MSANII MWINGINE WA BONGO MOVIE AFARIKI DUNIA LEO
Mwajuma Abdallah ‘Mama Mashaka’ enzi za uhai wake.
Mtoto wa marehemu Mwajuma Abdallah ‘Mama Mashaka’
Waombolezaji wakiwa wenye nyuso za simanzi.
Bi Mwenda akiwa msibani leo.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Msanii mwingine Bongo Movie afariki dunia
IKIWA zimepita siku chache tangu msiba wa mwigizaji na muongozaji filamu za Kibongo, Adam Kuambiana, mwigizaji mwingine, Rachel Haule ‘Recho’, amefariki dunia jana asubuhi. Inaelezwa kifo cha Recho kimesababishwa na...
11 years ago
Dewji Blog31 May
Breaking News: Msiba mwingine Bongo Movie “George Tyson” afariki kwenye ajali ya gari usiku huu
Produza maarufu wa filamu nchini George Tyson (pichani) amefariki dunia usiku huu kwenye ajali ya gari Morogoro wakitokea Dodoma na wenzake sita kujeruhiwa akiwemo Blogger maarufu DJ Choka.
Chanzo cha jali hiyo akijajulikana bado MOblog inaendelea kufuatilia kwa ukaribu zaidi na tutawapa taarifa hapo baadae.
Taarifa hizi zimethibitishwa na jamaa wa karibu wa marehemu.
MOblog inaungana na watanzania wote kuomboleza kifo cha marehemu George Tyson na inawaombea nafuu wote waliojeruhiwa kwenye...
11 years ago
Tanzania Daima01 Jun
George Tyson wa Bongo Movie afariki dunia
MTAYARISHAJI na muongozaji mkuu wa kipindi cha televisheni cha ‘The Mboni Show’ kinachorushwa na Kituo cha EATV, George Otieno Okumu ‘Geogre Tyson’, amefariki dunia kwa ajali ya gari iliyotokea mjini...
11 years ago
CloudsFM29 May
RACHEL HAULE WA BONGO MOVIE AFARIKI DUNIA
Msanii wa Bongo Movie, Rachel Haule 'Recho' (pichani), amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es slaaam. Habari zilizothibitishwa na Mwenyekiti wa Bongo Movie, Steve Nyerere, zimesema kuwa Recho alikwenda Muhimbili jana kujifungua ambapo mara baada ya kujifungua mtoto alifariki na yeye hali yake kuwa mbaya, ilibidi ahamishiwe ICU ambako hali ilizidi kuwa mbaya na baadae kufariki dunia.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MSANII WA BONGO FLEVA SIDE MNYAMWEZI AFARIKI DUNIA
11 years ago
Dewji Blog27 May
Msanii Bongo movies ‘Rachel Haule’ afariki dunia!
Msanii wa Bongo Movie, Rachel Haule ‘Recho’ (pichani), amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es slaaam. Habari zilizothibitishwa na Mwenyekiti wa Bongo Movie, Steve Nyerere, zimesema kuwa Recho alikwenda Muhimbili jana kujifungua ambapo mara baada ya kujifungua mtoto alifariki na yeye hali yake kuwa mbaya, ilibidi ahamishiwe ICU ambako hali ilizidi kuwa mbaya na baadae kufariki dunia.
MOblog inaungana na Watanzania wote kuombeleza kifo cha...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uxLbwSVx3LuvRMo9hZBULiTM96bJ0MFvlTXi3-ljVLic9gNATwvQrj8WBE6E0rA0rKCpVijSOzljtLMsALRrkSGj5Ga1FudA/BREAKINGNEWS.gif)
MSTUKO: MSANII RACHEL HAULE WA BONGO MOVI AFARIKI DUNIA!
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UNLS4gVrmPE/U4T4pbwaFbI/AAAAAAAFloI/hewEhdu0fZM/s72-c/unnamed+(6).jpg)
Msanii nyota wa filamu za Bongo movies Rachel Haule "Recho" afariki dunia
![](http://1.bp.blogspot.com/-UNLS4gVrmPE/U4T4pbwaFbI/AAAAAAAFloI/hewEhdu0fZM/s1600/unnamed+(6).jpg)