GARI KUBWA LAHARIBU BARABARA MWANANYAMALA, DAR
  Gari kubwa ‘likilazimisha’ kupita barabara finyu eneo la Mwananyamala, Dar. Eneo la mtaro na barabara lililoharibiwa na gari hilo kubwa.  …
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLGARI DOGO LAPINDUKA BARABARA YA KILWA, JIJINI DAR
11 years ago
Habarileo21 Jun
Lori laharibu daraja Dar, laua mmoja
MTU mmoja amekufa na wengine sita wamejeruhiwa baada ya gari walilokuwa wamepanda kutumbukia kwenye Daraja la Kinyerezi jijini Dar es Salaam.
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-iYI46z3__8c/VgRkWQ59Z9I/AAAAAAAD9Rs/RaSxAG_3anI/s72-c/makete.jpg)
Kigulu Makete hawajawahi kuona gari tangu uhuru, Mbunge akiri, tatizo kukosa barabara, asema mwaka huu wataona gari
![](http://4.bp.blogspot.com/-iYI46z3__8c/VgRkWQ59Z9I/AAAAAAAD9Rs/RaSxAG_3anI/s640/makete.jpg)
Makete. Haitashangaza kusikia wakazi wa kata fulani hawajawahi kuona lami tangu Tanzania ipate uhuru mwaka 1961 kwani katika hali ya kawaida kunakuwapo miundombinu ya barabara ambayo hata kama si kwa kiwango cha kuridhisha, magari yanafika kila kukicha.
Hata kama hayafiki kila siku, lakini wananchi wana uwezo wa kutumia usafiri mwingine kama pikipiki, baiskeli na mikokoteni kuwahi shughuli zao na kusafirisha bidhaa mbalimbali na kujenga uchumi.
Hata hivyo, hali...
10 years ago
GPLGARI KUBWA LAHARIBIKIA BARABARANI
9 years ago
BBCSwahili08 Oct
Raia wa India atengeneza gari kubwa duniani
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s72-c/unnamed+(41).jpg)
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s1600/unnamed+(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8fuh6Rix_QE/U-j4eA1NJhI/AAAAAAAF-kA/noaS8n4dTZc/s1600/unnamed+(42).jpg)
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Ujenzi huu Barabara ya Morogoro kero kubwa
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-yEc3b_QQ9l4/UwSUnpH7BEI/AAAAAAAFN88/QP-e1mstw4U/s72-c/unnamed+(62).jpg)
News Alert: Ajali ya gari la mizigo barabara ya Arusha/Moshi leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-yEc3b_QQ9l4/UwSUnpH7BEI/AAAAAAAFN88/QP-e1mstw4U/s1600/unnamed+(62).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1oWk3HrhW4M/UwSUoF3ywtI/AAAAAAAFN9Y/xZwlCzzaAHQ/s1600/unnamed+(64).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-o9InGcd2I-U/UwSUoajsjgI/AAAAAAAFN9I/aqaczu-TTY8/s1600/unnamed+(65).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-q4Cilx7kRA0/UwSUpQNGtgI/AAAAAAAFN9w/8pPtvV4QarI/s1600/unnamed+(67).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2223yZIX1-s/UwSUpRaRAnI/AAAAAAAFN9g/3tgXHvbqBzE/s1600/unnamed+(68).jpg)
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Wachezaji wawili wapoteza maisha, ni baada ya gari waliyotumia kuacha barabara
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP.Thobias Sedoyeka, akitoa taarifa kwa waandishi wa habari juu ya ajali ya gari aina ya Noah T.987 CQN iliyokuwa imepakia abiria 24, kuacha barabara na kisha kugonga mti na kuuawa wachezaji wawili wa timu ya soka ya kijiji cha Kinambeu akiwemo mwanafunzi wa kidato cha tatu shule ya sekondari Tumaini kata ya Kinampanda wilaya ya Iramba.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
WACHEZAJI wawili wa timu ya soka ya kijiji cha Kinambeu...