Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GARI KUBWA LAHARIBU BARABARA MWANANYAMALA, DAR

   Gari kubwa ‘likilazimisha’ kupita barabara finyu eneo la Mwananyamala, Dar. Eneo la mtaro na barabara lililoharibiwa na gari hilo kubwa.  …

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

GARI DOGO LAPINDUKA BARABARA YA KILWA, JIJINI DAR

Gari lilivyokosea njia na kuingia mtaroni . Polisi wa usalama barabarani wakishughulika eneo la ajali.…

 

11 years ago

Habarileo

Lori laharibu daraja Dar, laua mmoja

MTU mmoja amekufa na wengine sita wamejeruhiwa baada ya gari walilokuwa wamepanda kutumbukia kwenye Daraja la Kinyerezi jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Vijimambo

Kigulu Makete hawajawahi kuona gari tangu uhuru, Mbunge akiri, tatizo kukosa barabara, asema mwaka huu wataona gari

By Shaban Lupimo, Mwananchi
Makete. Haitashangaza kusikia wakazi wa kata fulani hawajawahi kuona lami tangu Tanzania ipate uhuru mwaka 1961 kwani katika hali ya kawaida kunakuwapo miundombinu ya barabara ambayo hata kama si kwa kiwango cha kuridhisha, magari yanafika kila kukicha.

Hata kama hayafiki kila siku, lakini wananchi wana uwezo wa kutumia usafiri mwingine kama pikipiki, baiskeli na mikokoteni kuwahi shughuli zao na kusafirisha bidhaa mbalimbali na kujenga uchumi.

Hata hivyo, hali...

 

10 years ago

GPL

GARI KUBWA LAHARIBIKIA BARABARANI

Sehemu ya mzigo ukihamishwa kutoka gari lililoharibika. KAMERA ya GPL imeshuhudia gari kubwa likiwa limeharibika katikati ya barabara maeneo ya Tabata na kusababisha foleni kwa muda  huku askari wa usalama barabarani kwa kushirikiana wadau wakifanya jitihada za kuhamisha mzigo  ya gari hilo ili kutokusababisha foleni. (PICHA: GABRIEL…

 

9 years ago

BBCSwahili

Raia wa India atengeneza gari kubwa duniani

Mchoraji wa miundo ya magari nIndia Sudhakr Yadav amejaribu kuweka rekodi ya pili ya Guiness kwa kutengeneza gari kubwa zaidi duniani.

 

11 years ago

Michuzi

DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM

Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli katikati akiwa na Balozi wa Japan Nchini Masaki Okada kulia wakipita juu ya Daraja la Lugalo mara baada ya kulikagua katika ziara ya Ukaguzi wa Barabara ya Mwenge Tegeta jijini Dar es salaam leo.

 Balozi wa Japan nchini Ndugu Masaki Okada akiwa na Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa Said Meck Sadick wakipanda ngazi za daraja la juu la watembea kwa miguu flyover Ubungo...

 

11 years ago

Mwananchi

Ujenzi huu Barabara ya Morogoro kero kubwa

Kwa wakazi wa Kimara, kila kona ukipita hivi sasa ni vilio tu kutokana na ujenzi wa Barabara ya Morogoro, kwani kwa jinsi inavyojengwa haioneshi kuwasaidia wananchi bali kuwaongezea kero na usumbufu mkubwa.

 

11 years ago

Michuzi

News Alert: Ajali ya gari la mizigo barabara ya Arusha/Moshi leo


Gari lililokuwa limepakia shehena ya Sementi likiwa limepunduka katika barabara ya Arusha Moshi jirani na Bomang'ombe. Hakuna aliyejeruhiwa na chanzo cha ajali bado haijajulikana Vijana wakichukua mafuta katika tenki la mafuta ya gari lililoanguka.
Sehemu ya sementi iliyokuwa imepakiwa katika gari hilo . Askari polisi wa kituo cha polisi Bomang'ombe wakiwa katika eneo la tukio kuhakikisha kunakuwepo na hali ya usalama. Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii, Moshi.

 

9 years ago

Dewji Blog

Wachezaji wawili wapoteza maisha, ni baada ya gari waliyotumia kuacha barabara

sedoyeka

Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP.Thobias Sedoyeka, akitoa taarifa kwa waandishi wa habari juu ya ajali ya gari aina ya Noah T.987 CQN iliyokuwa imepakia abiria 24, kuacha barabara na kisha kugonga mti na kuuawa wachezaji  wawili wa timu ya soka ya kijiji cha Kinambeu akiwemo mwanafunzi wa kidato cha tatu shule ya sekondari Tumaini kata ya Kinampanda wilaya ya Iramba.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

WACHEZAJI wawili wa timu ya soka ya kijiji cha Kinambeu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani