George Tyson wa Bongo Movie afariki dunia
MTAYARISHAJI na muongozaji mkuu wa kipindi cha televisheni cha ‘The Mboni Show’ kinachorushwa na Kituo cha EATV, George Otieno Okumu ‘Geogre Tyson’, amefariki dunia kwa ajali ya gari iliyotokea mjini...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
PIGO LINGINE BONGO MUVI: GEORGE TYSON AFARIKI DUNIA
11 years ago
Dewji Blog31 May
Breaking News: Msiba mwingine Bongo Movie “George Tyson” afariki kwenye ajali ya gari usiku huu
Produza maarufu wa filamu nchini George Tyson (pichani) amefariki dunia usiku huu kwenye ajali ya gari Morogoro wakitokea Dodoma na wenzake sita kujeruhiwa akiwemo Blogger maarufu DJ Choka.
Chanzo cha jali hiyo akijajulikana bado MOblog inaendelea kufuatilia kwa ukaribu zaidi na tutawapa taarifa hapo baadae.
Taarifa hizi zimethibitishwa na jamaa wa karibu wa marehemu.
MOblog inaungana na watanzania wote kuomboleza kifo cha marehemu George Tyson na inawaombea nafuu wote waliojeruhiwa kwenye...
11 years ago
GPL31 May
GEORGE TYSON AFARIKI DUNIA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PlY8Cjladkk/U4kMVsJXHFI/AAAAAAAFmpU/t6Pnq-jMaA8/s72-c/TYSON.jpg)
BREAKING NYUZZZZZ........: GEORGE TYSON HATUNAYE TENA,AFARIKI DUNIA AJALINI MKONI MOROGORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-PlY8Cjladkk/U4kMVsJXHFI/AAAAAAAFmpU/t6Pnq-jMaA8/s1600/TYSON.jpg)
GEORGE TYSON AMEFIKWA NA MAUTI HAYO USIKU HUU BAADA YA KUPATA AJALI MBAYA SANA KUTOKANA NA GARI WALIOLOKUWA WAKISAFIRIA KUTOKA MKOANI DODOMA KUJA DAR ES SALAAM,WAKITOKEA KWENYE HAFLA YA KUADHIMISHA MIAKA MIWILI YA KIPINI CHA TELEVISHENI CHA THE MBONI SHOW,KUPINDUKA MARA KADHAA KUTOKANA NA KUPASUKA KWA MIPIRA...
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
Mwongozaji wa filamu maarufu nchini George Tyson Afariki dunia kwa ajali ya gari Morogoro
Taarifa zilizotufikia hivi punde zinasema mongozaji wa filamu maarufu nchini George Otieno Tyson (Pichani) amefariki dunia kwa ajali ya gari huko Morogoro.
Taarifa hizi ambazo zimethibitishwa na watu wa karibu yake zinasema kuwa, mauti haya yamemfika baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupata ajali na kupinduka walipokuwa wameenda kwa ajili ya kipindi cha The mboni show ambacho yeye alikuwa ndiye muongozaji mkuu.
Wasanii na mastaa mbalimbali nchini wameoneshwa masikitiko yako juu ya...
11 years ago
CloudsFM29 May
RACHEL HAULE WA BONGO MOVIE AFARIKI DUNIA
Msanii wa Bongo Movie, Rachel Haule 'Recho' (pichani), amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es slaaam. Habari zilizothibitishwa na Mwenyekiti wa Bongo Movie, Steve Nyerere, zimesema kuwa Recho alikwenda Muhimbili jana kujifungua ambapo mara baada ya kujifungua mtoto alifariki na yeye hali yake kuwa mbaya, ilibidi ahamishiwe ICU ambako hali ilizidi kuwa mbaya na baadae kufariki dunia.
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Msanii mwingine Bongo Movie afariki dunia
IKIWA zimepita siku chache tangu msiba wa mwigizaji na muongozaji filamu za Kibongo, Adam Kuambiana, mwigizaji mwingine, Rachel Haule ‘Recho’, amefariki dunia jana asubuhi. Inaelezwa kifo cha Recho kimesababishwa na...
10 years ago
Vijimambo08 Feb
MSANII MWINGINE WA BONGO MOVIE AFARIKI DUNIA LEO
![](http://api.ning.com/files/IR6j1-Mhm*W99toUtkCEzR4OIBxb1Yegwq1OSVuQ7pTIpQ*85*b-QUVitNpA-D3F2TCrhcJP0owTAhH6wTe8SHAbLJ4mvIGC/IMG20150207WA0022.jpg?width=550)
![](http://api.ning.com/files/IR6j1-Mhm*UjTJpo9JIEKobFCswrtAaRWSCXUyQ*sLeH7Ymvzb1cAljJBooE8*jGLIqeOiQzRWAPX*CfJaKNNWRCRnf*s0DO/IMG20150207WA0000.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/IR6j1-Mhm*V9mgtjoeDJVV*ve80kqiWFVxs-P658a9QdrbICI43nUkYuESH3MFFgttaDCFjuJXS1lEI3p7oEC6c*oWu1zpRm/IMG20150207WA0017.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/IR6j1-Mhm*UEiilxLUNHe92*xE0AWYZnXZVQCDHoT-3FeQE-45qecJh8fFvmrk-Ic2k0LwWrJy7FuQrjFFNRlkCXSOzj2l-1/IMG20150207WA0008.jpg?width=650)
11 years ago
Michuzi31 May