Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mambo yanayochangia nyota wa Afrika kuacha soka mapema

Ni ukweli ulio wazi kuwa wanasoka wengi wa Afrika wamekuwa wakiacha kucheza soka mapema huku wengi wao wakionekana bado wana nguvu za kutosha kutoa mchango kwa klabu zao na mataifa yao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Nyota Yanga: Ubabaishaji umenistaafisha soka mapema

KARIBU mpendwa msomaji wa gazeti pendwa la Tanzania Daima, katika safu ya ‘Jicho Letu Mtandaoni’ inayokujia kila Jumatatu, ikibeba dhima ya kukupa wewe msomaji machache kati ya mengi yanayojiri katika kurasa/akaunti za...

 

11 years ago

Mwananchi

Mambo yanayochangia maendeleo ya ukuaji

Ndugu wasomaji wa kona hii asanteni kwa maswali yenu mazuri ya wiki iliyopita ambayo yananipa nafasi ya kujua kiu yenu.

 

11 years ago

Mwananchi

Mambo yanayochangia kupoteza hisia za mapenzi

Lipo jambo muhimu analopaswa kuzingatia kila aiye kwenye uhusiano ikiwa anataka kutosheka na penzi la mpenzi wake.

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo yanayochangia kujifungua mtoto mwenye kasoro kimaumbile

>Kwenye mipango ya afya, moja ya kanuni ni kuhakikisha kila mtoto anayezaliwa anakuwa na hali bora kiafya, ikijumuisha akili na mwili.Mazingira hayo yamekuwa yakiwafanya wanasayansi kuendesha tafiti mbalimbali ili kukabili tatizo la watoto kuzaliwa wakiwa na ama na ukosefu wa viungo au athari za kiakili.

 

10 years ago

Mwananchi

Nyota aliyeamua kuacha chuo akafanye muziki

Kwa wafuatiliaji wa miondoko ya R&B, Luther Vandross siyo jina geni masikioni mwao kutokana na umahiri aliokuwa nao nyota huyo.

 

11 years ago

Bongo5

Msechu kuacha muziki iwapo wimbo wake mpya ‘Nyota’ hautofanya vizuri

Baada ya ngoma zake nyingi kutofanya vizuri, aliyewahi kuiwakilisha Tanzania kwenye shindano la Tusker Project Fame, Peter Msechu amedai ataacha kabisa kufanya muziki iwapo wimbo wake mpya ‘Nyota’ aliomshirikisha Amini utafanya vibaya. Msechu amedai kuwa Nyota ni wimbo mkali ambao kama usipofanya vizuri basi atakubali kuwa huenda muziki si kipaji chake. “NYOTA by PETER MSECHU […]

 

10 years ago

Dewji Blog

PIGO WADAU WA SOKA NCHINI: Kocha Sylvester Marsh afariki dunia mapema leo

Marsh (kushoto) enzi za Uhai wake akiwa na kocha mkuu wa timu ya Taifa wakatoi huo Pousan

Marsh (kushoto) enzi za uhai wake akiwa na Kocha mkuu wa timu ya Taifa wakati huo, Kim Paulsen.

Na Andrew Chale wa Mo dewji blog

Habari zilizotufikiaa chumba cha habari cha mtandao huu wa Mo dewji blog,  ni kuwa aliyekuwa Kocha Msaidizi wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Sylvester Marsh amefariki dunia alfajiri ya leo katika hospitali ya Muhimbili alikokuwa amelazwa.

Taarifa hizo zilibainisha kuwa, Marsh alipatwa na umauti huo alipokuwa akiendelea na matibabu  ya maradhi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

EVERGREEN: Kiota cha nyota soka ya wanawake

EVERGREEN si jina geni masikioni mwa wengi, hasa wapenzi na mashabiki wa soka wa jijini Dar es Salaam kutokana na mchango wa timu hiyo katika kuibua na kukuza vipaji vya...

 

9 years ago

Bongo5

AY awataka wasanii kuacha kuogopa kuuliza mambo wasiyoyajua

Rapper AY amewataka wasanii wa Tanzania kuacha woga wa kuuliza vitu wasivyovijua. AY ameliambia gazeti la Mwananchi kuwa wasanii wengi wa Tanzania ni waoga wa kuuliza. “Wasanii wa Tanzania ni waoga kuuliza yale wasioyajua au wanayajua ila hawana uhakika nayo,” alisema. “Wengine hudhani kuwa wanajua mengi kuliko waliowatangulia. Tusiwe waoga kuuliza na kufatilia yanayohusu tasnia […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani