Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Idadi ya watoto wanaozaliwa na Sikoseli nchini inatisha

photo1

Makamu Mwenyekiti wa Mfuko wa Sikoseli Tanzania, Dk Julie Makani akihojiwa na waandishi wa habari katika hafla ya kuhamsisha jamii kuhusu ufahamu wa ugonjwa wa sikoseli ‘seli mundu’ iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Ugonjwa  wa sikoseli hurithiwa kutoka kwa wazazi wote wawili wenye.

-Watoto 8,000 mpaka 11,000 kuzaliwa na ugonjwa wa sikoseli

Na Mwandishi Wetu,

TAASISI ya Sikoseli Tanzania imewaomba wadau wengine wa afya nchini kujiunga katika mapambano ya ugonjwa wa seli mundu ‘sickle...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Idadi ya watoto, wanawake inatisha

SENSA ya Idadi ya Watu nchini iliyofanyika 2012 imeonyesha kuwa idadi ya  watoto ni kubwa kuliko makundi mengine. Aidha, takwimu za sensa hiyo zinaonyesha kuwa wanawake ni wengi zaidi kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watoto 11,000 huzaliwa na sikoseli kila mwaka nchini

TAASISI ya Sikoseli Tanzania imewaomba wadau wengine wa afya nchini kujiunga katika mapambano ya ugonjwa wa seli mundu ‘sickle cell’   kwani idadi ya watoto wanaozaliwa na ugonjwa huo kila mwaka...

 

11 years ago

BBCSwahili

Idadi ya wakimbizi duniani inatisha

Shirika la UNHCR, linasema idadi ya wakimbizi imeongezeka duniani na kuwa kubwa zaidi kushuhudiwa tangu vita vya pili vya dunia.

 

9 years ago

BBCSwahili

1 kati ya watoto 2 wanaozaliwa ni wanaharamu

Asilimia 50% ya wanawake wanaojifungua watoto bara ulaya hawajafunga ndoa halali.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watoto wanaozaliwa wikendi hufariki zaidi UK

Watoto waliozaliwa wikendi iliopita nchini Uingereza wana hatari kubwa ya kufariki ikilinganishwa na wale waliozaliwa siku za juma,kulingana na watafiti.

 

10 years ago

Africanjam.Com

MAKADIRIO YA WATOTO WANAOZALIWA NA KUPEWA KWA WAZAZI WASIO WAO KIMAKOSA

Wastani wa watoto 14 wanaozaliwa mahospitali hupewa kwa wazazi ambao sio wao kimakosa ya bahati mbaya

 

10 years ago

GPL

MISS TANZANIA AFUNGUA MFUKO MAALUM KUWASADIA WATOTO WANAOZALIWA KABLA YA SIKU ZAO

Dorice Molle (katikati) akiwa na Waziri wa Afya wa Zanzibar, Thabit Kombo.
Hapa wakizindua rasmi mfuko wa kusaidia watoto ambao ni njiti (Premature).
Mkurugenzi wa Shindano la Miss Tanzania, Hashimu Lundenga akiteta jambo na Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu.…

 

5 years ago

Michuzi

MADAKTARI MUHIMBILI WATUMIA TEKNOLOJIA MPYA KUOKOA MAISHA YA WATOTO WANAOZALIWA UTUMBO UKIWA NJE

Na Leandra Gabriel, Michuzi TV

KWA mara ya kwanza madaktari bingwa wa upasuaji wa watoto kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili wamefanikiwa kuokoa maisha ya watoto wawili waliozaliwa wakiwa na tatizo la tumbo kuwa wazi na utumbo kuwa nje  (Gastroschisis) na kwa kutumia utaratibu madaktari hao wamefanikiwa kuwavalisha mifuko maalumu (Silo bags) ambayo haihusishi mtoto kufanyiwa upasuaji wala kupewa dawa za usingizi.

Akisoma taarifa hiyo leo jijini Dar es Salaam Daktari bingwa wa upasuaji wa...

 

9 years ago

Michuzi

BANK OF AFRIKA TANZANIA YAKUSANYA ZAIDI YA MILIONI 210 KUSAIDIA MATIBABU YA WATOTO WANAOZALIWA NA MIGUU ILIYOPINDA

  Mkurugenzi Mkuu wa Bank of Africa nchini Bw. Ammishadai Owusu-Amoah akimkabidhi Ofisa Mtendaji Mkuu wa hospitali ya CCBRT mfano wa hundi wenye ya dola za kimarekani 100,000 kwa ajili ya matibabu ya watoto wanaozaliwa na miguu iliyopinda. Nyuma ni Rais Mstaafu wa awamu ya pili Mhe. Ali Hassani Mwinyi na Mwenyekiti wa Bodi ya Bank of Afrika Mwanaidi Majaar.  Balozi Mwanaidi Majaar,Mwenyekiti wa Bodi Bank of Afrika akihutubia wadau mbalimbali waliohudhuria hafla hiyo. Balazo anasema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani