Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


1 kati ya watoto 2 wanaozaliwa ni wanaharamu

Asilimia 50% ya wanawake wanaojifungua watoto bara ulaya hawajafunga ndoa halali.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Watoto wanaozaliwa wikendi hufariki zaidi UK

Watoto waliozaliwa wikendi iliopita nchini Uingereza wana hatari kubwa ya kufariki ikilinganishwa na wale waliozaliwa siku za juma,kulingana na watafiti.

 

11 years ago

Dewji Blog

Idadi ya watoto wanaozaliwa na Sikoseli nchini inatisha

photo1

Makamu Mwenyekiti wa Mfuko wa Sikoseli Tanzania, Dk Julie Makani akihojiwa na waandishi wa habari katika hafla ya kuhamsisha jamii kuhusu ufahamu wa ugonjwa wa sikoseli ‘seli mundu’ iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Ugonjwa  wa sikoseli hurithiwa kutoka kwa wazazi wote wawili wenye.

-Watoto 8,000 mpaka 11,000 kuzaliwa na ugonjwa wa sikoseli

Na Mwandishi Wetu,

TAASISI ya Sikoseli Tanzania imewaomba wadau wengine wa afya nchini kujiunga katika mapambano ya ugonjwa wa seli mundu ‘sickle...

 

10 years ago

Africanjam.Com

MAKADIRIO YA WATOTO WANAOZALIWA NA KUPEWA KWA WAZAZI WASIO WAO KIMAKOSA

Wastani wa watoto 14 wanaozaliwa mahospitali hupewa kwa wazazi ambao sio wao kimakosa ya bahati mbaya

 

10 years ago

GPL

MISS TANZANIA AFUNGUA MFUKO MAALUM KUWASADIA WATOTO WANAOZALIWA KABLA YA SIKU ZAO

Dorice Molle (katikati) akiwa na Waziri wa Afya wa Zanzibar, Thabit Kombo.
Hapa wakizindua rasmi mfuko wa kusaidia watoto ambao ni njiti (Premature).
Mkurugenzi wa Shindano la Miss Tanzania, Hashimu Lundenga akiteta jambo na Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu.…

 

5 years ago

Michuzi

MADAKTARI MUHIMBILI WATUMIA TEKNOLOJIA MPYA KUOKOA MAISHA YA WATOTO WANAOZALIWA UTUMBO UKIWA NJE

Na Leandra Gabriel, Michuzi TV

KWA mara ya kwanza madaktari bingwa wa upasuaji wa watoto kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili wamefanikiwa kuokoa maisha ya watoto wawili waliozaliwa wakiwa na tatizo la tumbo kuwa wazi na utumbo kuwa nje  (Gastroschisis) na kwa kutumia utaratibu madaktari hao wamefanikiwa kuwavalisha mifuko maalumu (Silo bags) ambayo haihusishi mtoto kufanyiwa upasuaji wala kupewa dawa za usingizi.

Akisoma taarifa hiyo leo jijini Dar es Salaam Daktari bingwa wa upasuaji wa...

 

10 years ago

Michuzi

BANK OF AFRIKA TANZANIA YAKUSANYA ZAIDI YA MILIONI 210 KUSAIDIA MATIBABU YA WATOTO WANAOZALIWA NA MIGUU ILIYOPINDA

  Mkurugenzi Mkuu wa Bank of Africa nchini Bw. Ammishadai Owusu-Amoah akimkabidhi Ofisa Mtendaji Mkuu wa hospitali ya CCBRT mfano wa hundi wenye ya dola za kimarekani 100,000 kwa ajili ya matibabu ya watoto wanaozaliwa na miguu iliyopinda. Nyuma ni Rais Mstaafu wa awamu ya pili Mhe. Ali Hassani Mwinyi na Mwenyekiti wa Bodi ya Bank of Afrika Mwanaidi Majaar.  Balozi Mwanaidi Majaar,Mwenyekiti wa Bodi Bank of Afrika akihutubia wadau mbalimbali waliohudhuria hafla hiyo. Balazo anasema...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mmoja kati ya watoto 3 anaolewa mapema Afrika

Mmoja kati ya watoto watatu barani Afrika wanaolewa kabla hawajatimia umri wa miaka 18 Unicef imesema katika mkutano wa AU huko Zambia

 

11 years ago

GPL

MASHINDANO YA SANAA, KUCHORA KWA WATOTO NA VIJANA KATI YA UMRI WA MIAKA 7 HADI 15

Amsha ubunifu wako!
Benki ya Dunia inawakaribisha watoto wa shule wa Kitanzania ambao ni wabunifu wenye umri kati ya miaka 7 hadi 15 kushiriki katika mashindano ya sanaa / kuchora, ambapo mchoro utakaoshinda utatumika kupamba jalada la mbele la Ripoti muhimu ya Benki ya Dunia kuhusu Tanzania. Kaulimbiu ya shindano hili ni ‘Kazi kwa Watanzania Wote.’
Ni nani anaweza kuingia shindano hili?
Shindano liko wazi kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wanaozaliwa na vichwa vikubwa waongezeka’

p>WATOTO zaidi ya 1,000 nchini huzaliwa na tatizo la vichwa vikubwa na mgongo wazi kwa mwaka, kati yao watoto 250 ndiyo wanaofika kwenye Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Mishipa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani