Leo imetimia Miaka miwili tangu sharo milionea alipofariki kwa ajali ya gari.
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvxzmt4uuyV-tnnykKzMDhb2yO9TYiEtD1U9vIwkeZBjFFGZsH0w3X3I8rjGUW1pdh7Y6pfZOjvYfMWWYuxmdJO6gPfTMYJD/M.jpg?width=650)
WEMA AMLIZA MAMA SHARO MILIONEA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bquVoc42xDPVZmwLxvNGNPVrgkqarZZ9cRaGg-6VtiZ0Y4fMFu33II4gb5HgWHAxPrc3SuapnWI1PmMWCkLXwe9Es8hlaKbV/Mamasharo.jpg?width=650)
MAMA SHARO MILIONEA AMLIZA RICH MAVOKO
10 years ago
CloudsFM12 Dec
KITALE KUACHIA FILAMU YA MWISHO ALIYOFANYA NA MAREHEMU SHARO MILIONEA
Staa wa filamu za ''Comedy'',Kitale ''Mkude Simba''anatarajia kufanya uzinduzi wa filamu ya mwisho aliyoifanya na aliyekuwa msanii mwenzake wa filamu hizo marehemu,Ramadhani Mkieti ''Sharo Millionea'' iitwayo Safra Hasara.
Kupitia mtandao wa Instagram Kitale aliandika .....Hii ndio movie ya mwisho kucheza na mdogo wng rafiki yng ndugu yng SHARO MILIONEA Hii karibuni itakuwa mtaani USIKOSE KUPATA NAKALA YAKO ..
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KimwYc4Y6Ks/VEdgwYV9wAI/AAAAAAAGsms/j50pKmXICv4/s72-c/331211_2354955712229_1200297381_32919676_2680912_o.jpg)
LEO IMETIMIA MIAKA 10 TOKA FREDDY "SUPREME" NDALA KASHEBA ATUTOKE
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
Lulu amkumbuka Kanumba ikiwa ni miaka miwili tangu kifo chake kilipotokea. Hichi ndicho alichosema
Leo ni siku ya kutimiza miaka miwili tangu kutokea kwa kifo cha Steven Kanumba aliyekuwa star mkubwa wa filamu na kufanikiwa kutoa njia kwa tasnia ya filamu nchini. Kupitia mtandao wa kijamii Elizabeth Michael "Lulu" ambaye anakabiriwa na kesi ya mauaji ya Kanumba bila kukusudia ameandika kwa uchungu kuonyesha kuwa mpaka leo bado haamini kuwa Kanumba alikwishafariki.
Kupitia mtandao mmoja maaruffu wa kijamii, Lulu ameandika
bado Siamini kama mwaka wa pili unakatika bila kukuona wala...
11 years ago
MichuziASKARI POLISI WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA GARI WAAGWA LEO MKOANI DODOMA TAYALI KWA MAZISHI
Akiongea kwa masikitiko Kamishna Msaidi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME amewashukuru watu waliojitokeza kuungana pamoja kuaga miili ya Askari hao.
Pia amewataka madereva wote kuwa waangalifu wanapokuwa wanaendesha vyombo vya moto na kuzingatia sheria za usalama barabarani ili kuepuka ajali zinazoweza kujitokeza za namna hii.
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-iYI46z3__8c/VgRkWQ59Z9I/AAAAAAAD9Rs/RaSxAG_3anI/s72-c/makete.jpg)
Kigulu Makete hawajawahi kuona gari tangu uhuru, Mbunge akiri, tatizo kukosa barabara, asema mwaka huu wataona gari
![](http://4.bp.blogspot.com/-iYI46z3__8c/VgRkWQ59Z9I/AAAAAAAD9Rs/RaSxAG_3anI/s640/makete.jpg)
Makete. Haitashangaza kusikia wakazi wa kata fulani hawajawahi kuona lami tangu Tanzania ipate uhuru mwaka 1961 kwani katika hali ya kawaida kunakuwapo miundombinu ya barabara ambayo hata kama si kwa kiwango cha kuridhisha, magari yanafika kila kukicha.
Hata kama hayafiki kila siku, lakini wananchi wana uwezo wa kutumia usafiri mwingine kama pikipiki, baiskeli na mikokoteni kuwahi shughuli zao na kusafirisha bidhaa mbalimbali na kujenga uchumi.
Hata hivyo, hali...
10 years ago
Vijimambo28 May
Leo ni miaka miwili toka msanii ALBERT MANGWEAH alivyoaga dunia MAY 28, 2013
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2015/05/ngwair3.jpg)
Wasanii mbalimbali wa muziki wa Bongo Fleva wakiwa kwenye picha ya pamoja katika kaburi la Albert Mangweah maeneo ya Kihonda Morogoro.
DAIMA TUTAKUKUMBUKA
PUMZIKA KWA AMANI
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2015/05/117.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2015/05/227.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2015/05/314.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2015/05/410.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2015/05/510.jpg)