Idadi kubwa ya Watanzania ni watoto
IDADI kubwa ya watu nchini ni watoto wenye umri wa chini ya miaka 15 na vijana huku mikoa ya Simiyu, Rukwa na Geita ikitajwa kuwa zaidi ya nusu ya watu wake, ni watoto. Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Dk Albina Chuwa alimweleza hayo Rais Jakaya Mrisho Kikwete jana Ikulu wakati akimkabidhi vitabu na majedwali yenye matokeo na machapisho ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2012.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili05 Aug
Idadi ya wanaohama ni kubwa Ukrane:UNHCR
10 years ago
BBCSwahili03 Jun
Idadi kubwa ya ndovu yatoweka Tanzania
10 years ago
Dewji Blog01 Dec
Ajali za barabarani zaongezeka Tabora, zauwa idadi kubwa ya watu!
Mkuu wa mkoa wa Tabora Bw.Ludovick Mwananzila akipata maelezo kutoka kwa Dr.Anna Kichambati wa Redcross Tabora wakati wa sherehe za wiki ya usalama barabarani mkoani Tabora.
Mkuu wa mkoa wa Tabora Bw.Mwananzila akisalimiana na Afisa mfawidhi wa Sumatra mkoa wa Tabora Bw.Joseph Michael wakati wa wiki ya usalama barabarani mkoa wa Tabora.
Mmoja kati ya maafisa wa polisi kikosi cha usalama barabarani Tabora mjini akimuonesha mkuu wa mkoa wa Tabora Bw.Ludovick Mwananzila kifaa maalumu...
5 years ago
Ykileo![](https://2.bp.blogspot.com/-qZewHoDogto/WfaXxilvBRI/AAAAAAAACFo/WH_t6V8dr18Fqy17ROa77WlFUKo1zzoJgCLcBGAs/s72-c/IMG-20171027-WA0008.jpg)
IDADI KUBWA YA PROGRAM TUMISHI ZIMEENDELEA KUIBA TAARIFA ZA WATUMIAJI
![](https://2.bp.blogspot.com/-qZewHoDogto/WfaXxilvBRI/AAAAAAAACFo/WH_t6V8dr18Fqy17ROa77WlFUKo1zzoJgCLcBGAs/s200/IMG-20171027-WA0008.jpg)
Viwanda na Taasisi mbali mbali zimeendelea kutumia TEHAMA ili kukuza ufanisi na kufikia watu wengi kwa kipindi kifupi. Miamala ya kifedha, ukusanyaji kodi, pamoja na mawasiliano ni baadhi tu ya mambo yanayo wezeshwa na TEHAMA nchini.
Usalama wa mifumo ya TEHAMA ni moja ya jambo muhimu sana ambapo...
11 years ago
Michuzi18 Feb
IDADI kubwa ya Wakazi wa jiji la Dar wawataka Kwetu Pazuri
5 years ago
BBCSwahili27 May
Virusi vya corona: Kenya yatangaza idadi kubwa zaidi ya wagonjwa kwa siku
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
Idadi ya watoto, wanawake inatisha
SENSA ya Idadi ya Watu nchini iliyofanyika 2012 imeonyesha kuwa idadi ya watoto ni kubwa kuliko makundi mengine. Aidha, takwimu za sensa hiyo zinaonyesha kuwa wanawake ni wengi zaidi kwa...
5 years ago
BBCSwahili05 Jun
China na India: Kwanini hofu imerudi kati ya majeshi ya mataifa haya yenye idadi kubwa ya watu duniani
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-IqC97l29FIU/VRA6W2MSwGI/AAAAAAAHMgo/6E9Z_l_Z8h0/s72-c/DSC_0973.jpg)
TANZANIA NI NCHI YA SITA KWA KUWA NA IDADI KUBWA YA WATU WENYE UGONJWA WA KIFUA KIKUU BARANI AFRIKA
Utafiti unaonyesha kuwa zaidi ya asilimia 30 ya vifo vya watu walioathirika na Ukimwi vinatokana na Ugomjwa wa Kifua Kukuu na inakadiriwa kuwa tangu kuanza kwa ugonjwa wa ukimwi, kati ya asilimia tano (5) hadi 10 ya watu wenye VVU wana ugonjwa wa kifua kikuu na takribani ya asilimia 40 wanaouguwa kifua kikuu wana maambukizo ya VVU.
Hayo yamesemwa leo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,Dk.Donan Mmbando wakati akitangaza maadhimisho ya siku...