulani hawajawahi kuona lami tangu Tanzania ipate uhuru mwaka 1961 kwani katika hali ya kawaida kunakuwapo miundombinu ya barabara ambayo hata kama si kwa kiwango cha kuridhisha, magari yanafika kila kukicha.

Hata kama hayafiki kila siku, lakini wananchi wana uwezo wa kutumia usafiri mwingine kama pikipiki, baiskeli na mikokoteni kuwahi shughuli zao na kusafirisha bidhaa mbalimbali na kujenga uchumi.

Hata hivyo, hali...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kigulu Makete hawajawahi kuona gari tangu uhuru

>Haitashangaza kusikia wakazi wa kata fulani hawajawahi kuona lami tangu Tanzania  ipate uhuru mwaka 1961 kwani katika hali ya kawaida kunakuwapo miundombinu ya barabara ambayo  hata kama si kwa kiwango cha kuridhisha, magari  yanafika kila kukicha.

 

10 years ago

Bongo Movies

Gari Aina la BMW Alilopewa Kama Zawadi na Maneja Wake Martin Kadinda Lazua Maneno. Watu wahoji uwezo wa meneja wake huyo kumnunulia gari hilo huku ye akiendesha gari ''isiyoeleweka''.

Achana na lile gari aina ya Nissan Murano alilozawadiwa na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, gari lingine aina ya BMW 545i aliloletewa Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kwenye pati ya ‘bethidei’ yake ni utata mtupu na maswali kibao

NYUMBANI KWA MADAM
Pati hiyo ambayo iliandika historia katika ulimwengu maridhawa wa mastaa iliangushwa nyumbani kwa mwanadada huyo, Mtaa wa Bwawani, Kijitonyama jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo alitimiza umri wa miaka 26.
Katika shughuli...

 

9 years ago

CCM Blog

MBUNGE AYSHAROSE AUNGA MKONO UAMUZI WA RAIS DK. MAGUFULI KUHUSU MAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU MWAKA HUU

MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Singida, Aysharose Mattembe, amesema Rais Dk. John Magufuli ni kiongozi mwenye kujali maslahi ya Watanzania hivyo maamuzi ya kuwataka wananchi kusherehekea kumbukumbu ya Uhuru kwa kufanya kazi na usafi, umeonyesha dhamira safi ya kiongozi huyo kwa wananchi.

Amesema, uamuzi huo umejali maslahi ya taifa kwa sababu fedha nyingi zingetumika kwenye masuala yasiyokuwa na ulazima kwa wananchi.

Pia, ametoa rai kwa watumishi na viongozi wenzake wa serikali kufanyakazi kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Gari la wagonjwa tatizo

Uongozi wa Hospitali ya Rufani ya Manispaa ya Temeke umesema wanakabiliwa na tatizo la kulazimika kuvunja kanuni za afya zinazokataza wagonjwa watoto na watu wazima kubebwa katika gari moja la kusafirisha wagonjwa.

 

10 years ago

Vijimambo

Askari Polisi Wagongwa Na Gari Baada Ya Gari Hiyo Kukataa


Ajali Arusha: Askari Polisi wagongwa na gari Ni baada ya dereva kusimamishwa akakataa, Trafiki wakapiga simu mbele, alipofika akakutwa askari wameweka kizuizi njiani akapita nao.

 

11 years ago

GPL

GARI KUBWA LAHARIBU BARABARA MWANANYAMALA, DAR

   Gari kubwa ‘likilazimisha’ kupita barabara finyu eneo la Mwananyamala, Dar. Eneo la mtaro na barabara lililoharibiwa na gari hilo kubwa.  …

 

10 years ago

CloudsFM

Diamond,Wema hawajawahi kukutana tangu kuachana

Mastaa wa Bongo ambao waliwahi kuwa wapenzi,Diamond na Wema Sepetu hawajawahi kukutana tangu walipoachana mwaka jana.

Staa wa Bongo Fleva,Diamond amefunguka hayo wakati akifanya mahojiano kwenye kipindi cha Leo Tena cha Clouds Fm,alipoulizwa kuwa kama wana mahusiano mazuri na Wema Sepetu. ‘’Sina Ugomvi na Wema na sijaonana naye tangu tulipoachana,’’alisema Diamond.
Diamond ametambulisha leo wimbo wake mpya mwenye asili ya mduara uutwao ‘’Nasema Nawe’’aliyomshirikisha Khadija...

 

11 years ago

GPL

GARI DOGO LAPINDUKA BARABARA YA KILWA, JIJINI DAR

Gari lilivyokosea njia na kuingia mtaroni . Polisi wa usalama barabarani wakishughulika eneo la ajali.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani