Kigulu Makete hawajawahi kuona gari tangu uhuru, Mbunge akiri, tatizo kukosa barabara, asema mwaka huu wataona gari
![](http://4.bp.blogspot.com/-iYI46z3__8c/VgRkWQ59Z9I/AAAAAAAD9Rs/RaSxAG_3anI/s72-c/makete.jpg)
By Shaban Lupimo, Mwananchi
Makete. Haitashangaza kusikia wakazi wa kata fulani hawajawahi kuona lami tangu Tanzania ipate uhuru mwaka 1961 kwani katika hali ya kawaida kunakuwapo miundombinu ya barabara ambayo hata kama si kwa kiwango cha kuridhisha, magari yanafika kila kukicha.
Hata kama hayafiki kila siku, lakini wananchi wana uwezo wa kutumia usafiri mwingine kama pikipiki, baiskeli na mikokoteni kuwahi shughuli zao na kusafirisha bidhaa mbalimbali na kujenga uchumi.
Hata hivyo, hali...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi31 Jul
Kigulu Makete hawajawahi kuona gari tangu uhuru
10 years ago
Bongo Movies01 Oct
Gari Aina la BMW Alilopewa Kama Zawadi na Maneja Wake Martin Kadinda Lazua Maneno. Watu wahoji uwezo wa meneja wake huyo kumnunulia gari hilo huku ye akiendesha gari ''isiyoeleweka''.
Achana na lile gari aina ya Nissan Murano alilozawadiwa na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, gari lingine aina ya BMW 545i aliloletewa Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kwenye pati ya ‘bethidei’ yake ni utata mtupu na maswali kibao
NYUMBANI KWA MADAM
Pati hiyo ambayo iliandika historia katika ulimwengu maridhawa wa mastaa iliangushwa nyumbani kwa mwanadada huyo, Mtaa wa Bwawani, Kijitonyama jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo alitimiza umri wa miaka 26.
Katika shughuli...
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-FYCkqP-V16s/VlWISSWrQ6I/AAAAAAAA1Sw/97TME7kmkQI/s72-c/Aysharose.jpg)
MBUNGE AYSHAROSE AUNGA MKONO UAMUZI WA RAIS DK. MAGUFULI KUHUSU MAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU MWAKA HUU
![](http://1.bp.blogspot.com/-FYCkqP-V16s/VlWISSWrQ6I/AAAAAAAA1Sw/97TME7kmkQI/s320/Aysharose.jpg)
Amesema, uamuzi huo umejali maslahi ya taifa kwa sababu fedha nyingi zingetumika kwenye masuala yasiyokuwa na ulazima kwa wananchi.
Pia, ametoa rai kwa watumishi na viongozi wenzake wa serikali kufanyakazi kwa...
11 years ago
Mwananchi25 Dec
Gari la wagonjwa tatizo
10 years ago
Bongo Movies26 Nov
10 years ago
Vijimambo19 Jun
Askari Polisi Wagongwa Na Gari Baada Ya Gari Hiyo Kukataa
Ajali Arusha: Askari Polisi wagongwa na gari Ni baada ya dereva kusimamishwa akakataa, Trafiki wakapiga simu mbele, alipofika akakutwa askari wameweka kizuizi njiani akapita nao.
11 years ago
GPLGARI KUBWA LAHARIBU BARABARA MWANANYAMALA, DAR
10 years ago
CloudsFM10 Apr
Diamond,Wema hawajawahi kukutana tangu kuachana
Mastaa wa Bongo ambao waliwahi kuwa wapenzi,Diamond na Wema Sepetu hawajawahi kukutana tangu walipoachana mwaka jana.
Diamond ametambulisha leo wimbo wake mpya mwenye asili ya mduara uutwao ‘’Nasema Nawe’’aliyomshirikisha Khadija...
11 years ago
GPLGARI DOGO LAPINDUKA BARABARA YA KILWA, JIJINI DAR