Idadi ya watoto, wanawake inatisha
SENSA ya Idadi ya Watu nchini iliyofanyika 2012 imeonyesha kuwa idadi ya watoto ni kubwa kuliko makundi mengine. Aidha, takwimu za sensa hiyo zinaonyesha kuwa wanawake ni wengi zaidi kwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog28 Apr
Idadi ya watoto wanaozaliwa na Sikoseli nchini inatisha
Makamu Mwenyekiti wa Mfuko wa Sikoseli Tanzania, Dk Julie Makani akihojiwa na waandishi wa habari katika hafla ya kuhamsisha jamii kuhusu ufahamu wa ugonjwa wa sikoseli ‘seli mundu’ iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Ugonjwa wa sikoseli hurithiwa kutoka kwa wazazi wote wawili wenye.
-Watoto 8,000 mpaka 11,000 kuzaliwa na ugonjwa wa sikoseli
Na Mwandishi Wetu,
TAASISI ya Sikoseli Tanzania imewaomba wadau wengine wa afya nchini kujiunga katika mapambano ya ugonjwa wa seli mundu ‘sickle...
11 years ago
BBCSwahili20 Jun
Idadi ya wakimbizi duniani inatisha
11 years ago
Habarileo14 Mar
Idadi kubwa ya Watanzania ni watoto
IDADI kubwa ya watu nchini ni watoto wenye umri wa chini ya miaka 15 na vijana huku mikoa ya Simiyu, Rukwa na Geita ikitajwa kuwa zaidi ya nusu ya watu wake, ni watoto. Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Dk Albina Chuwa alimweleza hayo Rais Jakaya Mrisho Kikwete jana Ikulu wakati akimkabidhi vitabu na majedwali yenye matokeo na machapisho ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2012.
10 years ago
BBCSwahili09 Sep
Idadi ya vifo vya watoto imepungua
11 years ago
Mwananchi23 Jul
Sikumbuki idadi ya watoto, wake zangu
10 years ago
StarTV30 Sep
Tanzania bado ina idadi ndogo ya wanawake wamiliki ardhi
Tafiti kuhusu masuala ya ardhi zimeonyesha kuwa Tanzania bado ina idadi kubwa ya wanawake ambao hawana uelewa kuhusu umuhimu wa kumiliki ardhi na matumizi yake kiuchumi kutokana na uwepo wa mfumo dume katika maeneo mengi nchini.
Kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2012, asilimia 51 ya idadi ya wananchi ni wanawake, asilimia 19 wakiwa ndiyo wanaomiliki ardhi na kuitumia katika masuala ya maendeleo.
Pamoja na uwepo wa Sheria ya Ardhi na Taasisi mbalimbali zinazohusu matumizi ya ardhi kwa...
10 years ago
Mwananchi13 Feb
UKATILI WA KIJINSIA: ‘Idadi ya watoto wachanga wanaokeketwa inaongezeka’
10 years ago
BBCSwahili30 May
Ujerumani ina idadi ndogo zaidi ya watoto duniani
9 years ago
Michuzi
IDADI YA VIFO VYA WATOTO WACHANGA YAENDELEA KUPUNGUA MBEYA

IDADI ya vifo vya watoto wachanga imeendelea kupungua Mkoani mbeya kutoka vifo 602 kwa mwaka 2012 hadi kufikia 568 kwa mwaka 2014 ambapo ni sawa na asilimia 5.7.
Hali hiyo inatokana timu ya uendeshaji wa huduma za afya mkoa kukaa pamoja na kutafuta ufumbuzi wa pamoja na kuweka maazimio ambayo wamekuwa wakiyatekeleza kwa pamoja.
Akizungumza jijini Mbeya mratibu wa huduma za afya ya uzazi na mtoto mkoani humo Ndugu Prisca Butuyuyu amesema kutokana na usimamizi huo...