Leo ni miaka miwili toka msanii ALBERT MANGWEAH alivyoaga dunia MAY 28, 2013
Wasanii mbalimbali wa muziki wa Bongo Fleva wakiwa kwenye picha ya pamoja katika kaburi la Albert Mangweah maeneo ya Kihonda Morogoro.
DAIMA TUTAKUKUMBUKA
PUMZIKA KWA AMANI
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies26 Nov
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-4sf0_dcXxV0/VdgyBIwuesI/AAAAAAAAAv0/HY17Djj_4VY/s72-c/Chadema.jpg)
10 years ago
Vijimambo20 Feb
MSANII MEZ B AFARIKI DUNIA LEO DODOMA
![](http://api.ning.com/files/cGEsfZahF3v21JSeEu73srVOoCxhPMpPVIAO*sxCvpifgZaBCdfCdBsuE86Gi9bsXA17BQz5hjFBex1zjYHksFZA7-bcP1jm/MezB1.jpg?width=650)
10 years ago
Vijimambo08 Feb
MSANII MWINGINE WA BONGO MOVIE AFARIKI DUNIA LEO
![](http://api.ning.com/files/IR6j1-Mhm*W99toUtkCEzR4OIBxb1Yegwq1OSVuQ7pTIpQ*85*b-QUVitNpA-D3F2TCrhcJP0owTAhH6wTe8SHAbLJ4mvIGC/IMG20150207WA0022.jpg?width=550)
![](http://api.ning.com/files/IR6j1-Mhm*UjTJpo9JIEKobFCswrtAaRWSCXUyQ*sLeH7Ymvzb1cAljJBooE8*jGLIqeOiQzRWAPX*CfJaKNNWRCRnf*s0DO/IMG20150207WA0000.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/IR6j1-Mhm*V9mgtjoeDJVV*ve80kqiWFVxs-P658a9QdrbICI43nUkYuESH3MFFgttaDCFjuJXS1lEI3p7oEC6c*oWu1zpRm/IMG20150207WA0017.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/IR6j1-Mhm*UEiilxLUNHe92*xE0AWYZnXZVQCDHoT-3FeQE-45qecJh8fFvmrk-Ic2k0LwWrJy7FuQrjFFNRlkCXSOzj2l-1/IMG20150207WA0008.jpg?width=650)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KimwYc4Y6Ks/VEdgwYV9wAI/AAAAAAAGsms/j50pKmXICv4/s72-c/331211_2354955712229_1200297381_32919676_2680912_o.jpg)
LEO IMETIMIA MIAKA 10 TOKA FREDDY "SUPREME" NDALA KASHEBA ATUTOKE
Na John KitimeLEO tunatimiza miaka kumi toka kifo cha mwanamuziki mahiri Freddy Supreme au maarufu kama Ndala Kasheba. Freddy alianza kufundishwa gitaa na baba yake wakati akiwa na umri wa miaka 12. Baba yake alijua kupiga gitaa japo hakufanya kazi ya uanamuziki, alikuwa akipiga gitaa nyumbani baada ya saa za kazi.Moja ya bendi maarufu ambazo zilimtambulisha sana Fredd ilikuwa Orchestra Fauvette, Freddy alieleza kuwa bendi ya Orchestra Fauvette ilianza tarehe 7 mwezi wa sita mwaka 1964...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4kob-ACIQRY/VOccIZLTLUI/AAAAAAAHEw0/NKJcUiVLn8U/s72-c/MEZ-B2.jpg)
JUST IN: MSANII WA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA,MEZ B AFARIKI DUNIA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-4kob-ACIQRY/VOccIZLTLUI/AAAAAAAHEw0/NKJcUiVLn8U/s1600/MEZ-B2.jpg)
Mez B amewahi kulazwa na kuruhusiwa mara kadhaa katika hospitali ya Dodoma na hivi karibuni alizidiwa na kulazwa mkoani humo mpaka umauti...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Q5911Op-whI/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/IfvpKUCELzc/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ok30SVir64kV9-0hZ1fW1frFj9yhBtMUk6XFFG0HbFhbPKYUn4nxqVp49gRunXE7WQ8GNq93dZ6cmNceiIYzMVjj4M4YCZau/Fadhilsaid.jpg)
MSANII WA KOMEDI ‘DIFENDA’ AFARIKI DUNIA, KUZIKWA LEO
Fadhili Nolidondi ‘Difenda’ enzi za uhai wake. MSANII wa komedi aliyejipatia sifa katika filamu za Mchawi Pesa, Yamini, Saa Mbovu, Kikaango na nyingine nyingi, Fadhili Nolidondi ‘Difenda’ amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Taifa, Muhimbili jijini Dar. Katibu wa Chama cha Komedi Tanzania, Neto Nazaleth amethibitisha msiba huo na kusema kuwa marehemu alikuwa akisumbuliwa na figo, ini...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania