Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mmoja kati ya watoto 3 anaolewa mapema Afrika

Mmoja kati ya watoto watatu barani Afrika wanaolewa kabla hawajatimia umri wa miaka 18 Unicef imesema katika mkutano wa AU huko Zambia

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Raia 32 kati ya 37 wa Afrika Kusini wafika kilele cha Uhuru kuchangisha fedha kwa ajili ya watoto yatima washuka salama

Mhifadhi Mkuu Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro, Erastus Rufunguro akimpokea muigizaji maarufu wa filamu wa nchini Afrka Kusini, Jacky Devnarain maarufu kama Rajesh Kumar, jina alilotumia katika tamthiliya ya Isidingo the Need aliposhuka yeye na wenzie 37 waliopanda mlima huo kwa lengo la kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia wasichana wanaotoka katika familia maskini. Mhifadhi Utalii katika Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro, Eva Mallya akimpatia kinywaji, Muigizaji Jacky mara...

 

10 years ago

Michuzi

RAIA WA AFRIKA KUSINI WALIOPANDA MLIMA KILIMANJARO KUCHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA WATOTO YATIMA WASHUKA,32 KATI YA 37 WAFIKA KILELE CHA UHURU

Keki maalumu iliyotengenezwa na kupambwa kwa rangi za Bendera ya Taifa la Afrika Kusini iliyokabidhiwa kwa washiriki wa zoezi la kupanda Mlima Kilimanjaro kwa lengo la kuchangisha fedha kwa ajili ya familia maskini. Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.Muigizaji Jacky (Rajesh Kumar ) akiteta jambo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi za Taifa,Tanzania,Ibrahim Musa.Mkuu wa wiaya ya Siha ,Dkt Charles Mlingwa aliyekuwa mgeni rasmi katika hafla fupi ya mapokezi ya ugeni huo...

 

9 years ago

CCM Blog

NAPE NNAUYE AWA MMOJA WA WABUNGE WALIOJISAJILI MAPEMA BUNGENI

 Mbunge Mteule wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye akisajiliwa na maofisa wa Bunge, Bungeni mjini Dodoma .
Mbunge Mteule wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye akipongezana na Mbunge Mteule wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, Peter Serukamba walipokutana Bungeni mjini Dodoma.

 

10 years ago

BBCSwahili

Van Gaal:tuna mlinzi wa kati mmoja tu

Kocha wa machester United, Louis van Gaal amesema Manchester united ina mlinzi wa kati mmoja tu mwenye uzoefu

 

10 years ago

StarTV

Van Gaal: Tuna mlinzi wa kati mmoja tu.

Kocha wa machester United, Louis van Gaal amesema Manchester united ina mlinzi wa kati mmoja tu mwenye uzoefu wakati huu kikosi hicho kinapotarajia kukipiga na west ham katika michuano ya ligi kuu ya England.

 
Marcos Rojo yuko fiti, lakini timu hiyo ina majeruhi kama Chris Smalling ana jeraha la mguu, Phil Jones ana jeraha kwenye, Jonny Evans ana jeraha la kifundo cha mguu na Tyler Blackett hatacheza mchezo huo.

 
Van Gaal analazimika sasa kuchukua wachezaji kwenye kikosi cha vijana...

 

11 years ago

Mwananchi

Mambo yanayochangia nyota wa Afrika kuacha soka mapema

Ni ukweli ulio wazi kuwa wanasoka wengi wa Afrika wamekuwa wakiacha kucheza soka mapema huku wengi wao wakionekana bado wana nguvu za kutosha kutoa mchango kwa klabu zao na mataifa yao.

 

9 years ago

Mwananchi

YALIYOJIRI 2015: Kivumbi CCM kati ya 42 anatakiwa mmoja

Julai 1 Ni hatua ambayo itasababisha kivumbi na jasho kati ya wagombea 42 waliojitokeza kuwania urais kupitia CCM, anatakiwa kubaki mmoja tu na mchakato wa kuchukua na kurejesha fomu unafungwa kesho.

 

10 years ago

Bongo Movies

JB:Diana ni Mmoja Kati ya Waigizaji Wanne Wakike Ninaowakubali

Mwigizaji na muongozaji  mkongwe wa filamu zakibongo, Jacob Stephen “JB” amefunguka na kumtajamwigizaji wa  kike , Dianarose Kimary “Diana” kuwa ni moja kati ya waigizaji wa kike wanne anaowakubali.

“Kwangu mimi Diana kimaro atabaki kuwa mmoja kati ya waigizaji wanne wakike ninaowakubali”.

JB aliyasema haya wakati wakiwa  “ON SET” kwa movie yake mpya inayoitwa KALAMBATI LOBO ambayo inafanyika chini ya kampuni yake mwenyewe ya Jerusalem Films. Diana ni moja kati ya waigizaji wanaoshiriki...

 

10 years ago

Mwananchi

Afrika Kusini yajitoa mapema kuwa mwenyeji AFCON 2015

Waziri wa Michezo wa Afrika Kusini, Fikile Mbalula amesema nchi yake hapo tayari kuandaa fainali za Mataifa ya Afrika 2015 kama Morocco watajitoa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani