Van Gaal:tuna mlinzi wa kati mmoja tu
Kocha wa machester United, Louis van Gaal amesema Manchester united ina mlinzi wa kati mmoja tu mwenye uzoefu
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV30 Sep
Van Gaal: Tuna mlinzi wa kati mmoja tu.
Kocha wa machester United, Louis van Gaal amesema Manchester united ina mlinzi wa kati mmoja tu mwenye uzoefu wakati huu kikosi hicho kinapotarajia kukipiga na west ham katika michuano ya ligi kuu ya England.
Marcos Rojo yuko fiti, lakini timu hiyo ina majeruhi kama Chris Smalling ana jeraha la mguu, Phil Jones ana jeraha kwenye, Jonny Evans ana jeraha la kifundo cha mguu na Tyler Blackett hatacheza mchezo huo.
Van Gaal analazimika sasa kuchukua wachezaji kwenye kikosi cha vijana...
9 years ago
StarTV07 Nov
Mlinzi mmoja afariki, mmoja ajeruhiwa Geita
Walinzi wawili wanaolinda katika baa ya Wacha Waseme na Lunguya mjini Geita wamejeruhiwa na vitu vyenye ncha kali ambavyo vimesababisha kifo cha mlinzi mmojawapo.
Mlinzi huyo aliyejulikana kwa jina moja la Michael amefariki dunia baada ya kufikishwa katika Hospitali ya Wilaya ya Geita.
Tukio hilo limejiri majira ya usiku wakati walinzi hao wakiwa wamelala katika lindo ambapo watu wasiojulikana wanadaiwa kuvamia na kuwashambulia na kuvinjwa katika baa ya lunguye na kuiba shilingi elfu tisini...
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Van Gaal:Tutashinda Wolfsburg
10 years ago
BBCSwahili25 Oct
Mourinho amsifu Van Gaal
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
VAN GAAL : FIFA IMETUONEA
10 years ago
BBCSwahili15 Dec
Hatufikirii ubingwa:Van gaal
10 years ago
BBCSwahili13 Dec
Neville na Scholes wamkosoa Van Gaal
9 years ago
BBCSwahili29 Dec
Van Gaal: Sioni haja ya kujiuzulu
9 years ago
BBCSwahili21 Sep
Louis Van Gaal amwaga tambo