LEO IMETIMIA MIAKA 10 TOKA FREDDY "SUPREME" NDALA KASHEBA ATUTOKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-KimwYc4Y6Ks/VEdgwYV9wAI/AAAAAAAGsms/j50pKmXICv4/s72-c/331211_2354955712229_1200297381_32919676_2680912_o.jpg)
Na John KitimeLEO tunatimiza miaka kumi toka kifo cha mwanamuziki mahiri Freddy Supreme au maarufu kama Ndala Kasheba. Freddy alianza kufundishwa gitaa na baba yake wakati akiwa na umri wa miaka 12. Baba yake alijua kupiga gitaa japo hakufanya kazi ya uanamuziki, alikuwa akipiga gitaa nyumbani baada ya saa za kazi.Moja ya bendi maarufu ambazo zilimtambulisha sana Fredd ilikuwa Orchestra Fauvette, Freddy alieleza kuwa bendi ya Orchestra Fauvette ilianza tarehe 7 mwezi wa sita mwaka 1964...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies26 Nov
10 years ago
Vijimambo28 May
Leo ni miaka miwili toka msanii ALBERT MANGWEAH alivyoaga dunia MAY 28, 2013
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2015/05/ngwair3.jpg)
Wasanii mbalimbali wa muziki wa Bongo Fleva wakiwa kwenye picha ya pamoja katika kaburi la Albert Mangweah maeneo ya Kihonda Morogoro.
DAIMA TUTAKUKUMBUKA
PUMZIKA KWA AMANI
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2015/05/117.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2015/05/227.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2015/05/314.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2015/05/410.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2015/05/510.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Y9kzZaCTVIQ/VC3vDZIc9NI/AAAAAAAAp0Q/eT_FHzcEFuQ/s72-c/10666280_304619959745459_704373199_n.jpg)
HII NDIO HISTORIA YA DIAMOND TOKA KAZALIWA MPAKA LEO KAFIKISHA MIAKA 26, HAYA NDO ALIYOPITIA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y9kzZaCTVIQ/VC3vDZIc9NI/AAAAAAAAp0Q/eT_FHzcEFuQ/s1600/10666280_304619959745459_704373199_n.jpg)
![diamond platnumz bongoclan.co.tz](http://www.bongoclan.co.tz/wp-content/uploads/2014/10/diamond-platnumz-bongoclan.co_.tz_.jpg)
Ukitaka kujua kuwa ku-shine hapa Bongo ni juhudi zako tu mwenyewe za kupiga kazi usiku na mchana,bila kulala na mwisho wa siku kufikia malengo yako basi mfano wa kuigwa ni huyu Birthday boy Diamond Platnumz.Diamond alizaliwa tarehe 2, October mwaka 1989 katika Hospitali ya Amana Dar es salaam mnamo wa saa kumi na moja na kupewa jina la Nasibu Abdul Juma . Akiwa na umri mdogo wazazi wake walitengana na baba yake kumuacha bila msaada wowote na...
10 years ago
MichuziBENKI M YAADHIMISHA MIAKA 8 TOKA ILIPOANZISHWA
9 years ago
Michuzi21 Sep
FREDDY MACHA KUTUMBUIZA ONESHO LA PICHA ZA WATOTO WA KITANZANIA LONDON
![Flyer by Evelina Moceviciute 2015](https://kitoto.files.wordpress.com/2015/09/flyer-by-evelina-moceviciute-2015.jpg)
9 years ago
Mtanzania17 Nov
Nalimi Mayunga: Ndoto yangu kimataifa imetimia
NA KOKU DAVID
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Nalimi Mayunga ambaye ni mshindi wa shindano la ‘Airtel Trace Music Stars Afrika’, amesema hatawaangusha Watanzania na kwamba ataipeperusha vizuri bendera ya Tanzania nchini Marekani.
Msanii huyo ameondoka jana kuelekea nchini Marekani ambako atafanya kazi na nguli wa muziki wa Rnb duniani, Aliaume Damala ‘Akon’ na atakaa huko kwa wiki moja.
Akizungumza jijini Dar es Salaam kabla ya kuondoka, Mayunga alisema kuwa ndoto yake ya kufanya kazi ya...
11 years ago
Michuzi24 Apr
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-OWtXHoyI2gM/XpLjYUgBd2I/AAAAAAALmzQ/Ak9s9TKhJpc1W8c1LEmCLVMgTJFz8A45wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-12%2Bat%2B10.48.01.jpeg)
MIAKA 36 YATIMIA TOKA KIFO CHA CAMARADA EDWARD MORINGE SOKOINE!!!
![](https://1.bp.blogspot.com/-OWtXHoyI2gM/XpLjYUgBd2I/AAAAAAALmzQ/Ak9s9TKhJpc1W8c1LEmCLVMgTJFz8A45wCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-12%2Bat%2B10.48.01.jpeg)
Jumapili mujarab ya leo, tarehe 12.4.2020, Taifa letu linatimiza miaka 36 toka kipenzi cha Watanzania, Mh. EDWARD MORINGE SOKOINE afariki kwa ajali ya gari siku ya Alhamis, tarehe 12.4.1984 eneo la Dakawa, wilayani Mvomero, mkoani Morogoro.
ATIKALI hii inamuelezea Kiongozi huyu shupavu toka alipozaliwa hadi alipofariki. Hii itawasaidia wengi, hasa The Dot.Com Generation, kuelewa kwanini Taifa linamuenzi Kiongozi huyu ambaye alikuwa ni Zawadi ya Mungu kwa Watanzania.
2. SOKOINE...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OWtXHoyI2gM/XpLjYUgBd2I/AAAAAAALmzQ/Ak9s9TKhJpc1W8c1LEmCLVMgTJFz8A45wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-12%2Bat%2B10.48.01.jpeg)
MIAKA 36 YATIMIA TOKA KIFO CHA CAMARADA EDWARD MORINGE SOKOINE!!!
![](https://1.bp.blogspot.com/-OWtXHoyI2gM/XpLjYUgBd2I/AAAAAAALmzQ/Ak9s9TKhJpc1W8c1LEmCLVMgTJFz8A45wCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-12%2Bat%2B10.48.01.jpeg)
Jumapili mujarab ya leo, tarehe 12.4.2020, Taifa letu linatimiza miaka 36 toka kipenzi cha Watanzania, Mh. EDWARD MORINGE SOKOINE afariki kwa ajali ya gari siku ya Alhamis, tarehe 12.4.1984 eneo la Dakawa, wilayani Mvomero, mkoani Morogoro.
ATIKALI hii inamuelezea Kiongozi huyu shupavu toka alipozaliwa hadi alipofariki. Hii itawasaidia wengi, hasa The Dot.Com Generation, kuelewa kwanini Taifa linamuenzi Kiongozi huyu ambaye alikuwa ni Zawadi ya Mungu kwa Watanzania.
2. SOKOINE...