Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GARI KUBWA LAHARIBIKIA BARABARANI

Sehemu ya mzigo ukihamishwa kutoka gari lililoharibika. KAMERA ya GPL imeshuhudia gari kubwa likiwa limeharibika katikati ya barabara maeneo ya Tabata na kusababisha foleni kwa muda  huku askari wa usalama barabarani kwa kushirikiana wadau wakifanya jitihada za kuhamisha mzigo  ya gari hilo ili kutokusababisha foleni. (PICHA: GABRIEL…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Gari linalohisi mashimo barabarani

Watafiti wa gari aina ya Landrover Jaguar wametengeza gari ambalo linaweza kuhisi mashimo yalio barabarani wakati linapoendeshwa.

 

11 years ago

GPL

DOMIC MAGE: NILIBURUZWA NA GARI BARABARANI NIKIOMBA

Na Makongoro Oging’
HAKIKA Mungu ni wa ajabu sana. Licha ya kwamba Domic Mage alizaliwa akiwa mlemavu, hali iliyomfanya ashindwe kujimudu kimaisha na hivyo kuishia kuwa omba omba, bado aligongwa na gari, lililomburuza urefu wa mita 40 na kumzidishia maumivu makali zaidi ya mwili. Domic Mage akiwa anatafakali jambo. Kwa zaidi ya miaka 10, Domic, mkazi wa kijiji cha Mvuti wilayani Temeke amekuwa barabarani akiomba, licha...

 

10 years ago

Michuzi

KIKOSI CHA USALAMA BARABARANI WAPEWA GARI LA MATANGAZO

Balozi wa Japani nchini, Masaharu Yoshida( katikati) akikata utepe kuzindua gari la maalumu litakalotumika na kikosi cha usalama barabarani katika shughuli za uelimishaji, (kushoto) ni Mkuu wa kikosi cha Usalama barabarani, Naibu kamishina wa Polisi(DCP) Mohamed Mpinga ( kulia )ni Msaidizi wa balozi, Bw Kazioshi. 

 

9 years ago

GPL

GARI LAMWAGA MAFUTA YA MAWESE, LASABAISHA UTELEZI BARABARANI DAR

Vijana wakiondoa mafuta yaliyomwagika barabarani. Mwonekano wa eneo hilo.  Usafishaji wa barabara kwa maji ukiendelea. Mfereji uliojaa mafuta yaliyomwangika.…

 

11 years ago

Mwananchi

Watakaoacha mifugo barabarani Zanzibar kulimwa faini kubwa

Muswada wa Sheria ya kurekebisha Amri ya Barabara umepiti kwa mbinde baada ya kulazimika kupigwa kura kutokana na Mwakilishi wa Muyuni, Jaku Hashim Ayoub kupinga adhabu ya wafugaji kufungwa miezi mitatu jela au kulipa faini ya Sh1 milioni ikiwa wataachia mifugo yao kuzagaa barabarani.

 

10 years ago

Dewji Blog

Ajali za barabarani zaongezeka Tabora, zauwa idadi kubwa ya watu!

USALAMA BRBRN.1

Mkuu wa mkoa wa Tabora Bw.Ludovick Mwananzila akipata maelezo kutoka kwa Dr.Anna Kichambati wa Redcross Tabora wakati wa sherehe za wiki ya usalama barabarani mkoani Tabora.

USALAMA BRBRN.2

Mkuu wa mkoa wa Tabora Bw.Mwananzila akisalimiana na Afisa mfawidhi wa Sumatra mkoa wa Tabora Bw.Joseph Michael wakati wa wiki ya usalama barabarani mkoa wa Tabora.

USALAMA BRBRN.3

Mmoja kati ya maafisa wa polisi kikosi cha usalama barabarani Tabora mjini akimuonesha mkuu wa mkoa wa Tabora Bw.Ludovick Mwananzila kifaa maalumu...

 

9 years ago

BBCSwahili

Raia wa India atengeneza gari kubwa duniani

Mchoraji wa miundo ya magari nIndia Sudhakr Yadav amejaribu kuweka rekodi ya pili ya Guiness kwa kutengeneza gari kubwa zaidi duniani.

 

11 years ago

GPL

GARI KUBWA LAHARIBU BARABARA MWANANYAMALA, DAR

   Gari kubwa ‘likilazimisha’ kupita barabara finyu eneo la Mwananyamala, Dar. Eneo la mtaro na barabara lililoharibiwa na gari hilo kubwa.  …

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani