Ajali za barabarani zaongezeka Tabora, zauwa idadi kubwa ya watu!
Mkuu wa mkoa wa Tabora Bw.Ludovick Mwananzila akipata maelezo kutoka kwa Dr.Anna Kichambati wa Redcross Tabora wakati wa sherehe za wiki ya usalama barabarani mkoani Tabora.
Mkuu wa mkoa wa Tabora Bw.Mwananzila akisalimiana na Afisa mfawidhi wa Sumatra mkoa wa Tabora Bw.Joseph Michael wakati wa wiki ya usalama barabarani mkoa wa Tabora.
Mmoja kati ya maafisa wa polisi kikosi cha usalama barabarani Tabora mjini akimuonesha mkuu wa mkoa wa Tabora Bw.Ludovick Mwananzila kifaa maalumu...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo18 Mar
11 years ago
Tanzania Daima09 Apr
Ajali za barabarani zaongezeka Iringa
TAKWIMU zinaonyesha kuwepo kwa ongezeko la ajali za barabarani mara saba zaidi zinazohusisha pikipiki Mkoa wa Iringa kati ya Januari 1 hadi Machi 31 ikilinganishwa na miezi kama hii mwaka...
10 years ago
CloudsFM17 Dec
ajali yaua watu saba Tabora
Basi la kampuni ya Mohammed Trans limepata ajali mbaya Igunga ambapo watu saba wanadaiwa kupoteza maisha katika eneo la Makomero wilayani Igunga, mkoani Tabora.
Inadaiwa kuwa mbali na kuua pia abiria wengi wamejeruhiwa baada ya basi hilo la Mohammed Trans kukatika 'steeering power' likaacha njia na kupinduka huku kukiwa na taarifa zingine kuwa ajali hiyo imetokea baada ya basi hilo kugonga shimo.
Basi hilo limepinduka jana majira ya saa nane mchana, ambapo maiti na majeruhi wamepelekwa katika...
5 years ago
BBCSwahili05 Jun
China na India: Kwanini hofu imerudi kati ya majeshi ya mataifa haya yenye idadi kubwa ya watu duniani
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-IqC97l29FIU/VRA6W2MSwGI/AAAAAAAHMgo/6E9Z_l_Z8h0/s72-c/DSC_0973.jpg)
TANZANIA NI NCHI YA SITA KWA KUWA NA IDADI KUBWA YA WATU WENYE UGONJWA WA KIFUA KIKUU BARANI AFRIKA
Utafiti unaonyesha kuwa zaidi ya asilimia 30 ya vifo vya watu walioathirika na Ukimwi vinatokana na Ugomjwa wa Kifua Kukuu na inakadiriwa kuwa tangu kuanza kwa ugonjwa wa ukimwi, kati ya asilimia tano (5) hadi 10 ya watu wenye VVU wana ugonjwa wa kifua kikuu na takribani ya asilimia 40 wanaouguwa kifua kikuu wana maambukizo ya VVU.
Hayo yamesemwa leo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,Dk.Donan Mmbando wakati akitangaza maadhimisho ya siku...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/OX-i6slHCw0/default.jpg)
10 years ago
Michuzi20 Aug
WATU 16 WADAIWA KUPOTEZA MAISHA KUFUATIA AJALI MBAYA YA MABASI MAWILI WILAYANI SIKONGE MKOANI TABORA
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/va1xHRzn4uvgbiOc36N-X4mb4LZ1AzOhMf90tiGqzH1_iWMHS8Wd5EldjeWdxwTkXYrp9FeuDNPQFkbDzit2YYiibpp4IqoRVfjcGexLy4WBt2af4NNmO2f4N1NL3Ua5Y8DiLASUvgn7IHqvBxGNxgZotjcUTbw832ajBRoqg4Z6ktVikjhCvWAX7ZKyZJRbSROBh8oamKFPUJAYDgRV8uFak6g74tcLEG8v_C3eyY8MotFqcHV53SNXPoGJIBSAJoVJP86ZnGrr3xWDqI2qXoeBXhegjQC0W5N-jl9mt5yadOeSsULifW8qS_V-1p7Uj82yczUrutQ5K43-98ZOXhYBQdZQIGll4P2F=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-nZ_GfWPujs0%2FU_NeIhoEQ9I%2FAAAAAAAAGRs%2F5mAvDqwU_yI%2Fs1600%2FIMG-20140819-WA0011.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Ajali hiyo imetokea leo hii jioni majira ya saa 11 jioni baada ya Basi la Kampuni ya Sabena lenye namba za usajiri T 110 ARV lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Mwanza kumegongana uso kwa uso na basi la AM Dreamline lenye namba za usajiri T 803 ATN lililokuwa likitokea Mwanza kupitia Mpanda.
Ajali hiyo imetokea...
11 years ago
Habarileo14 Mar
Idadi kubwa ya Watanzania ni watoto
IDADI kubwa ya watu nchini ni watoto wenye umri wa chini ya miaka 15 na vijana huku mikoa ya Simiyu, Rukwa na Geita ikitajwa kuwa zaidi ya nusu ya watu wake, ni watoto. Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Dk Albina Chuwa alimweleza hayo Rais Jakaya Mrisho Kikwete jana Ikulu wakati akimkabidhi vitabu na majedwali yenye matokeo na machapisho ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2012.
10 years ago
Vijimambo28 Jan
JIJI LA WATU WASIO LALA NEW YORK LIKIWA HALINA WATU BARABARANI WAKATI TUFANI ILIPOANZA KUANGUKA
![](https://lh4.googleusercontent.com/-RKmObP6j5AM/VMd_9vjyxVI/AAAAAAABWZw/skU7PlaE0GI/w1333-h889-no/New%2BYork%2BCity%2B-%2BSnow%2B-%2BWinter%2BStorm%2BJuno%2B-%2BRadio%2BCity%2B.jpg)
![](https://lh6.googleusercontent.com/-9X71XUVzyE8/VMeAQP6EJuI/AAAAAAABWao/ZToDUvbsIrw/w1333-h889-no/New%2BYork%2BCity%2B-%2BSnow%2B-%2BWinter%2BStorm%2BJuno%2B-%2BMadison%2BAvenue%2BEmpt.jpg)
![](https://lh3.googleusercontent.com/-_yrQZt0bc0E/VMeANC-JxWI/AAAAAAABWag/U8LVWdMG9FQ/w1333-h889-no/New%2BYork%2BCity%2B-%2BSnow%2B-%2BWinter%2BStorm%2BJuno%2B-%2BEmpty%2B5th%2BAvenue%2B-%2BTemple%2BEmanu-el%2B.jpg)
![](https://lh6.googleusercontent.com/-9c-OA0OwmqY/VMeAMLQOP4I/AAAAAAABWaY/X1i53HDt8f0/w1333-h889-no/New%2BYork%2BCity%2B-%2BSnow%2B-%2BWinter%2BStorm%2BJuno%2B-%2BEmpty%2B6th%2BAvenue%2B.jpg)
![](https://lh5.googleusercontent.com/-wjRDShw-AtE/VMcJjprS3CI/AAAAAAAACYU/MTFUEZbIvwM/w1185-h889-no/new-york-city-snowstorm-epic-january-2015.jpg)
![](https://lh3.googleusercontent.com/-XU0bAaEIqC8/VMeAKjJz30I/AAAAAAABWaQ/eGEF4hX-IH4/w1333-h889-no/New%2BYork%2BCity%2B-%2BSnow%2B-%2BWinter%2BStorm%2BJuno%2B-%2BEmpty%2BMadison%2BAvenue%2B%281%2Bof%2B1%29-2.jpg)
![](https://lh4.googleusercontent.com/-jFqBacQk5Vs/VMeAJTUHRII/AAAAAAABWaI/Vny21e5wSZI/w1333-h889-no/New%2BYork%2BCity%2B-%2BSnow%2B-%2BWinter%2BStorm%2BJuno%2B-%2BEmpty%2B5th%2BAvenue%2B-%2BBergdorf%2B.jpg)
![](https://lh5.googleusercontent.com/-GM8wYz4Onic/VMeADMkWtAI/AAAAAAABWaA/gg72pf0QSZ4/w1277-h889-no/New%2BYork%2BCity%2B-%2BSnow%2B-%2BWinter%2BStorm%2BJuno%2B-%2BNear%2BTimes%2BSquare.jpg)